Ni suala la muda tu Waziri Mchengerwa atafanya tufungiwe na FIFA

Ni suala la muda tu Waziri Mchengerwa atafanya tufungiwe na FIFA

Wakipata dola million mimi nafaidika nini ?Mapenzi ni zaidi ya pesa. Mimi kamwe siwezi shabikia Simba hata wabebe ndoo la CAF. Mimi ni Yanga daima hata tukitolewa na Al Hilal.
Yangaaaaaaaaa............
 
Wakipata dola million mimi nafaidika nini ?Mapenzi ni zaidi ya pesa. Mimi kamwe siwezi shabikia Simba hata wabebe ndoo la CAF. Mimi ni Yanga daima hata tukitolewa na Al Hilal.
Umemaliza...
Halafu yanga itakujaga kufanya vizuri sio sasahivi kwa kulazimisha mambo... Acha tupigwe ndo tuunde timu yenye ushindani zaidi maana kama Al Hilal anakutesa hivo huko makundi tunafata nn?? Mi tufuzu tusifuzu it is still fine
 
Wakipata dola million mimi nafaidika nini ?Mapenzi ni zaidi ya pesa. Mimi kamwe siwezi shabikia Simba hata wabebe ndoo la CAF. Mimi ni Yanga daima hata tukitolewa na Al Hilal.
hiyo dollar million simba ataipata kwenye michuano hii hana haja ya kusubiri support ya mwingine, kuingia makundi tu kuna usd 550,000 hayo mahesabu akaipe team yake isiyo na mipango wala mipangilio
 
Kiukweli naona hisia za team yake ya Yanga kuwa mguu ndani nje zimemchanganya sana, haswa ukichukulia Simba ilifanya vizuri ugenini.

Kauli alizozitoa jana ukitafakari unaona ni hasira tu, sasa ma hasira yake kuna mambo anataka alazimishe Simba
wafanye kugawana kwa hati yao na Yanga, au kwa sababu Hersi alikuwepo pale hisia za majonzi zikawa nzito?

Sasa sikia ndugu Waziri, siyo lazima Simba ishirikiane na Yanga hata ukitushikia mapanga kama vipi kafute usajili wa Simba SC!

Tangu mwaka 1993 fainali ya CAF Second Leg Dar es Salaam dhidi ya Stella Abidjan magoli mawili ya Boli Zozo yanatinga wavuni na kuinyima Simba nafasi ya kuwa Bingwa wa Afrika waliimba "Uzalendo umetushinda umetushinda" na bila shaka hata wewe popote ulipokuwepo ulishangilia Simba kufungwa.

Ni mabingwa wa kamati za mapokezi na bila shaka tutaziona Simba ikianza kucheza makundi, Manara alikupopoa ukanyamaza kimya ingekuwa msemaji wa Simba kakupa makavu vile ungemuacha kweli?

NI SUALA LA MUDA TU KAULI ZAKO ZA KIBABE ZITAGONGANA NA TFF, NA FIFA WATATIA MGUU. YETU MACHO, BILA SHAKA UTAANZA NA SUALA LA KUTAKA AFUNGULIWE TUTAANDIKA E MAILS ZA KUTOSHA FIFA KUWAAMBIA.

HATUTAAAAKI KU SUPPORT YANGA FANYA UFANYAVYO SASA, AU HERSI ALIKUJA JANA HAPO KUPOKEA TEMBO WARRIORS KUJA KUBEMBELEZA SIMBA WAUNGE MKONO. HATUTAAKI SASA!

