ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe nani anakulinda uhai wako?Vipi mahakama na bunge ambalo lilikataa kuhoji kuhusu utekaji, rais hawezi kukwepa lawama Kama ameshindwa kulindwa uhai wa watanzania Bora akapumzike kimkazi awaachie wenye uwezo wa kuongoza.
mnamsingizia mama wa watu bure hebu mtafuteni lissu aelezee japo kusikitishwa kwake na huu msiba tusikie kauli yake halafu afuatie hecheMkuu ukweli n kuwa chura kiziwi anazingua kawaachia watu waendeshe nchi wakimwaminisha kuwa watamsaidia 2025,ki kina february unawaonea tu kuwa wana uwezo wa kumilik genge la kuweza kuteka na kuua bas wanaweza pindua nchi,nchi haiko salama tena.
Mda huo wazalendo mlikuwa wapi maana mlijipa ulinzi wa Malaika,ilikuaje mtoto wenu pendwa mkashindwa kumlinda?Yule bibi ni mbaya kuliko JPM.
Yeye ndiye aliyehusika JPM kukata moto.
Kwa nini usiseme ni kumfurahisha aliyekuwa ofisi namba 1? Au uliwahi sikia akikemea? Si Bora SSH anatoa Hadi Kauli za kukemea?Kawaulize hao wenye defender wanaosimamisha magari hapo bwawani na kuteka watu.
Kama Watanzania uwezo wetu wa kufikiri na kudadavia mambo ndo huu basi hata baada ya miuaka 200 bado tutaendela kuwa wajinga. Eti kwamba DG wa TISS, IGP, DPP, CDF na Rais na vyombo vyake vote hivi hausiki ispokuwa wahuni fulani wa mtaani wanaendeleza utekaji na uuaji bila mama na vyombo vyake hivi kujua na kwamba anachafuliwa tu na hivi vyombo havina uwezo wa kuwajua hao wahuni na hawakamatiki. Are we serious!!!??Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Hapa kuna jambo la kukumbuka, mauwaji ya namna hii yanayohusisha tindikali, kuharibiwa uso vibaya sana sio mauwaji yanayofanya na polisi au serikali,
Kumbukumbu zinaonesha Mauwaji ya namna hii yamefanywa na Chadema dhidi ya wafuasi wake waliowatoa kafara ushahidi ni matamshi ya aliekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Silaha.
Ni wakati umefika wa Watanzania Kuyatazama mambo kwa mapana zaidi ya hisia zetu ni mihemko ya wanasiasa.
Sina shaka kwamba Polisi hawawezi teka mtu mkubwa kisiasa kama alivykuwa Alli Kibao halafu wakafanye ujinga wa kitoto kiasi kile eti wateke hadharani wauwe na kutelekeza maiti hadharani hii sio polisi ya Tanzania..
1).Ni uoga tu. Na kutokujiamini, Wa kupoteza madarakaHuyu Mzee Ali. M. Kibao aliwahi kuwa Mwanajeshi kwa nafasi yenye hadhi kiasi flani. Hakuwa mtu wa mitandao sana. Huwezi msikia akipinga jambo la Serikali au kukemea. Alikuwa silent sana.
Na utekaji wake si kwamba alitafutwa atekwe tu auawe randomly. Hapana. Ni mkakati ambao unaweza kuta hata mle ndani walikuwepo watu kadhaa wakifuatilia nyendo zake.
Ni kwamba alikuwa kwenye list ya wahusika ambao walipata taarifa ambazo zikawafanya watake taarifa zaidi kwa mhusika. Kwa nini?
Ndo sababu ya kumtesa wakitaka kupata taarifa hizo. Aseme kwa kiwango ambacho walihitaji. Na baada ya kukamilisha waliona ni bora wapoteze ushahidi. Amwagiwe tindikali usoni asitambulike.
Kisha tungepata taarifa polisi imeokotwa maiti ya mtu ambaye ni jambazi, alifumaniwa, alienda kwa mganga au mfanyabiashara aliyekuwa na maadui. WATACHUNGUZA ZAIDI. Period.
Lakini Mungu ana namna ya kuwafichua waovu. Kama ambavyo alitekwa yule bwana mdogo ambaye alipigwa risasi kichwani wakamwacha afe. HAKUFA. HE LIVED TO TELL.
Huyu mzee Mungu tu alitaka kuwafunua macho na masikio Watanzania. Kuwa waamke. Maana mtu akipona wanasahau haraka. Labda akifa watashtuka.
Sasa hatujui nini kilikuwa kinatafutwa. Lakini who is next? Na shida ni nini exactly?
Kwa hiyo rais hawezi kuyaondoa?.Watu wengi walisema mabaya kwa JPM ila n miaka zaidi ya miwili sasa JPM hayupo ila matendo maovu yanaendelea, ndio tujue JPM hakuwa tatizo bali n mfumo mzima wa serikali.
Haya mambo hata kwa Nyerere yalikuwepo.
Kipindi kile walifanya kumfurahisha nani?
Mkuu katika vitu vinavyonikera ni pamoja na raia wa Tanzania kufa namna hiyo wakati wenzetu wanatumia kila ngumu kulinda raia wake harafu unasikia mtu anauawa na magenge ya kihuni yaliyo chini ya Mamlaka fulani.Kwa nini usiseme ni kumfurahisha aliyekuwa ofisi namba 1? Au uliwahi sikia akikemea? Si Bora SSH anatoa Hadi Kauli za kukemea?
Mda huo wazalendo mlikuwa wapi maana mlijipa ulinzi wa Malaika,ilikuaje mtoto wenu pendwa mkashindwa kumlinda?
Kiongozi Mkuu wa Serikali ndiye responsible.
Wewe ni mgeni na mambo ya Utawala,yatakukera sana ila Sasa kwenye tawala za Kiafrika hayaepukikiMkuu katika vitu vinavyonikera ni pamoja na raia wa Tanzania kufa namna hiyo wakati wenzetu wanatumia kila ngumu kulinda raia wake harafu unasikia mtu anauawa na magenge ya kihuni yaliyo chini ya Mamlaka fulani.
FactJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
1).Ni uoga tu. Na kutokujiamini, Wa kupoteza madaraka
2). watu ndani ya vyombo vya usalama wanamdanganya mama ili awategemee kurudi madarakani
3).Wengine wanafanya kumfurahisha wapate vyeo
4). Kuna wanayofanya hujuma ili aonekane ameshindwa ili 2025 aachie ngazi
Lakini vyovyote vile iwavyo kutenda na kuongoza nchi kwa Haki ni thawabu kwa mola Wetu.
Kwa muungwana na mcha mungu Ni Bora kupoteza madaraka kuliko kukumbaia umamafia na ugaidi kwa wananchi wako ili kulinda madaraka
Wewe ni mgeni na mambo ya Utawala,yatakukera sana ila Sasa kwenye tawala za Kiafrika hayaepukiki
Mimi sio mgeni ila mambo ya kutoa uhai wa mtu yananigusa moja kwa moja huko wanakouza mali za Nchi tushawaachia mpaka roho za watu wasio na hatia wanazichukua hapo ndio natia neno mkuu..Wewe ni mgeni na mambo ya Utawala,yatakukera sana ila Sasa kwenye tawala za Kiafrika hayaepukiki
Sifa kubwa ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamu.Sijui ni kwanini mtu ukishakuwa mfuasi wa CCM unakuwa mjinga!
Au sifa ya kuwa mwanachama ni UJINGA!?
Halafu utakuta mwanaccm huyu anawashangaa wafuasi wa ' Kiboko ya wachawi'🙄Sifa kubwa ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamu.
Na mimi siamini kuwa hao wahuni wana uwezo mkubwa kuliko serikali. Ni pale tu watakapokamatwa na kufikishwa mahakamani na wakahukumiwa ndiyo nitaamini kuwa serikali haina mkono katika mauaji haya.Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.