Ni stress, kiburi au vichwa vigumu, kwanini watanzania wengi hupuuza amri kama "usikojoe hapa, usipite njia hii, abiria chunga mzigo wako

Ni stress, kiburi au vichwa vigumu, kwanini watanzania wengi hupuuza amri kama "usikojoe hapa, usipite njia hii, abiria chunga mzigo wako

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Usipite hapa, nakumbuka hapa kwa macho yangu zamani tulifika sehemu ni kama kuna ujenzi wa barabara unaendelea wamefunga njia, mjomba alishuka kwenye gari akatoa jiwe slinaliziba njia, alikuwa anawahi bar, alinishushia njiani

Msikojoe hapa....mtu anakojolea kabisa hayo maneno kwa mtindo wa kuchora kwa kukojoa.

Abiria chunga mzigo wako.., mtu kaweka mziko nyuma mbali na siti yake, akiibiwa anaanza kulalamika kwa dereva.

hivi kweli hata kulenga tundu chooni mtu unashindwa ?
 
Ushawai kuona kitu watanzania wakawa na serious nacho?
 
Wawe wana mtag muhusika...sasa mimi nitajuaje kama nimeambiwa mimi au mtu mwingine.???

MFANO: wewe Deejay nasmile usikojoe hapa

Hapo nikipita nitajua nimepewa amri nisikojoe hapo..
 
lowasa alikuwa na maana kubwa sana alipokuwa akisema kipaumbele cha kwanza ni elimu elimu elimu
 
Back
Top Bottom