Ni suala la muda tu jimbo la Kawe kutangazwa kuwa lipo wazi

Ni suala la muda tu jimbo la Kawe kutangazwa kuwa lipo wazi

Ni ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.

Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.
Kwanini hamjibu hoja zake mmekazana chanjo zilikuwepo toka mwamza jibu hoja acheni ufala
 
Gwajima aliahidi kununua katapila kwa pesa yake ndani ya siku 90 toka kuchaguliwa. Vipi ameshanunua?
 
yaani bora iwe hivyo. mimi mwenyewe CHADEMA damu ila juu ya misimamo ya Mchungaji Gwajima kuhusu chanjo ya Corona nasimama nae kwa 100% na namuombea kwa Mungu washenzi-washenzi wanaompinga na kumtishia wakaangamie.
 
Ni ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.

Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.
Ni sahihi je....? Chanjo utakayo chanjwa wewee ndo ile ya kule wanao chanja wazungu....?

Na bila kusahau kuwa mzungu hafanyi kazi ya hasara.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini waliohoji juu ya ubora wa chanjo nk wameuawa duniani?kwanini wawaue akiwemo magufuri


Ni ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.

Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.
 
KUNA MADILI MAKUBWA 2 HAPA DUNIANI
AMBAYO NI MAN MADE

1 VITA
2 MAGONJWA .

1 (VITA)
Hii ni fursa ya kubwa sana ya biashara ya kuuza silaha na zana za kijeshi.

2 (MAGONJWA)
Hii ni fursa kubwa sana ya biashara ya madawa na vifaa tiba.

Ukiniambia CHANJO NI DILI/BIASHARA nitakuelewa sana. Lakini ukiniambia chanjo imewekewa vitu vya kuua au kuharibu DNA za watu siwezi kukuelewa unless unipe hoja zenye mashiko na zilizoshiba na sio hivi tunavyodanganyana mitaani.

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini waliohoji juu ya ubora wa chanjo nk wameuawa duniani?kwanini wawaue akiwemo magufuri
Magufuli alikufa kwa Corona. Mtu una moyo wa plastiki bado unaletea ujuaji Corona? Na Gwajima anachojivunia ni kukosa magonjwa nyemelezi.
 
Mi nafikiri opposition ya chanjo ni kutokana na mambo mengi mtambuka.

Kuna wanaolitazama suala la chanjo kutumika kama plot ya kutekeleza ukoloni mpya kabisa. Unaolazimisha dunia yote ifikirie na ifanye wao wanavyotaka. Kwani kama chanjo ni kimbilio si muwaache akina Gwajima wafe? Kwa nini mnataka wanyamaze?

Gwajima hajapata kuwa kiongozi. Sidhani kama yuko timamu kiakili. Kwenye suala la uhai kama hili la chanjo kiongozi wa kuchaguliwa hawezi kutumia mtazamo wake binafsi kugawa uma. Kwa sababu siyo kiongozi wa kisiasa hajui hata maana ya sera ya chama chake na serikali. Kutoamini chanjo ni suala lake binafsi na hapaswi kutumia nafasi yake kisiasa au kidini kushawishi watu wengine.
 
Kwani Gwajima kakosea nini , akisema askofu bagonza ooh kaonyeshwa na Mungu , akisema Gwajima ooh kanyea kambi , mara Uhuru wa kujieleza, Gwajima akisema basi anawanyea mdomoni what a fu-ck ...!! Kama mbowe ni Gaidi na kuna ushahidi wote inabidi anyongwe quickly as possible

Gwajima ni kiongozi wa kisiasa. Katika suala hili zito hapaswi kuweka mawazo yake binafsi hadharani hasa yanapotofautiana na sera ya chama chake. Vinginevyo ajiuzulu kwanza nafasi yake kisiasa.
 
Hilo sahau. Tena ulipoharibu ni hapo umesema huenda mwezi huu usiishe akiwa mbunge.
 
wa
Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.

Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.

Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.

Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.

Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.

Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
watajua wenyewe huko, ccm wao ndo waliomuona ni bora zaidi wakampitisha kwenda bungeni, leo hii wamegeukwa, ama kweli malipizi ni hapahapa duniani. Walizani wamepata kumbe wamepatikana.
 
Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.

Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.

Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.

Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.

Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.

Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Ishu hii ya Gwajima corona inatumika kama sababu tuu... Hii ni zaidi tujuavyo, Gwaji hayuko peke yake na katika genge lao yeye ndio kachaguliwa kama mpiga filimbi (sio yule wa Hamelin)
Kundi faidika la mwanakwenda ndio wako kwenye mpango kabambe wa kumyumbisha bimkubwa..Na agenda yao ni 2025... Wana maslahi yao makubwa na ya siri kwenye hili na ndio wako nyuma ya kupinga katiba mpya kwa nguvu zote..Halali na haramu
 
Itakuwa uonezi..yeye anauliza hoja za kisomi sasa kwaninj hawajibu hoja zake?Haya ndo magufuri alikuwa akiuliza juu ya kuambiwa afanye lockdowan matokeo yake wakamuua. Kama walivua marais wengine waliohoji kama vile rais wa Hait..juzi haoa madagascar etc
Swali la kwanza ambalo angepaswa kuuliza Gwajima Ni hili;Je Ni kweli kuwa Corona ipo?
Haiwezekani awaamini wazungu kuwa Corona ipo halafu awabishie wanapoleta Chanjo.Aanze kwanza kusema kufuata kanuni za kujikinga na Corona Ni hiari.
 