View attachment 2384384
Moja ya watu wabaongoza kuharibu mipango ya soka ni wanasiasa. Mpira hautaki siasa. Yanga imekaa kisiasa. Huyo waziri atulie zake aache kutaka kulazimisha sijui simba ishirikiane ya yanga. Katika dunia ya ubepari competition ya uwekezaji ndio inayoleta matunda bora. Simba wawekeze vzr kwa ukubwa wao afu aje mtu aseme tushirikiane ikiwa wao wamewekeza kwenye propaganda. Yanga ili ibadilike itoke kwenye hizo siasa. Simba waliwezea kuwakataa na kuwa puuzia wanasiasa uchwara kama yule jamaa aliye nyimwa piki piki za mkopo na Mo. Yanga ndiyo timu inayoongoza kupinga juhudi za timu zingine. Unataka kwenda mbele kimataifa afu hufanyi maandalizi mazuri, hufanyi sajili zenye kueleweka unaokota wachezaji wa mafungu ili uweke bahasha uonekane una wachezaji kwa ligi za ndani utatudanganya ila kimataifa utaumbuka saana. Yanga adui yao mkubwa ni wanasiasa na viongozi wao wamekaa kiujanja ujanja. Kila kiti kina hitaji transition kutoka hatua moja nyuma kwenda hatua nyingine mbele. Na transition huwa ina kupanda na kushuka. Simba wamefanya transition yao mkawaponda mara sijui 20B hazijukikani ziliko wekwa sijui maneno mengi lakini wajuzi wa mambo.walisema wakati ni ukuta na muda ndio mwalimu mzuri.

Mwisho.niseme tu yanga ipo very primitive. Wasipo badilika kwa jasho na maumivu ya kukubali kuchekwa, kukifunza nk hawawezi kupiga hatua.
Huyo Hersi alishavaaga mpaka na t-shirt za Keizer chief ili tu ku onesha chuki yake dhidi ya simba. Matope waliyo ipaka simba bado tu mnataka ushirikiano wa kienyeji.? Walime na.kupanda wengine afu uvunaji mjitokeze ambao hamtaki kulima na.kupanda ili mfikie mavuno bora.
 
Tatizo la mpira wa Tz ni kuwa. Na timu mbili tu zenye nguvu,tungekuwa nazo zenye nguvu kama tatu nakuendelea huu ujinga usingekuwapo
 
Siwezi kushabikia Yanga abaaaadaniii. Yanga ni watu wa hovyo wasio na akili. Tena huyo waziri akae kwa kutulia
 
waziri mzima unatoa kauli kama hii, kwamba TFF tangu jamaa waingie makundi mwaka 1998 huwa wanatoa mbinu kwa team moja tu?
waziri kabugi.JPG
 
Rubbish, ukitaka kuandika nini? Hueleweki hata mtoto wa nursery school hawezi andika takataka kama hizi.
wewe na waziri wako wote rubbish tu, yaani tangu 1998 watu wlaipoingia makundi TFF zote zilikataa kuwapa mbinu? kwamba karia na TFF hii ndiyo inaipa simba mbinu za kuingia makundi? jamani ? he
waziri kabugi.JPG
 
Kiukweli naona hisia za team yake ya Yanga kuwa mguu ndani nje zimemchanganya sana, haswa ukichukulia Simba ilifanya vizuri ugenini.

Kauli alizozitoa jana ukitafakari unaona ni hasira tu, sasa ma hasira yake kuna mambo anataka alazimishe Simba
wafanye ku share mipango yao na Yanga, au kwa sababu Hersi alikuwepo pale hisia za majonzi zikawa nzito?

Sasa sikia ndugu Waziri, siyo lazima Simba ishirikiane na Yanga hata ukitushikia mapanga kama vipi kafute usajili wa Simba SC!

Tangu mwaka 1993 fainali ya CAF Second Leg Dar es Salaam dhidi ya Stella Abidjan magoli mawili ya Boli Zozo yanatinga wavuni na kuinyima Simba nafasi ya kuwa Bingwa wa Afrika waliimba "Uzalendo umetushinda umetushinda" na bila shaka hata wewe popote ulipokuwepo ulishangilia Simba kufungwa.

