Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Kwa mujibu wa GOOGLE
Screenshot_20230120-080556_Google.jpg
 
Humu naona watu wana bwabwaja tu wala hawatoi jibu la kueleweka. Hawa TV manufacturers wote wana TV za level mbali mbali kwa budget mbali mbali. Mfano LG zipo za kawaida, nanocell, QNED,OLED etc! sasa wewe unapomwambia mtu nunua LG/samsung/Sony/Hisense ndio bora! Ni LG ipi? na ni bora kuliko hisense ipi? Maana hisense wana za kawaida, ULED (QLED/ Mini LED) etc! Mshauri mtu kwa specific model kutokana na budget yake lakini si kulinganisha the whole brand
Nilimuuliza bajeti yake hakusema hivyo watu wameamua wampe Kwa ujumla
 
kama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.

kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m

Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.

Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.

hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.

South afrika - boksi la kaki
china - Boksi jeupe

Go for chines.

kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Mkuu unajua kidogo kuhusu phillips.
 
Kwa maoni yangu,
Tv zenye ubora kuanzia quality ya picha,software&hardware

1. Sony
2. LG
3. Skyworth
4. Samsung (ubahatishe OG& latest series)
5. HISENSE
6. TCL
Afu yatafata makampuni mengine ,
ya kawaida
Vipi kuhusu phillips.
 
Hii ni only for genius , wajinga wa Samsung hawawez kuelewa , Samsung zinazouzwa Africa ni Sawa Sawa na toleo Lao la smu za Aseries yaani ni Ujinga mtupu unless ubahatishe zinazokuwa shipped to Europe
Na huu ndio ukweli mtupu.
 
Ubora wa kioo upi?

Kwani hata kwenye simu si bora unaweza kupiga na kuongea na kutuma meseji na kuchat WhatsApp nk, kuna la ziada? Sasa kama tecno na Samsung wanafanya hivyo vyote tofauti iko wapi?

Ukielewa hoja yangu hapo juu hope hutarudia kutoa hoja za hovyo tena.
Kwenye simu kuna mambo mengi sana ya ziada na siyo kupiga na kupokea kama unavyodhani wewe😆😆. Kingine sijasema kuwa Hisense ni Bora kuliko Samsung au LG Kila mtu anajua hawa wakorea wapo vizuri kwenye hii sekta. Mimi maelezo yangu yamebase kwenye bei ya laki sita sio brand. Hizo Samsung ni nzuri sana kinachofanya iwe nzuri ni hizo TV zake za mamilioni sio za laki sita. Hamna mtu ananunua brand Mimi naongelea TV wewe unaongelea brand. Angalia utofauti wa mazungumzo yetu
 
Kwenye simu kuna mambo mengi sana ya ziada na siyo kupiga na kupokea kama unavyodhani wewe😆😆. Kingine sijasema kuwa Hisense ni Bora kuliko Samsung au LG Kila mtu anajua hawa wakorea wapo vizuri kwenye hii sekta. Mimi maelezo yangu yamebase kwenye bei ya laki sita sio brand. Hizo Samsung ni nzuri sana kinachofanya iwe nzuri ni hizo TV zake za mamilioni sio za laki sita. Hamna mtu ananunua brand Mimi naongelea TV wewe unaongelea brand. Angalia utofauti wa mazungumzo yetu
Mkuu haina haja ya kuzunguka mbuyu, kusema kitu ni famba sio kukizarau ni uhalisia wake.
 
Samsung TV fake zipo sana
Kiukweli sijawahi kusikia vitu kama hivi. Kama ipo basi ndio ndio nasikia hapa.

Ofisi zetu nchi nzima zinatumia Samsung miaka na miaka sijawahi kuona ama kusikia tatizo lolote. Ama vile tunanunua kwa authorized dealers.

Unanunua na unapewa warrant card kabisa na bado ni fake?
 
Kiukweli sijawahi kusikia vitu kama hivi. Kama ipo basi ndio ndio nasikia hapa.