Ishu hii ya Gwajima corona inatumika kama sababu tuu... Hii ni zaidi tujuavyo, Gwaji hayuko peke yake na katika genge lao yeye ndio kachaguliwa kama mpiga filimbi (sio yule wa Hamelin)
Kundi faidika la mwanakwenda ndio wako kwenye mpango kabambe wa kumyumbisha bimkubwa..Na agenda yao ni 2025... Wana maslahi yao makubwa na ya siri kwenye hili na ndio wako nyuma ya kupinga katiba mpya kwa nguvu zote..Halali na haramu
Kwenye siasa kamwe usikubali kutangulizwa mbele.Mambo yakiwa magumu wenzio wanakata Kona.Mambo ya CCJ,mambo ya Kina Lowassa yanapaswa kuwa funzo
 
Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?

Hata hivyo:

1. Mwenzio anazungumza mambo katika perspective ya kiroho, ambayo wewe naamini kuwa huna uelewa huo...

2. Hata katika perspective ya kisayansi anaelewa kuliko unavyoelewa wewe. Mfano hoja za kisayansi za Mch. Gwajima ni;

#1. Hakuna utafiti wa kutosha wa kisayansi uliokwisha kufanyika kuthibitisha usalama wa chanjo yeyote ya korona mpaka sasa. Kama upo weka paper yake hapa uoneshe ilichapwa lini, wapi na nani. Kama hakuna, haraka ya nini kutaka kulazimisha kila mtu achanjwe pasipo kuwa na scientific safety assurance kwanza..?

#2. Nini madhara ya chanjo hii ya muda mfupi, wa kati na mrefu kwa atakayechanjwa..?

#3. Kwa maneno ya Rais Samia Mwenyewe siku ya uzinduzi wa chanjo kitaifa alisema kuwa, mara mtu achanjwapo anaingia moja kwa moja kwenye database ya dunia. Swali, ni nani mmiliki wa database hiyo? Yuko wapi?

Haya ndo maswali anayouliza Mch. Gwajima na watetezi wa hii kitu wanakwepa au wanashindwa kutoa majibu sahihi...!!

Kama mtu makini hajiulizi maswali haya kabla ya kupokea hii kitu, basi huyo mtu ndiye mjinga kabisa kwa 100%...!!!!


Wala huibiwi ardhi kwa njia na namna hiyo ujuayo wewe. Aidha ili kujibu hoja hii, ni lazima kwanza ujibu swali la #3 hapo juu...

Hata hivyo, si kweli kuwa, huko walikotengeneza chanjo hizi wote wanachanjwa. Wapo tena kwa maelfu wenye misimamo kama ya Mch. Gwajima hapa Tanzania...!!

Absolutely, Mungu wetu ni wa kipekee. Anatupenda sana. Sijui ni kwanini wewe huuoni upendo huo...!

Imeandikwa;

"...hamkosi kuzitambua hila (mikakati) yake (yaani ibilisi/shetani)...."

Si kila kilicho kizuri kwa kuonekana kwa sauti au kwa dhamira chatoka kwa Mungu. Mwombe Mungu akupe uwezo wa kuzitambua hila zake mbaya za uangamivu...!!

Hata hivyo, kuchanjwa ni hiari. Tumia uhiari wako kuamua kwa busara na kwa usalama wako. Kwa hili, chagua Mungu katika Yesu Kristo. Kwake ni guaranteed usalama kwa 100%....!!
Corona ipo au haipo?
Yale Mabomba kanisani kwake kaweka ya Nini?
 
Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.

Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.

Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.

Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.

Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.

Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Halafu ntataka nimuone spika kama atamng'ang'ania kama wale 19
 
Ni ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.

Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.
Mimi nadhani ajibiwe hoja zake na si vinginevyo!!


Nimesikiliza clip moja wanahoji maswali yale yale kama ya Gwajima, tusimjibu mtu tujibu hoja!


Pia wengi hawasikilizi hoja za Gwajima ila kwakuwa ni.mwana CCM hoja zake zinakuwa zinapuuzwa!

Mfano leo amehoji inakuwaje wataalamu wetu miezi minne walikuwa wanajifukiza halafu leo wamegeuka na kunadi chanjo ambayo hapo Mwanzo waliipinga, nadhani hapa kuna hoja ambayo inapaswa ijibiwe!


Pia amekwenda mbali zaidi akikosoa viongozi ambao hapo kabla walitupilia mbali professsion zao leo wanatuambia tuchanje ndo anahoji sasa tuwaaminije watu wanaobadilika badilika? Ka challenge pia mtaalamu aliyefunga mtungi/pipa kama sikosei pale muhimbili kwa ajili ya kujifukiza na leo anatetea chanjo anahoji je naye anatakiwa kuaminiwa?


Nilimuelewa Naibu waziri wa afya alisema watu kama Gwajima wanapaswa kujibiwa kwa hoja kwa maana waelimishwe na kupewa maelezo ya hii chanjo!!


Leo pia nimesoma ripoti huko Marekani inaonyesha kwamba maambukizi ya uviko-19 kwa watoto wadogo unaongezeka!!


Nashauri, tusimbeze Gwajima, ajibiwe na wala asionekane ni adui!!
 
Back
Top Bottom