Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.
Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Ubora wa kioo upi?

Kwani hata kwenye simu si bora unaweza kupiga na kuongea na kutuma meseji na kuchat WhatsApp nk, kuna la ziada? Sasa kama tecno na Samsung wanafanya hivyo vyote tofauti iko wapi?

Ukielewa hoja yangu hapo juu hope hutarudia kutoa hoja za hovyo tena.
 
Ni bajeti yako tu mkuu

Wale wachovu wenzangu wanakwenda na Boss, StarX
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu wa Tecno, Itel, infinix

Wale wa uchumi wa kati wanakwenda na Hisense, TLC
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Oppo Xiaomi nk

Wale wanaojiweza wanakwenda na Sony LG Samsung
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Samsung iPhone nk
 
Ni bajeti yako tu mkuu

Wale wachovu wenzangu wanakwenda na Boss, StarX
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu wa Tecno, Itel, infinix

Wale wa uchumi wa kati wanakwenda na Hisense, TLC
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Oppo Xiaomi nk

Wale wanaojiweza wanakwenda na Sony LG Samsung Apple Tv
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Samsung iPhone nk
Nilichojifunza hapa ni kwamba LG wapo vizuri lakini hawana kelele brand yao inajiuza yenyewe.
 
kama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.

kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m

Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.

Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.

hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.

South afrika - boksi la kaki
china - Boksi jeupe

Go for chines.

kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Hii comments imemaliza, Hisense hamna kitu pale aisee upande wa TV only Sony na LG, Samsung nao almost jina tuu, TCL ni brand ya kichina Ila ya kibabe Sana.
 
Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.
Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Sio kweli, Fanya weka channel moja ziweke pamoja utaona kitu fulani hapo picha ndio linaanza
 
kama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.

kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m

Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.

Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.

hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.

South afrika - boksi la kaki
china - Boksi jeupe

Go for chines.

kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Wewe unajua TV
 
Ni kwa sababu moja tu mkuu, value for money.

Hisense ni budget tv brand, inakuonjesha ubora kidogo kwa bei ya chini kidogo.

Hata hivyo Hisense sio brand bora ya kuchina, kuna TCL sijui TLC hii ndio kidogo kujaribu kuwakaribia Samsung ama LG.

Ukitaka tv ya bei ndogo na ubora wa kawaida nenda tu Hisense.

Samsung Galaxy S22 ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni milioni 2-3, Tecno ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni laki 5-7. Kwa kua zote zinaweza kurekodi video za 8k haina maana kwamba zinalingana.

Vits ni gari sasa sawa na LC 300, kwamba zote zinatembea barabarani kama gari ila kuna tofauti kubwa sana kati ya vits na V8.
Umetoa muongozo vyema
 
Back
Top Bottom