Ni SMS yangu ya mwisho kwake. Je, nimekosea?

Ni SMS yangu ya mwisho kwake. Je, nimekosea?

Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yy alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mm nilikuwa naanza first year degree ualimu. Inshort tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa Jana baada ya a kuendelea kuonesha drama hii ni sms yangu nimeyomtumia Leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawah kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu Ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawah kuwa na hisia na we thus why kipnd chote cha mahusiano sikutaka ngono na ww.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Umezingua, kama humpendi ungeamsha kimya kimya. Umetuma msg ndefu ili aumie kama ambavyo unaumia. Na Cha ajabu, akiipotezea, bado ni wewe ndio utajisikia vibaya.

Man up broh.
 
Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yy alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mm nilikuwa naanza first year degree ualimu. Inshort tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa Jana baada ya a kuendelea kuonesha drama hii ni sms yangu nimeyomtumia Leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawah kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu Ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawah kuwa na hisia na we thus why kipnd chote cha mahusiano sikutaka ngono na ww.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Hawa ndio waalimu wetu 😂😂😂😂
 
Hii inaitwa 'sizitaki mbichi hizi'.

Mwisho wa siku mshindi ni yeye, kama alikula vyako na wewe hujamla in every sense wewe ndio umepigwa.

Halafu ukiona mwanamke ana drama nyingi ujue hakupendi pia. Haw dada zetu wakipenda huwa wanakuwa watiifu mno.
 
Nyie ndugu yenu asije akajinyonga huku njooni mumfariji,maana hazitaki mbichi zile😁😁😁 Depal Missy Gf
Mtoa mada ana hasira za kukosa 😂😂anatafuta pa kupoozea machungu huyo…
Na atachelewa sana kumsahau huyo binti.

Malegend uwa wana move on kimya kimya, siku ukijichanganya kurudi unakutana na block 🧱
 
Back
Top Bottom