HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Kwanini hamjibu hoja zake mmekazana chanjo zilikuwepo toka mwamza jibu hoja acheni ufalaNi ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.
Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.
Ni sahihi je....? Chanjo utakayo chanjwa wewee ndo ile ya kule wanao chanja wazungu....?Ni ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.
Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.
Ni ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.
Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.
Magufuri ameuawa na nani na kwan namna gani (who & how)???Kwanini waliohoji juu ya ubora wa chanjo nk wameuawa duniani?kwanini wawaue akiwemo magufuri
Mi nafikiri opposition ya chanjo ni kutokana na mambo mengi mtambuka.
Kuna wanaolitazama suala la chanjo kutumika kama plot ya kutekeleza ukoloni mpya kabisa. Unaolazimisha dunia yote ifikirie na ifanye wao wanavyotaka. Kwani kama chanjo ni kimbilio si muwaache akina Gwajima wafe? Kwa nini mnataka wanyamaze?
Kwani Gwajima kakosea nini , akisema askofu bagonza ooh kaonyeshwa na Mungu , akisema Gwajima ooh kanyea kambi , mara Uhuru wa kujieleza, Gwajima akisema basi anawanyea mdomoni what a fu-ck ...!! Kama mbowe ni Gaidi na kuna ushahidi wote inabidi anyongwe quickly as possible
watajua wenyewe huko, ccm wao ndo waliomuona ni bora zaidi wakampitisha kwenda bungeni, leo hii wamegeukwa, ama kweli malipizi ni hapahapa duniani. Walizani wamepata kumbe wamepatikana.Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.
Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.
Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.
Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.
Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.
Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Ishu hii ya Gwajima corona inatumika kama sababu tuu... Hii ni zaidi tujuavyo, Gwaji hayuko peke yake na katika genge lao yeye ndio kachaguliwa kama mpiga filimbi (sio yule wa Hamelin)Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.
Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.
Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.
Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.
Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.
Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Swali la kwanza ambalo angepaswa kuuliza Gwajima Ni hili;Je Ni kweli kuwa Corona ipo?Itakuwa uonezi..yeye anauliza hoja za kisomi sasa kwaninj hawajibu hoja zake?Haya ndo magufuri alikuwa akiuliza juu ya kuambiwa afanye lockdowan matokeo yake wakamuua. Kama walivua marais wengine waliohoji kama vile rais wa Hait..juzi haoa madagascar etc
Gwajima Ni mzito? Ana uzito gani?Gwajima sio mwepesi mdhaniavyo mkiona kifaranga anatembea kwa maringo mbele ya mwewe mjue mamake Hayupo mbali
Kwenye siasa kamwe usikubali kutangulizwa mbele.Mambo yakiwa magumu wenzio wanakata Kona.Mambo ya CCJ,mambo ya Kina Lowassa yanapaswa kuwa funzoIshu hii ya Gwajima corona inatumika kama sababu tuu... Hii ni zaidi tujuavyo, Gwaji hayuko peke yake na katika genge lao yeye ndio kachaguliwa kama mpiga filimbi (sio yule wa Hamelin)
Kundi faidika la mwanakwenda ndio wako kwenye mpango kabambe wa kumyumbisha bimkubwa..Na agenda yao ni 2025... Wana maslahi yao makubwa na ya siri kwenye hili na ndio wako nyuma ya kupinga katiba mpya kwa nguvu zote..Halali na haramu
Corona ipo au haipo?Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?
Hata hivyo:
1. Mwenzio anazungumza mambo katika perspective ya kiroho, ambayo wewe naamini kuwa huna uelewa huo...
2. Hata katika perspective ya kisayansi anaelewa kuliko unavyoelewa wewe. Mfano hoja za kisayansi za Mch. Gwajima ni;
#1. Hakuna utafiti wa kutosha wa kisayansi uliokwisha kufanyika kuthibitisha usalama wa chanjo yeyote ya korona mpaka sasa. Kama upo weka paper yake hapa uoneshe ilichapwa lini, wapi na nani. Kama hakuna, haraka ya nini kutaka kulazimisha kila mtu achanjwe pasipo kuwa na scientific safety assurance kwanza..?
#2. Nini madhara ya chanjo hii ya muda mfupi, wa kati na mrefu kwa atakayechanjwa..?
#3. Kwa maneno ya Rais Samia Mwenyewe siku ya uzinduzi wa chanjo kitaifa alisema kuwa, mara mtu achanjwapo anaingia moja kwa moja kwenye database ya dunia. Swali, ni nani mmiliki wa database hiyo? Yuko wapi?
Haya ndo maswali anayouliza Mch. Gwajima na watetezi wa hii kitu wanakwepa au wanashindwa kutoa majibu sahihi...!!
Kama mtu makini hajiulizi maswali haya kabla ya kupokea hii kitu, basi huyo mtu ndiye mjinga kabisa kwa 100%...!!!!
Wala huibiwi ardhi kwa njia na namna hiyo ujuayo wewe. Aidha ili kujibu hoja hii, ni lazima kwanza ujibu swali la #3 hapo juu...
Hata hivyo, si kweli kuwa, huko walikotengeneza chanjo hizi wote wanachanjwa. Wapo tena kwa maelfu wenye misimamo kama ya Mch. Gwajima hapa Tanzania...!!
Absolutely, Mungu wetu ni wa kipekee. Anatupenda sana. Sijui ni kwanini wewe huuoni upendo huo...!
Imeandikwa;
"...hamkosi kuzitambua hila (mikakati) yake (yaani ibilisi/shetani)...."
Si kila kilicho kizuri kwa kuonekana kwa sauti au kwa dhamira chatoka kwa Mungu. Mwombe Mungu akupe uwezo wa kuzitambua hila zake mbaya za uangamivu...!!
Hata hivyo, kuchanjwa ni hiari. Tumia uhiari wako kuamua kwa busara na kwa usalama wako. Kwa hili, chagua Mungu katika Yesu Kristo. Kwake ni guaranteed usalama kwa 100%....!!
Halafu ntataka nimuone spika kama atamng'ang'ania kama wale 19Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.
Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.
Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.
Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.
Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.
Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Mimi nadhani ajibiwe hoja zake na si vinginevyo!!Ni ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.
Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.