Ni suala la muda tu Waziri Mchengerwa atafanya tufungiwe na FIFA

Ni suala la muda tu Waziri Mchengerwa atafanya tufungiwe na FIFA

Huyu Msomali naye siku si nyingi kiti atakiona cha moto
IMG-20221012-WA0002.jpg
 
Nikikumbuka Ile video ya Hersi na kina Tuisila Naona kabisa wanachopata Yanga ni haki Yao na haina haja ya kushilikiana nao
Ndio hapo. Kisa wame fail kupanga njia zao wanataka wapate wepesi kwa ideas za wenzao..? Yaani hii timu ilijua propaganda na machawa ndo kupenya kimataifa. Na hakuna muunganiko wowote utakao tokea eti simba tushirikiane na hawa wachawi, miamala fc, malalamiko fc, janja janja fc.? Wafanye transition ya kweli dio hiyo mdhamini ndio raisi(mtuwake) na watoe ule mwiko na mambo mengi mengine wache miamala waache u primitive wakubali kuwekeza. Timu haliendi pre season kujipima na wakubwa wanje afu ilanataka kutusua. Seriously..? Na waajiri watu weledi ambao sio machawa ya boss.
 
Moja ya watu wabaongoza kuharibu mipango ya soka ni wanasiasa. Mpira hautaki siasa. Yanga imekaa kisiasa. Huyo waziri atulie zake aache kutaka kulazimisha sijui simba ishirikiane ya yanga. Katika dunia ya ubepari competition ya uwekezaji ndio inayoleta matunda bora. Simba wawekeze vzr kwa ukubwa wao afu aje mtu aseme tushirikiane ikiwa wao wamewekeza kwenye propaganda. Yanga ili ibadilike itoke kwenye hizo siasa. Simba waliwezea kuwakataa na kuwa puuzia wanasiasa uchwara kama yule jamaa aliye nyimwa piki piki za mkopo na Mo. Yanga ndiyo timu inayoongoza kupinga juhudi za timu zingine. Unataka kwenda mbele kimataifa afu hufanyi maandalizi mazuri, hufanyi sajili zenye kueleweka unaokota wachezaji wa mafungu ili uweke bahasha uonekane una wachezaji kwa ligi za ndani utatudanganya ila kimataifa utaumbuka saana. Yanga adui yao mkubwa ni wanasiasa na viongozi wao wamekaa kiujanja ujanja. Kila kiti kina hitaji transition kutoka hatua moja nyuma kwenda hatua nyingine mbele. Na transition huwa ina kupanda na kushuka. Simba wamefanya transition yao mkawaponda mara sijui 20B hazijukikani ziliko wekwa sijui maneno mengi lakini wajuzi wa mambo.walisema wakati ni ukuta na muda ndio mwalimu mzuri.

Mwisho.niseme tu yanga ipo very primitive. Wasipo badilika kwa jasho na maumivu ya kukubali kuchekwa, kukifunza nk hawawezi kupiga hatua.
Huyo Hersi alishavaaga mpaka na t-shirt za Keizer chief ili tu ku onesha chuki yake dhidi ya simba. Matope waliyo ipaka simba bado tu mnataka ushirikiano wa kienyeji.? Walime na.kupanda wengine afu uvunaji mjitokeze ambao hamtaki kulima na.kupanda ili mfikie mavuno bora.
Hivi mafanikio ya Yanga mpaka yapite Simba, mbona hawajiamini yaani Kila wanachofanya au kutaka kufanya ni lazima waiangalie Simba hizi ni aibu. Yaani maisha yako unaishi kwa kumwangalia jiran kafanya nini.
Hivi Yanga mnafail wapi, hamuwezi weka misingi ya mafanikio yenu, hili la kuitazama Simba na kujifananisha nap Ili Hali mnajua hamfanani ndio linalofanya hadi mnakula vichapo, fanyeni yenu Simba haiwausu
 
Kiukweli naona hisia za team yake ya Yanga kuwa mguu ndani nje zimemchanganya sana, haswa ukichukulia Simba ilifanya vizuri ugenini.

Kauli alizozitoa jana ukitafakari unaona ni hasira tu, sasa ma hasira yake kuna mambo anataka alazimishe Simba
wafanye ku share mipango yao na Yanga, au kwa sababu Hersi alikuwepo pale hisia za majonzi zikawa nzito?

Sasa sikia ndugu Waziri, siyo lazima Simba ishirikiane na Yanga hata ukitushikia mapanga kama vipi kafute usajili wa Simba SC!

Tangu mwaka 1993 fainali ya CAF Second Leg Dar es Salaam dhidi ya Stella Abidjan magoli mawili ya Boli Zozo yanatinga wavuni na kuinyima Simba nafasi ya kuwa Bingwa wa Afrika waliimba "Uzalendo umetushinda umetushinda" na bila shaka hata wewe popote ulipokuwepo ulishangilia Simba kufungwa.

Ni mabingwa wa kamati za mapokezi na bila shaka tutaziona Simba ikianza kucheza makundi, Manara alikupopoa ukanyamaza kimya ingekuwa msemaji wa Simba kakupa makavu vile ungemuacha kweli?

NI SUALA LA MUDA TU KAULI ZAKO ZA KIBABE ZITAGONGANA NA TFF, NA FIFA WATATIA MGUU. YETU MACHO, BILA SHAKA UTAANZA NA SUALA LA KUTAKA TAKADINI AFUNGULIWE TUTAANDIKA E MAILS ZA KUTOSHA FIFA KUWAAMBIA.

HATUTAAAAKI KU SUPPORT YANGA FANYA UFANYAVYO SASA, AU HERSI ALIKUJA JANA HAPO KUPOKEA TEMBO WARRIORS KUJA KUBEMBELEZA SIMBA WAUNGE MKONO. HATUTAAKI SASA!

View attachment 2384384View attachment 2384623
Tulikuwa na timu nne kutuwakilisha mashindano ya CAF. Hapakuwa na kauli yoyote iliyotoka wakati Geita Gold FC ikitolewa na hakuna kinachofanyika kwa Azam FC baada ya kufungwa mechi ya mwanzo.
Nguvu inayotumika ya ajabu ni kwa Yanga kwa kutoka sare tu katika mechi ya mwanzo.
Nikisema hii ni tatizo la afya ya akili tulilonalo ntakosea?
 
Bora serikali imeona huu upuuzi wa kushangilia na kupokea timu za kigeni. Unatutia aibu mbele za wageni.
 
Hivi mafanikio ya Yanga mpaka yapite Simba, mbona hawajiamini yaani Kila wanachofanya au kutaka kufanya ni lazima waiangalie Simba hizi ni aibu. Yaani maisha yako unaishi kwa kumwangalia jiran kafanya nini.
Hivi Yanga mnafail wapi, hamuwezi weka misingi ya mafanikio yenu, hili la kuitazama Simba na kujifananisha nap Ili Hali mnajua hamfanani ndio linalofanya hadi mnakula vichapo, fanyeni yenu Simba haiwausu
Mm namuelewa saana Mo dewj moja ya kauli zake akisema hataki kuona simba inapewa mkataba wenye ufanano na yanga kwa maana simba imesha wekezeka kiasi kwamba haipo level moja na yanga tena. Akasema nao wawekeze kiasi kama chake. Badala wawekeze kama dewj wanaanza kuwekeza kwa machawa
 
Back
Top Bottom