Ni Tanzania pekee kukuta watu wanasikiliza nyimbo ya lugha wasiyoijua

Ni Tanzania pekee kukuta watu wanasikiliza nyimbo ya lugha wasiyoijua

Aisee niko Mogadishu hapa tunakula nyimbo za kihindi tu 😄
Ukiangalia nightclubs za 🇬🇧 wanaweka nyimbo za kinaijeria wanaimba kingereza ila wazungu hawaelewi ng"oo ila wanarukaruka tu 😄
 
Umepuyanga mzazi. The Harvard Law study showed that people from all over the world could understand the emotional and melodic cues in music without knowing the lyrics .Mar 17, 2023

Sasa wanugu (African Americans) wanasikiliza Afrobeats za Nigeria huku hawaelewi kabisa hiyo pidgin english ya Nigeria. Music is the universal language.
 
Acha fix

Usidanganye vitu usivyovijua.

Niko Ouagadougou hapa wanasikilizia nyimbo za Diamond na za Tanzania sana tu na hadi kwenye redio station zinapigwa na hawajui kiswahili hata robo!

Nilikuwa Cote d'avoire pia wanasikilizia sana tu Acha uongo
Mwamba hajui kuwa hata mondi anavofiga show ulaya kuna watu hawajui lugha na wanainjoy ila sema kwakuwa kasema yupo bar
 
Nimefanikiwa kufika nchi kadhaa na sikuwahi kuona watu wa nchi hizo wakisikiliza au kufurahia nyimbo zilizoimbwa kwa lugha za nchi zingine wasizozijua.

Lakini hapa kwetu miaka nenda rudi tangu nakua miaka ya 70 nimekuwa nikishuhudia watu wengi wakisikiliza nyimbo za Kizungu na ukiwafuatilia hata neno moja hawajui maana yake, tena nakumbuka hii ni hadi vijijini ambapo hata salamu ya kiingereza haijui, nakumbuka wengine waliweza kukariri nyimbo yote ya Bob marley au Celine Diana.

Naona kwa nyimbo za Kongo ndio usiseme yaani ndizo zinazobamba kwenye baa na kwenye maharusi. Hata hapa ninapoandika hii mada nipo baa moja kali sana lakini mwanzo mwisho ni nyimbo za Kongo.

Kwa usomi wangu mdogo ninafikiri huenda kuna hujuma tulifanyiwa na wakoloni wetu wakatupatia dawa za kulevya ndio maana wengi tupo kama wajingawajinga sana , na wengine wapo kama mateja hivi NA NDIO MAANA NCHI HII NI RAHISI SANA KWA WATAWALA
Kwa mfano IPO Ngoma Kali SANA ya kuitwa cocomadimba Huwa hainichoshi
 
Navopenda beats za riddims dance hall music hata nsipoelewa fresh tu.
 
Baa usipopiga rhumba utapiga nn yaani nyimbo za congo ni tamu tu japo sielewi wanachosema
 
Kwa mfano Bob Marlay ule wimbo unaitwa natural mistake inasemekana kamtukana Mungu
Huyo jamaa anaimba kwa lugha gani,hatambuliki hata google?

Bob MARLEY yeye kaimba Natural MYSTIC.
 
Celine Diana.
Aisee!
Cv8qjqpWEAQlh2B.jpg
 
Nimefanikiwa kufika nchi kadhaa na sikuwahi kuona watu wa nchi hizo wakisikiliza au kufurahia nyimbo zilizoimbwa kwa lugha za nchi zingine wasizozijua.

Lakini hapa kwetu miaka nenda rudi tangu nakua miaka ya 70 nimekuwa nikishuhudia watu wengi wakisikiliza nyimbo za Kizungu na ukiwafuatilia hata neno moja hawajui maana yake, tena nakumbuka hii ni hadi vijijini ambapo hata salamu ya kiingereza haijui, nakumbuka wengine waliweza kukariri nyimbo yote ya Bob marley au Celine Diana.

Naona kwa nyimbo za Kongo ndio usiseme yaani ndizo zinazobamba kwenye baa na kwenye maharusi. Hata hapa ninapoandika hii mada nipo baa moja kali sana lakini mwanzo mwisho ni nyimbo za Kongo.

Kwa usomi wangu mdogo ninafikiri huenda kuna hujuma tulifanyiwa na wakoloni wetu wakatupatia dawa za kulevya ndio maana wengi tupo kama wajingawajinga sana , na wengine wapo kama mateja hivi NA NDIO MAANA NCHI HII NI RAHISI SANA KWA WATAWALA
Una hoja...kina tatizo! Hivi mnakumbuka kikundincha Ngombcha Makhirikri kilivyokuja kupiga Hela Tanzania!
 
Wasouth wanaimba nyimbo za kiswahili

Solly mahlangu - Mwamba mwamba yesu ndiye mwamba

Ukiwauliza mlikua mnaimba nini tuishie hapo 😂😂😂
 
Ni wazi kuwa mleta mada huna “taste” ya muziki na pengine huelewi maana yake. Wanasema “you have no ear for music”.

Muziki ni mipigo (beats, melodies, rhythm, tunes, rhymes, …). Sio maneno. Halafu, huwezi kujua lugha zote duniani. Lakini mitindo utaipenda. Mimi binafsi kuna baadhi ya nyimbo sipendi kabisa maneno yake; Natamani nisingeyajua bali melodies zake zinanipeleka mbinguni ya 9. Na hapo huwa napenda sana instrumentals hasa za contemporary jazz.
 
Nimefanikiwa kufika nchi kadhaa na sikuwahi kuona watu wa nchi hizo wakisikiliza au kufurahia nyimbo zilizoimbwa kwa lugha za nchi zingine wasizozijua.

Lakini hapa kwetu miaka nenda rudi tangu nakua miaka ya 70 nimekuwa nikishuhudia watu wengi wakisikiliza nyimbo za Kizungu na ukiwafuatilia hata neno moja hawajui maana yake, tena nakumbuka hii ni hadi vijijini ambapo hata salamu ya kiingereza haijui, nakumbuka wengine waliweza kukariri nyimbo yote ya Bob marley au Celine Diana.

Naona kwa nyimbo za Kongo ndio usiseme yaani ndizo zinazobamba kwenye baa na kwenye maharusi. Hata hapa ninapoandika hii mada nipo baa moja kali sana lakini mwanzo mwisho ni nyimbo za Kongo.

Kwa usomi wangu mdogo ninafikiri huenda kuna hujuma tulifanyiwa na wakoloni wetu wakatupatia dawa za kulevya ndio maana wengi tupo kama wajingawajinga sana , na wengine wapo kama mateja hivi NA NDIO MAANA NCHI HII NI RAHISI SANA KWA WATAWALA
Unatushauri nn mkuu!! Naona umeandka tu .
 
Me nasikiliza sana ngoma za kikorea, yaani nikicheki series zao zile soundtrack zikinibamba tu nazipakua nakuzisikiliza hata kama sielewi kinachoimbwa. Me napenda melody, sauti ya mwimbaji na
Mkuu hapo kwnye nymbo za Kikorea ht mm hufany namna hyo yan natafuta nymbo nnasklza kwa raha zangu ila ukwel unakuta hta sjui nn wanaimba😁
 
Mbongo akifanikiwa kwenda tunchi tuwili tena akakaa jimbo moja muda wote alokuwa huko akifanya tuvibarua twake basi anajikuta anajua kila kitu cha ulimwengu.

Kajifunze Mziki ninini kabla hujatafuta aibu ndogo ndogo kama hizi zinazoweza kuepukika.
 
Back
Top Bottom