Ni mabingwa wa kamati za mapokezi na bila shaka tutaziona Simba ikianza kucheza makundi, Manara alikupopoa ukanyamaza kimya ingekuwa msemaji wa Simba kakupa makavu vile ungemuacha kweli?

NI SUALA LA MUDA TU KAULI ZAKO ZA KIBABE ZITAGONGANA NA TFF, NA FIFA WATATIA MGUU. YETU MACHO, BILA SHAKA UTAANZA NA SUALA LA KUTAKA TAKADINI AFUNGULIWE TUTAANDIKA E MAILS ZA KUTOSHA FIFA KUWAAMBIA.

HATUTAAAAKI KU SUPPORT YANGA FANYA UFANYAVYO SASA, AU HERSI ALIKUJA JANA HAPO KUPOKEA TEMBO WARRIORS KUJA KUBEMBELEZA SIMBA WAUNGE MKONO. HATUTAAKI SASA!

View attachment 2384384View attachment 2384623
Endeleeni kuhangaika na ligi kuu kwa kuhonga marefa na kununua mechi + ushirikina, Simba sc tunaingia Group stage na kitita chetu cha bilioni 2.3 mkononi.... zile milioni 600 za NBC za mchongo zinawatosha vyura nyieee
 
Kiukweli naona hisia za team yake ya Yanga kuwa mguu ndani nje zimemchanganya sana, haswa ukichukulia Simba ilifanya vizuri ugenini.

Kauli alizozitoa jana ukitafakari unaona ni hasira tu, sasa ma hasira yake kuna mambo anataka alazimishe Simba
wafanye ku share mipango yao na Yanga, au kwa sababu Hersi alikuwepo pale hisia za majonzi zikawa nzito?

Sasa sikia ndugu Waziri, siyo lazima Simba ishirikiane na Yanga hata ukitushikia mapanga kama vipi kafute usajili wa Simba SC!

Tangu mwaka 1993 fainali ya CAF Second Leg Dar es Salaam dhidi ya Stella Abidjan magoli mawili ya Boli Zozo yanatinga wavuni na kuinyima Simba nafasi ya kuwa Bingwa wa Afrika waliimba "Uzalendo umetushinda umetushinda" na bila shaka hata wewe popote ulipokuwepo ulishangilia Simba kufungwa.

Ni mabingwa wa kamati za mapokezi na bila shaka tutaziona Simba ikianza kucheza makundi, Manara alikupopoa ukanyamaza kimya ingekuwa msemaji wa Simba kakupa makavu vile ungemuacha kweli?

NI SUALA LA MUDA TU KAULI ZAKO ZA KIBABE ZITAGONGANA NA TFF, NA FIFA WATATIA MGUU. YETU MACHO, BILA SHAKA UTAANZA NA SUALA LA KUTAKA TAKADINI AFUNGULIWE TUTAANDIKA E MAILS ZA KUTOSHA FIFA KUWAAMBIA.

HATUTAAAAKI KU SUPPORT YANGA FANYA UFANYAVYO SASA, AU HERSI ALIKUJA JANA HAPO KUPOKEA TEMBO WARRIORS KUJA KUBEMBELEZA SIMBA WAUNGE MKONO. HATUTAAKI SASA!

View attachment 2384384View attachment 2384623
Halafu huyo waziri ajue mbinu hazitolewi na TFF ni umafia na jukumu la team husika. It doesn't come cheap anyway
 
Bahati ndiyo kila kitu.
Luck = Opportunity + Preparedness
Nafasi inapokutana na utayari. Kama hupati nafasi huwezi kuwa na bahati, na kama haupo tayari huwezi kuitumia bahati.
Bahati siyo kitu kibaya, na haitokei kwa watu wavivu. Kwa hiyo usikubali hayo mambo ya script, Simba wanajiandaa.
No script, it's purely luck.
[emoji28][emoji28][emoji28] bahati nasibu ya taifa sio? Basi brazil wana bahati sana mana wamewin world cup mara nyingi zaidi. Puuzi moko toka uto mpira uwekezaji na maadalizi ww unazungumzia bahati?? Au kwq kuwa tangu gsm aingie kwenu mbashinda kwa chupri chupri unafikiri vibahasha vinaapply mpaka kwenye mashindano makubwa ya caf.
 
