Ni SMS yangu ya mwisho kwake. Je, nimekosea?

Ni SMS yangu ya mwisho kwake. Je, nimekosea?

Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,

Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Unafeli bab,
Kwanini usipige kimya tu uendelee na mitkasi mingine kimyakimya
Meseji hii haioneshi hukumpenda,inaonesha umekimbia pambano
Piga kimya endelea na kazi zako.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Umegonga, mzigo hujapewa. Huyo mwanamke hakuwa na mahusiano na wewe, wewe ndiye ulikuwa na mahusiano naye.
 
Mbona mimi naona wewe ndio narcissist, vijana hadi mje mjipate mtakuwa mmeteseka sana kwenye mapenzi, tatizo ego zenu hazitaki kukubali kuwa mwanamke ana uhuru wa kuchagua, kuacha na kuchagua kingine.

Hata sisi hadi tumefikia hapa kuwa mashangazi tushatukanwa sana, being bullied, calling names, kuna muda hadi mtu anakuwinda akukate mitama 😂😂😂😂 Wengine tumekuwa katika mitaa ambayo ilikuwa na wababe na wakora.
🤣🤣🤣
 
Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,

Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Sizitaki mbichi hizi. Soma dogo achana na mapenzi. Tena unahonga tu daily kama bwege unadai unafanya research. Soma achana na huu upuuzi.
 
Wenzie wanaondokaga kimyakimya halafu siku isiyo na jina anaibuka"baby nimekumiss,nikuone basi!hapo ujue vyuma vimeumana anatafuta lubricant [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo ndo malegend wanalipa kila kitu,unajifanya gentlemen ili ajae vizuri,unapiga tukio kisha unaanza kumnyanyasa mpaka ajikatae

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,

Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Umekosea sana dogo, hapa hujaonesha uwanaume halisi. Mwanamke haachwi hivyo kwa kashfa hatakama alionesha dalili za kukuacha. Yaani inaonekana Una maumivu makubwa ndani ya moyo wako so unatafuta ahueni kwa kutaka kumuumiza kwa sms yako iliyokosa ustaarabu. Ila jua tu hata uje kuonana nae baada ya miaka mingapi jua tu atakudharau tu.
 
Ujakosea kusema ya moyoni.
Usimtafute tena sasa!
Usimpe kichwa, amekosea sana. Embu vaa viatu vya huyo gal anayemuongelea ndio ungekuwa wewe, how would you feel? Kama mapenzi yameisha kati ya partners ambianeni kwa ustaarabu tu then kila mtu achukue njia yake inatosha.
 
Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,

Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Wewe ni kajinga kamoja tu

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,

Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
hahaahahahahahh!
Ila wanaume kizazi hiki pana kazi kweli!
 
mshua unafaa kua comediani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

HAHAHAHAHAHAGAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA

HEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHEHHE

HIHIHIIIHIHIIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIGIHIHIIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHUHIHIIHIHIHIHIHIHIIHIHIHIHIHIHIIHIHIHIHIHIHIIHIHIH

HIHUHUUHUHUHUHUHUHUHUUHUUHUHUHHUHUHUHUHUUHUUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUUHUUHUUHUHUHUHUUHUHUHUHUUHHUHUHUUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUH7HUUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUU
 
Kwani ukipiga kimya tu kutatokea Nini? Na huo muda wa kuandika sms Kama gazeti unautoa wapi?
 
Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,

Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Wanaume aina yako wwjinga sana, binti akikutolea nje huwa tunapiga kimya tu sio kumwaibisha na maneno makali
 
Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.

Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.

"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.

Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.

Your don't deserve my worth, your narcissist girl.

Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,

Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Duuh wee jamaa. Bango lote hili huko anakucheka sana.
 
Back
Top Bottom