Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Kuna Jamaa yupo igoma, anaitwa Paschal aisee ana vyuma ni 🔥🔥.
👉Zisizotafasiriwa na zilizotafasiliwa
Mdogo angu..... childhood memories nimekaa sana hapo kijereshi.....
Kuna magari yaliitwa..
Enzi izo chai maharage na chai mboga....😊😊🤓🤓

Kitambo sana aisee sijakanyaga ardhi ya mwanza....Japo Mimi sio Mzawa wa MZa...
I wish Mwaka huu kabla hauja isha.. inshallah....nikate ticket ya ndege Go & Return japo wiki Moja nije huko kusalimia Nyumbani......
Mara nyingi nimekua nawaleta wazazi huku nilipo.....
 
I mean no malice to nobody, vipi umesha acha kabisa kupiga mitungi😀😁
Haha kuacha kabisa bandugu dah, ika najicontrol now nikiamua kunywa nakunywa kiasi nikiamua kutulia natulia. Kuacha kabisa si mchezo mzee Bab na maisha haya ya stresses😆😆
 
Haha kuacha kabisa bandugu dah, ika najicontrol now nikiamua kunywa nakunywa kiasi nikiamua kutulia natulia. Kuacha kabisa si mchezo mzee Bab na maisha haya ya stresses😆😆
Basi ni vyema mkuu, Kama umeweza kujicontrol kimwili na kiroho
 
Back
Top Bottom