Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Saddam alinambia kama hujawai kutumia kilevi chochote haujawai kuishi.....

Ni rafik angu sana na alikua ana smoke weed sikuwai thubutu.....

Tangia nikiwa mtoto nimepambana sana nisije kua mtu wa ajab ajab......

Nakushaur jarib kunywa Hennessy, konyagi, K-vant, Coker, smart gin, bongo don... kunywa kidogo tu tena Kwa kiasi tena Kwa ku mix na red bull...
Kunywa jion tena baada ya kazi....usiwe mlevi...
Hivi vitu vinatakatisha sana akili...

😂😂😂😂 Just joking 🤣🤣🤣
 
Mbona kujunjana haimo😳, ujue imebidi nione aibu
Hiyo sio starehe..ni Basic needs.
Kuna tofauti ya Basic needs na Basic wants..
Starehe ni basic want.
FB_IMG_16736758915641868.jpg
 
Tofauti tangu mimi na wewe ni hyo ya kwazna kupenda kula ila uvo vingine vote ni mimi mtupu
 
Back
Top Bottom