Kwa kujazia tu, TCL ni Hitachi hao.Kama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.
Kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m
Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.
Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.
Hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.
South afrika - boksi la kaki
China - Boksi jeupe
Go for chines.
Kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Wabongo si unawafahamu kwa ubahiri. Hata kwenye simu wanunuzi wengi ni wa Tecno na Infinix sababu ya kukwepa brand za standards za juu. So jamaa yupo sahihi kabisa.Mbona Hisense wengi wameisifu wewe umeitowa maana kabisa?
Mlimani CityBidhaa za Sony, wakala yupo wapi kwa hapa Dar?.
Hisense zote?Hisense baada ya matumizi say ya kuanzia miaka miwili huwa zinatabia ya kufubaa kioo. Yaani kioo kinapoteza mng'ao wake na kutoa picha ya kawaida sasa kwa tunaothamini ubora huwa tunakosa uzingizi kabisa kwenye hilo swala.
Huyu naye anakuja kuniambia ushuzi gani tena [emoji38][emoji38][/
Mambo ya kitaalamu yanataka AKILI, usiwe unaropoka tu juu ya brand kwasababu tu unapenda aina flani. Mambo ya kitaalamu yanatumia common sense unapotoa maoni sio mapokeo.
Mkuu usishindanishe brands kuwa specific na model Hisense U8H toleo la 2022 ina tuzo ya best budget tv marekan..bongo yupo mdogo wake U7H na bei yake imechangamka.Inch 55 niliipata kwa 1.6mil last year July .U8H sijafanikiwa kuiona hapa BongoNaona wewe ni mdau wa Hisense kindaki ndaki,Kiasi kwamba unaona Lg, Sony, Samsung,wote vibua tu..acha nikuache na msimamo wako mzee Wa Hisense [emoji1]
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Mi natumia hisense version ya UK nilichukua mtumba asee sijawai Jutia kwa sound na picture walituliaSauti mbaya sana
Yes kwasababu reliability hakunaHisense baada ya matumizi say ya kuanzia miaka miwili huwa zinatabia ya kufubaa kioo. Yaani kioo kinapoteza mng'ao wake na kutoa picha ya kawaida sasa kwa tunaothamini ubora huwa tunakosa uzingizi kabisa kwenye hilo swala.
UKitegemea maoni kutoka mitandao vague kama hii kwenye kununua electronocs utaingia chaka sana,Nilikuwa sokoni kutafuta tv ya 55',hiyo nanocell weka side by side na hisense uled ndio utajua lg wanauzia jina.
Soma comparison ya lg qned vs hisense u8
Uone lg anavyoachwa mbali
LG NANO90 2021 vs Hisense U8G Side-by-Side TV Comparison
The Hisense U8G is significantly better than the LG NANO90 2021 for most uses. The Hisense has significantly better contrast, a much better local dimming feature, and significantly better black uniformity, making it a better choice for dark-room viewing. The Hisense also has much better accuracy...www.rtings.com
Nimeenda showroom nimejionea mwenyewe. Nanocell bado sana, blooming kibao, rangi nyeusi siyo nyeusi! Sasa kwa sababu siwezi kukuwekea picha ya nilichokiona nimekupa at least link ujionee. Nishanunua hisense U7H Uled Qled, ina HDMI 2.1 (120hz),HDMI eARC,freesync Premium, Local dimming, Dolby Atmos na Dolby Vision na wala sijutii. Sasa hizo features za LG unazoongelea sijui ni zipi.UKitegemea maoni kutoka mitandao vague kama hii kwenye kununua electronocs utaingia chaka sana,
Lg anauzia features , sio jina
Upo sahihi mkuu kwa Nano kutokua na Deep black na feature nyengine ulizotaja ila ni by design, TV zote zenye VA panel nyeusi inakua kama kijivu, unaweza i calibrate ila huwezi kamwe kupata weusi wa Oled ama Micro led etc.Nimeenda showroom nimejionea mwenyewe. Nanocell bado sana, blooming kibao, rangi nyeusi siyo nyeusi! Sasa kwa sababu siwezi kukuwekea picha ya nilichokiona nimekupa at least link ujionee. Nishanunua hisense U7H Uled Qled, ina HDMI 2.1 (120hz),HDMI eARC,freesync Premium, Local dimming, Dolby Atmos na Dolby Vision na wala sijutii. Sasa hizo features za LG unazoongelea sijui ni zipi.
TV nzuri za LG ni OLED peke yake, huku kwingine hamna kitu.
Umeupiga mwingi.My mistake mpo sahihi HIMARS
Find an LG Repair Provider | LG Africa
LG Repair Service Center Locator: Find an LG Authorized Service Center near you to consult with our product experts and technicians.www.lg.com
Kuna kipindi ilikuwa ukitafuta service centre unapelekwa Nairobi, sasa hivi Website ya LG inaonesha kuna Service centre 3 tofauti, Morocco opposite Airtel, Nasra tower na Metl new Chox Nkurumah.
yote ya yote mchina mwenye mazingaombwe ni starx tu upande wa picha sio, na haijulikani specifications za TVs zake ni zipi[emoji16][emoji16][emoji16]Naona wewe ni mdau wa Hisense kindaki ndaki,Kiasi kwamba unaona Lg, Sony, Samsung,wote vibua tu..acha nikuache na msimamo wako mzee Wa Hisense [emoji1]
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Hapa Bongo kwa Tsh 650,000/= unapata Hisense yenye inchi 43, smart kabisa na ni 4K resolution, umeshamaliza kazi. Sasa wewe huoni hiyo Samsung umenunua kwa laki saba halafu ni 32 inches tu. Ukikutana na muuzaji mwenye tamaa sana hiyo Hisense unapata kwa laki saba. Kupata Samsung au LG yenye ubora sawa na Hisense hii inakupasa uwe na milioni moja kupanda.
yote ya yote mchina mwenye mazingaombwe ni starx tu upande wa picha sio, na haijulikani specifications za TVs zake ni zipi[emoji16][emoji16][emoji16]
Hisense zote?
Brand comes first
Brand matters
Tatizo tunatumia umasikini wetu kudowngrade hizo brand kubwa..kumbuka hazikufika hapo bahati mbaya
Tukubali tu…SONY,LG,SAMSUNG is the best
Quality,technology and durability and value for money
Hizo zilikiwa zinatoka Korea moja kwa moja,siku hizi hazipo zipo zinazotengenezwa under licence UE,Egypt na S.Africa mwenywe nazitafuta za from Korea direct.Hii TV niliyonayo ni Samsung HD inch 32, nilinunua laki saba wakati ndio zinatoka, imeshawahi kupigwa chini kwenye domestic violence lakini iko vilevile na Ina miaka zaidi ya 10, je Samsung bado watakuwa na bidhaa imara kiasi hiki kwa miaka hii?