mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
ila wewe...Sasa hilo gazeti lote...lanini...si ungemwambia tu muachane.
Epuka kutu long paragraphs bit....ch
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila wewe...Sasa hilo gazeti lote...lanini...si ungemwambia tu muachane.
Epuka kutu long paragraphs bit....ch
Mwanaume timamu na aliekomaa hajibizani na mwanamkeWakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Kama kawaidaaaa...Na bika hiyana, una LUBRIKANTISHA vyuma vilegee kisha unapiga kimya. 😂
Huyu anaonekana ni wale wa hasira za upole, wale wa 'utanikumbuka' hana madharaMungu atuepushie watoto wetu na waalimu kama wewe, imagine someone is this bitter na anatakiwa afundishe watoto wako! 🤦🏻♀️🤷🏻♀️
Aiiiiiiiii hivi mapenzi yanauma kiasi hiki eenhe?Huyu anaonekana ni wale wa hasira za upole, wale wa 'utanikumbuka' hana madhara
kwetu wanaume ndioAiiiiiiiii hivi mapenzi yanauma kiasi hiki eenhe?
Always nakuwaga upended wa wanaume ila hapa jamaa kazingua usimtetee, hakuna cha maana kuna Principles nyingi za Masculinity kazivunja na ku SIMP sanaMwanangu humu unaweza ukaandika kitu kizuri tu ila kisipowapendeza wanawake kuna wanaume humu ambao mimi huwaita MALEFEE, Hawa ni wanaume ambao mbele ya pisi huwaambii kitu wanaweza hata kukupinga au kufanya sifa yoyote kwa njia yoyote ili wapendwe na madem.
Uwalimu sio Arts tu, wapi uliambiwa hiki kuwa unlimited ni Arts tuSijui nna mind-set ya kiwaki, au sijui ni vipi, nikiona mdada kasoma pure Science afu anadate na jamaa wa Arts au social namdharau mara 1.
Labdaa jamaa wa pure science adate na mdada wa arts au social. Kwa wee OP huyo hata Co level zako, ungetafuta walimu wenzio huko.
Dr wa baadae awe na mwalimu? Hell no.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa umechunwa na kipochi manyoya hujalaa. Poleee we.
Sasa mkuu ungekuwa unazijua ungeenda dm umuelekeze sio kumkataa mshkaji mbele ya UMMA ambao hata hao ladies wanaona.Always nakuwaga upended wa wanaume ila hapa jamaa kazingua usimtetee, hakuna cha maana kuna Principles nyingi za Masculinity kazivunja na ku SIMP sana
Ndiyo, Sheria za kiuanaume tunam-support mwenzetu hadharani alafu chimbo tunampa makavu.... Me siwezi kujifanya better kiasi nimkatae mwanaume mwenzangu mbele ya pichu hata kama hayupo sahihi ili nionekane bora.Kwahiyo hata mtu akiandika upumbavu so long amewasema wanawake ndio wanaume wote wamsupport?
Kwenye Mapenzi SIMP inabidi ajifunze kwanjia ngumu ukimpetipeti atadeka.Sasa mkuu ungekuwa unazijua ungeenda dm umuelekeze sio kumkataa mshkaji mbele ya UMMA ambao hata hao ladies wanaona.
Chill, We can't seat together mzee una njia zako wewe na wenzako.Kwenye Mapenzi SIMP inabidi ajifunze kwanjia ngumu ukimpetipeti atadeka.
We mwamba kaka 🙌🙌🙌👊👊👊👊👊👊👊Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Jamaa Mwamba ??? KivipiWe mwamba kaka 🙌🙌🙌👊👊👊👊👊👊👊