Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
🤣🤣🤣🤣Shida ujuaji Kama mbuzi🤣😀, una yajua yasiyo faa kwangu😀🤣🤔.
Kwakuwa mimi ni malaika,bhas nayafahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Shida ujuaji Kama mbuzi🤣😀, una yajua yasiyo faa kwangu😀🤣🤔.
Usiogope nyeto inapigwa na wengi, mwanamume rijali lazima atie nyetoNyeto itanimaliza ndugu zangu.
Toka 2018 napambana, naacha miezi kadhaa narudi.
Hiyo ni addiction tayari ila inawezekana ukaacha, uwezi kujizuia usibeti kabisa? Anza kutokubet katikati ya wiki, uwe unabet wekendi.Sasa mie ndio napambana lakini sijioni nikiachana na mpira wala kubet 😥
Utaachaje nyeto wakati role modo wako ni dronedrake ?😂Nyeto itanimaliza ndugu zangu.
Toka 2018 napambana, naacha miezi kadhaa narudi.
Watu au vikobe?Kuamini watu.. nikidhani wote tuko na moyo soft. Kuna vikobe flani vimezingua 2023.
Hiyo ni addiction tayari ila inawezekana ukaacha, uwezi kujizuia usibeti kabisa? Anza kutokubet katikati ya wiki, uwe unabet wekendi.
Ukiliweza hilo wikendi punguza mwishowe utaacha.
Hahahahaha safi sanaNyeto itanimaliza ndugu zangu.
Toka 2018 napambana, naacha miezi kadhaa narudi.
Sasa unataka uache yanini kama unamkulaga muhindi?Nilichogundua kinachonipa nguvu ya kuendeleza hizi mambo ni kwasababu ratio ya kupata ni kubwa kuliko kupoteza
Halafu mie sibet mara nyingi hata,kwa week naweza kubet mara 1 ama mbili tu...lakini sijawahi kupitisha mwezi sijabet
kwa faida yao, hapo unapoteza vyote pesa na rafiki.Tabia ya kukopesha pesa marafiki na watu wa karibu inabidi kuanzia mwakani niiache. Watu hawalipi madeni kabisa.
Sasa unataka uache yanini kama unamkulaga muhindi?
😂 ila we jamaa kuna kipindi nilipitia hiyo hali ya kuacha hiyo michezo, nilijiapiza mpaka nikakomaHahahahaha safi sana
Kwani ukibet nani anajua/anakuona au ndio unabet ile ya makaratasiNajiona mkubwa siku hizi 😀
Mdada mkubwa hivi halafu nabet sio poa
mtagi huyo IT guy, mie siachi ng'o😂 ila we jamaa kuna kipindi nilipitia hiyo hali ya kuacha hiyo michezo, nilijiapiza mpaka nikakoma
Not open for futher replies 🤣😀🤒Tahadhari