hiyo dollar million simba ataipata kwenye michuano hii hana haja ya kusubiri support ya mwingine, kuingia makundi tu kuna usd 550,000 hayo mahesabu akaipe team yake isiyo na mipango wala mipangilio
Sio kulazimishana tuwashabikie sasa.
 
Muheshimiwa Mchengerwa akemee kwanza tabia ya klabu flani kupokea wageni.
 
Moja ya watu wabaongoza kuharibu mipango ya soka ni wanasiasa. Mpira hautaki siasa. Yanga imekaa kisiasa. Huyo waziri atulie zake aache kutaka kulazimisha sijui simba ishirikiane ya yanga. Katika dunia ya ubepari competition ya uwekezaji ndio inayoleta matunda bora. Simba wawekeze vzr kwa ukubwa wao afu aje mtu aseme tushirikiane ikiwa wao wamewekeza kwenye propaganda. Yanga ili ibadilike itoke kwenye hizo siasa. Simba waliwezea kuwakataa na kuwa puuzia wanasiasa uchwara kama yule jamaa aliye nyimwa piki piki za mkopo na Mo. Yanga ndiyo timu inayoongoza kupinga juhudi za timu zingine. Unataka kwenda mbele kimataifa afu hufanyi maandalizi mazuri, hufanyi sajili zenye kueleweka unaokota wachezaji wa mafungu ili uweke bahasha uonekane una wachezaji kwa ligi za ndani utatudanganya ila kimataifa utaumbuka saana. Yanga adui yao mkubwa ni wanasiasa na viongozi wao wamekaa kiujanja ujanja. Kila kiti kina hitaji transition kutoka hatua moja nyuma kwenda hatua nyingine mbele. Na transition huwa ina kupanda na kushuka. Simba wamefanya transition yao mkawaponda mara sijui 20B hazijukikani ziliko wekwa sijui maneno mengi lakini wajuzi wa mambo.walisema wakati ni ukuta na muda ndio mwalimu mzuri.

Mwisho.niseme tu yanga ipo very primitive. Wasipo badilika kwa jasho na maumivu ya kukubali kuchekwa, kukifunza nk hawawezi kupiga hatua.
Huyo Hersi alishavaaga mpaka na t-shirt za Keizer chief ili tu ku onesha chuki yake dhidi ya simba. Matope waliyo ipaka simba bado tu mnataka ushirikiano wa kienyeji.? Walime na.kupanda wengine afu uvunaji mjitokeze ambao hamtaki kulima na.kupanda ili mfikie mavuno bora.
Nikikumbuka Ile video ya Hersi na kina Tuisila Naona kabisa wanachopata Yanga ni haki Yao na haina haja ya kushilikiana nao
 
Nikikumbuka Ile video ya Hersi na kina Tuisila Naona kabisa wanachopata Yanga ni haki Yao na haina haja ya kushilikiana nao
hata kabla ya hapo alishavaaga jezi ya kazier chiefs akishangilia zile goals 4, ile video eti fiston razack anasema kabisa tunajua hapo kuna nguvu za giza, Hersi anachekelea kabisa,wameongea pumba nyingi sana kwa visiting teams
 
Umemaliza...
Halafu yanga itakujaga kufanya vizuri sio sasahivi kwa kulazimisha mambo... Acha tupigwe ndo tuunde timu yenye ushindani zaidi maana kama Al Hilal anakutesa hivo huko makundi tunafata nn?? Mi tufuzu tusifuzu it is still fine
Bora wewe umenyoosha maelezo moja kwa moja
 
Back
Top Bottom