financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
- #21
Ni kabishi haka katoto😂😂Unauona ubishi unaanza kunukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kabishi haka katoto😂😂Unauona ubishi unaanza kunukia
Nlivyofaulu 4m four, nlivyofaulu form six, nlivyograduate nlilia machozi kabisa, siku ya engagement nlilia chozi la furaha, nlivyosikia mwanangu analia kwa mara ya kwanza sekunde chache baada ya kujifingua nlitokwa machozi, hizi ni moments muhimu sana ambazo furaha yangu ilipotiliza had machozi yakatoka. Mungu ni mwemaHello wakuu,
Habari ya weekend, hivi ni taarifa gani nzuri ulishawahi kupata ukaishia kumshukuru Muumba, Mimi nakumbuka kwenye matokeo ya std 7 st Kayumba, nilichaguliwa kidato cha kwanza kwenda boarding school, na mtaani kwetu ilikua ukifaulia mbali kidogo au boarding unaonekana noma,sasa nakumbuka darasani kwetu niliwawakilisha kwenda hako kaboarding school, sijui hata ilikuaje maana sikua kipanga hivo ukilinganisha na wengine[emoji120] nauli from home to hiyo shule ilikua TZS 500 tu kwa daladala au unaweza kutembea kwa miguu tu[emoji23][emoji23] ila furaha yake si mchezo.
Baada ya kumaliza chuo, msoto kidogo mtaani(broke), huku nikipambana na interviews na kusambaza CVs, interviews zingine nyingi tu nilikua nafeli[emoji2960] nakumbuka siku niliyopigiwa simu kwamba, umepata kazi uje kucheki mkataba, Aisee nilijiskia vizuri mno.
Ni mengi mazuri Muumba ametutendea, ila karibu ushare na sisi lolote utakalojisikia.
Happy week ending wote.
Hakafai hata.Ni kabishi haka katoto😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Unauona ubishi unaanza kunukia
Mpira wenyewe washatuchania mikeka[emoji16]Hakafai hata.
Ushabikiaji wa mpira unamharibu huyu kiumbe
Amen hongera sana kwa moments nzuri hivo👏Nlivyofaulu 4m four, nlivyofaulu form six, nlivyograduate nlilia machozi kabisa, siku ya engagement nlilia chozi la furaha, nlivyosikia mwanangu analia kwa mara ya kwanza sekunde chache baada ya kujifingua nlitokwa machozi, hizi ni moments muhimu sana ambazo furaha yangu ilipotiliza had machozi yakatoka. Mungu ni mwema
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
Hongera katika msiba, Mungu akakufuta machoziDuh ni vingi sana..
1. Form 4 nilifaulu nikitokea msibani, Mungu(Jehovah) ni mwema sana.
Wow Mungu ni mwema, japo kama hutojali ukipata muda share na sisi tujifunze kitu dear😘Kupata faraja ya kweli katikati ya dhiki na tabu,, .......hakika sitasahau tukio lile lilifanya niuone wema wa Mungu maishani mwangu, acha niishie hapa
Jamani baby sis, usituambie hamko pamoja na huo wema wake kwako, mkaachana?😒Kitendo cha yule kiumbe kunipenda kwa dhati, hapo kulitokea tatizo fulani hivi sio zuri, lakini yule kiumbe alibaki na mie.
Hiyo siku nashangaa kanipigia cm, "hello coca najua ni situation iliyopo mbele yetu, ila usijari mie nipo nawee na siwezi kukuacha peke ako, nimejipanga kwa lolote sitajari watu watanichukuliaje au kunionaje ila nipo nawee" akamaliziaa "NAKUPENDAA SANA na kiss juu..
Sitasahau, EEH Jah aendelee kumuweka huyu kiumbe huko aliko na wengine wafurahie uwepo wake kwao.
Mapenzi ya kweli yapo!!!
Mkuu heshima yakoo, hongeraNilivyofikisha 100M kwenye account. Na bado namshukuru Mungu maana kwa sasa ni History tu [emoji123]