Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Sijui kama nitakuja kuacha kubishana Yanga na Simba! Yaani ninavyoipenda Yanga huwa sitaki mtu aiseme vibaya halafu mimi ninyamaze!
 
Napenda kuangalia mashine mpya au technologia mpya iliyogunduliwa duniani ya kitu chochote japo navutiwa zaidi na Mchines. Yaani naweza kukaa kwenye Computer hata siku nzima nafuatilia (new discoveries)
Hivi vitu (machines/gadgets) vinakuja madukani vya new tech mnavishangaa pengine mimi navifahamu vizuri miaka tatu iliyopita.....
 
Jamani mi nahisi nimerogwa sijui ndo starehe yangu au nimerogwa napenda sana kumer. Nipo tayari kusafiri umbali mrefu kisa kipochi.

Mwezi uliopita nilitumia save ya miezi mitatu kumfata demu mbali sana. Kuna muda nahisi nimerukwa akili halafu hua napenda sana mademu wa mbali Sana yaani hiyo ndo burudani yangu...
 
Jamani mi nahisi nimerogwa sijui ndo starehe yangu au nimerogwa napenda sana kumer. Nipo tayari kusafiri umbali mrefu kisa kipochi.

Mwezi uliopita nilitumia save ya miezi mitatu kumfata demu mbali sana. Kuna muda nahisi nimerukwa akili halafu hua napenda sana mademu wa mbali Sana yaani hiyo ndo burudani yangu...
Kwa kweli we ni wakipekee kama avatar yako, Mimi napenda jf siku MTU aniambie nisiingie huku nitafadhaika saana, starehe ingine sina
 
Jamani mi nahisi nimerogwa sijui ndo starehe yangu au nimerogwa napenda sana kumer. Nipo tayari kusafiri umbali mrefu kisa kipochi.

Mwezi uliopita nilitumia save ya miezi mitatu kumfata demu mbali sana. Kuna muda nahisi nimerukwa akili halafu hua napenda sana mademu wa mbali Sana yaani hiyo ndo burudani yangu...
I mean no malice to nobody, ila Kumbuka HIV kills😁😀.
👉 Kumbuka kutimiza majukumu na Malengo yako
 
Back
Top Bottom