Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh we nae uwezo wako wa kufikiri ume ishia apo ?Sijui nna mind-set ya kiwaki, au sijui ni vipi, nikiona mdada kasoma pure Science afu anadate na jamaa wa Arts au social namdharau mara 1.
Labdaa jamaa wa pure science adate na mdada wa arts au social. Kwa wee OP huyo hata Co level zako, ungetafuta walimu wenzio huko.
Dr wa baadae awe na mwalimu? Hell no.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa umechunwa na kipochi manyoya hujalaa. Poleee we.
NAKAZIAHujiamini wewe na inaonekana mshamba sana, jumlisha na kozi uliyosoma ndiyo kabisa!! Mwanamke aliyokufanyia alikuwa sahihi kwa ulimbukeni wako!!
Wanaume tunaelekea wapi????
hii ni janja ya sungura?Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Umekosea kumtumia text ndefu kiasi hicho ungempiga chini short and clear au ungemtema kimya kimya tu anyway shikilia hapo hapo akijishusha na wewe ukaingiwa na huruma ukarudisha majeshi she will see you as a pawn.Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Na hiyo block itamuuma sana....Mtoa mada ana hasira za kukosa 😂😂anatafuta pa kupoozea machungu huyo…
Na atachelewa sana kumsahau huyo binti.
Malegend uwa wana move on kimya kimya, siku ukijichanganya kurudi unakutana na block 🧱
Wenzie wanaondokaga kimyakimya halafu siku isiyo na jina anaibuka"baby nimekumiss,nikuone basi!hapo ujue vyuma vimeumana anatafuta lubricant 😁😁😁😁Wenzako wanapiga kimya tu, watoto wa kiume hawana maneno shombo, unavunga tu.
Teacher anazingua sana😁😁😁😁ndio maana kapigwa chiniMwalimu gani huyu hajui matumizi ya your
Hebu apite hivi
pole kwa kunyanyasikaWakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Too lowWakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Umeongea mengi lakini uchungu wako upo hapa, kibunda ulichopoteza kwa huyo manzihata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu