Ni taarifa gani Hayati Ally Kibao alikuwa nazo kiasi cha kuepelekea kifo chake?

Vipi mahakama na bunge ambalo lilikataa kuhoji kuhusu utekaji, rais hawezi kukwepa lawama Kama ameshindwa kulindwa uhai wa watanzania Bora akapumzike kimkazi awaachie wenye uwezo wa kuongoza.
Inaumiza zaidi kuona watu potential ndo wanauwawa na kuwaachia wajinga wengi

Wakati wa JPM wafanyabiashara wengi waliopotea

Tutaendele vipi? kama tiss inaratibu kuua watu muhimu kwenye jamii
Ili wajinga ndani ya ccm wasuvive?
 
Hii paragraph ya mwisho imemaliza kila kitu.
 
Ukweli unaujua but ur tyring header to spin...
Watu wachache wasio na vision kwenye serikali ndio wana operates mission mbovu zinazochafua taswira ya Serikali.
Wewe unajua mission pale kwenu inaweza fanywa na baina yenu asijue hata mmoja maana inakuwa ni special mission inayowahusu wachache mno tena wale special and dedicated to kill. (Na wana posho nene) ninyi wenyewe unafahamu hamuaminiani na hamjuani.... maswali machache;
1. Mtu gani au taasisi gan inayomilliki siraha za vita?
2. Ni mtu au taasisi gani zinamiliki land cluser na V8 with non identitification/ un-plated Reg Number, wangepita wapi na jioni ile?
3. Naamini huko walikopita zaid kama walisimamishwa walisema tu "Tuna mission tuache afande, sisi ni askari No. 1 au ss ni wenzenu....
Acha kutufanya wajinga, tuna weredi!!
 
🚮🚮🚮 Ndio maana mnapata laana na mnamponza huyo JPM wenu maana mlianza kumuita Mungu.
Unajua hata waislamu wanaona wakristo wanamuita binaadamu(Yesu) kuwa ni Mungu? Ila mwisho wa siku kila mtu anaamini anachoamini.
 
Wakati yakifanyika yeye akiwepo ni nani alikuwa anafanya? Kwa Sasa ni nani anafanya?
Tuliambiwa kuwa yeye ndio alikuwa anaagiza hayo yafanyike na ni kwa sababu alikuwa dikteta na katili, kwa sasa hatujui ni gaidi na katili gani mwengine mwenye kuagiza hayo.
 
Hiyo enzi ya nyerere ilikuwa inafanyika kwa watu spesho tu ambao walikuwa tishio kwa Taifa kwa mfano mtu akionekana anataka kumpindua Rais ndio anatekwa ukihesabu kwa awamu mbili hawawezi kufika watu watatu tofauti na sasa hivi ambako hata watu ambao hawana nguvu yoyote yaani watu ambao hata kuyaendesha maisha yao bado ni mtihani pia wanatekwa idadi ni kubwa mno kwa sasa haijawahi kutokea kama hivi hadi kupelekea wananchi wote kupata taharuki kama hivi.
 
Vipi kuhusu silaha nzito unahisi Chadema watazipata wapi?
 
Asilimia 60 ya Watanzania ndio wana akili kama hizo wanachojua kujadili kwa ufasaha ni mambo ya mpira/kubeti/umbea,Asilimia 40 wana uwelewa lakini katika hizi asilimia 40 wenye uwelewa(Asilimia 20 wako bize na mambo yao binafsi,Asilimia 20 iliyobaki wanajaribu kupaza sauti ila nguvu haitoshi kutokana na uchache).
Kwa hiyo ulichosema uko sahihi itachukua miaka 200 ili angalau kuwa sawa na Kenya
 
Shutma kama hizi alivishwa JPM na wengi mlisema ni kweli au tuamini pia ilikua ni wahuni kama leo?
 
Hakuwa na taarifa yoyote mbaya waliyo itaka kwake hi ni basi tu ukishazoea kula nyama ya mtu huachi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…