Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #361
Yanini niforce kumuelewa, binadamu mwenzagu mwenye manyoya mwili mzima.Hujanielewa, na hutonielewa.
👉 I mean no malice to nobody
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanini niforce kumuelewa, binadamu mwenzagu mwenye manyoya mwili mzima.Hujanielewa, na hutonielewa.
Ukifika gerezani utaachaSiwezi kuacha kuoga maji ya moto....
Yaani hata wasemaje siwezi kuacha...!!
😀😁 I mean no malice to nobodyUkifika gerezani utaacha
Huyo ni mwanaumeAlafu nimegundua wanawake mnapenda sana sex, kuliko Sisi
Utaacha tu
Nipo mwanza, napenda sana sana movies hasa latest movies. Nipe directionUngekuwa mwanza, ningekuelekeza kwa jamaa flani hivi
Jarib kuanza kunywa japo kwenye occasional kidogo kidogo...😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣DAEMUSHIN, Kuna vitu tunarandana kidogo. Mfano kutokuwa mzinifu
-kutokwenda club
-sinywi pombe
-sivuti sigara,bangi au unga
Mi nitakua special caseUkifika gerezani utaacha
Kwa kweli we ni wakipekee kama avatar yako, Mimi napenda jf siku MTU aniambie nisiingie huku nitafadhaika saana, starehe ingine sinaJamani mi nahisi nimerogwa sijui ndo starehe yangu au nimerogwa napenda sana kumer. Nipo tayari kusafiri umbali mrefu kisa kipochi.
Mwezi uliopita nilitumia save ya miezi mitatu kumfata demu mbali sana. Kuna muda nahisi nimerukwa akili halafu hua napenda sana mademu wa mbali Sana yaani hiyo ndo burudani yangu...
Hongera [emoji2]Kwa kweli we ni wakipekee kama avatar yako, Mimi napenda jf siku MTU aniambie nisiingie huku nitafadhaika saana, starehe ingine sina
I mean no malice to nobody 😁😀, me na pombe ni mafuta ya kufikia na pombeJarib kuanza kunywa japo kwenye occasional kidogo kidogo...😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣
Nilikua na Tania tu in JPM voice....
Hahaha, I mean no malice to nobody 😁😀Kwa kweli we ni wakipekee kama avatar yako, Mimi napenda jf siku MTU aniambie nisiingie huku nitafadhaika saana, starehe ingine sina
Vipi mkuu, we hung hobby yeyote??mh!!
I mean no malice to nobody, ila Kumbuka HIV kills😁😀.Jamani mi nahisi nimerogwa sijui ndo starehe yangu au nimerogwa napenda sana kumer. Nipo tayari kusafiri umbali mrefu kisa kipochi.
Mwezi uliopita nilitumia save ya miezi mitatu kumfata demu mbali sana. Kuna muda nahisi nimerukwa akili halafu hua napenda sana mademu wa mbali Sana yaani hiyo ndo burudani yangu...
Angalia usije kalia tumbo, I mean no malice to nobodyMi nitakua special case
Ahahahah mkuu uzima upo..Angalia usije kalia tumbo, I mean no malice to nobody