Ofisi zetu nchi nzima zinatumia Samsung miaka na miaka sijawahi kuona ama kusikia tatizo lolote. Ama vile tunanunua kwa authorized dealers.

Unanunua na unapewa warrant card kabisa na bado ni fake?
Wewe kubali hujui
 
Brands mbili nzuri zenye quality ya juu, LG na Sony, hizo unapata value for money(kibongobongo)

Brands za size ya kati, quality nzuri ni Samsung na Hisence.

Zaidi ya hapo unanunua TV za kawaida, specs kubwa lakini ubora na thamani ndogo.

Kuna brands unanunua na baada ya miaka kumi ipo vile vile, hujafungua hata screw moja, and that's Sony na LG. Japo matunzo ni muhimu pia.

Verdict: kama kweli mzigo upo, nenda na Sony au LG. Kama upo wa kawaida, nenda na Hisence au Samsung.
 
Mfano Juzi hapa nilikuwa natafuta TV...
Vigezo vyangu vilikuwa hivi...
  1. At least 55"
  2. Iwe na HDMI 2.1 120 Hz, maana nina mpango wa kununua PS5 hapo baadae
  3. Iwe na brightness ya kutosha na picture quality iridhishe
  4. Iwe na Dolby Vision
  5. Budget pia ni muhimu.
Options zilikuwa hizi:
  • Lg 55NANO86 (Niliitafuta sana na nimekuta sehemu chache, jamaa wanauza bei kubwa)
  • Samsung Q80B (Overpriced na pia haina dolby vision)
  • Hisense U8H, hii ni mini LED, nimeitafuta sana Dar sijapata ila yupo mdogo wake U7H ambayo ni qled na ndio niliyochukua.
So kama unatafuta TV weka vigezo unavyovitaka, then zama mitandaoni (Instagram maduka mengi ya kariakoo na posta wana pages zao).
 
Ni kwa sababu moja tu mkuu, value for money.

Hisense ni budget tv brand, inakuonjesha ubora kidogo kwa bei ya chini kidogo.

Hata hivyo Hisense sio brand bora ya kuchina, kuna TCL sijui TLC hii ndio kidogo kujaribu kuwakaribia Samsung ama LG.

Ukitaka tv ya bei ndogo na ubora wa kawaida nenda tu Hisense.

Samsung Galaxy S22 ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni milioni 2-3, Tecno ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni laki 5-7. Kwa kua zote zinaweza kurekodi video za 8k haina maana kwamba zinalingana.

Vits ni gari sasa sawa na LC 300, kwamba zote zinatembea barabarani kama gari ila kuna tofauti kubwa sana kati ya vits na V8.
Nimeupata mkuu
Ni kwa sababu moja tu mkuu, value for money.

Hisense ni budget tv brand, inakuonjesha ubora kidogo kwa bei ya chini kidogo.

Hata hivyo Hisense sio brand bora ya kuchina, kuna TCL sijui TLC hii ndio kidogo kujaribu kuwakaribia Samsung ama LG.

Ukitaka tv ya bei ndogo na ubora wa kawaida nenda tu Hisense.

Samsung Galaxy S22 ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni milioni 2-3, Tecno ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni laki 5-7. Kwa kua zote zinaweza kurekodi video za 8k haina maana kwamba zinalingana.

Vits ni gari sasa sawa na LC 300, kwamba zote zinatembea barabarani kama gari ila kuna tofauti kubwa sana kati ya vits na V8.
Nimekupata mkuu. Lakini hakuna TECNO inarekodi 8K simu zao za laki tano hadi nane zinarekodi 1080p na hii Phantom X2 Pro ndio simu yao bora kwa sasa na inarekodi 4K tu. Ila point yako uliyokuwa unajaribu kuiongelea nimeielewa ingawa kwa laki sita Hisense na Samsung huwezi fananisha.
 
Back
Top Bottom