Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Nilikuta birthday party ya jamaa mmoja wakaweka wimbo wa Candle in the wind ule wa Elton John, nikawaambia wautoe .Kwa mfano Bob Marlay ule wimbo unaitwa natural mistake inasemekana kamtukana Mungu
Kuangalia ni sawa tu kuliko kusikilizIPia Makirikiri hatuelewi walikua wanaimba nini ila tulivutiwa jinsi walivyokua wanadance
Ilikuwa na maudhui gani mkuuNilikuta birthday party ya jamaa mmoja wakaweka wimbo wa Candle in the wind ule wa Elton John, nikawaambia wautoe .
Mwamba hajui kuwa hata mondi anavofiga show ulaya kuna watu hawajui lugha na wanainjoy ila sema kwakuwa kasema yupo barAcha fix
Usidanganye vitu usivyovijua.
Niko Ouagadougou hapa wanasikilizia nyimbo za Diamond na za Tanzania sana tu na hadi kwenye redio station zinapigwa na hawajui kiswahili hata robo!
Nilikuwa Cote d'avoire pia wanasikilizia sana tu Acha uongo
Kwa mfano IPO Ngoma Kali SANA ya kuitwa cocomadimba Huwa hainichoshiNimefanikiwa kufika nchi kadhaa na sikuwahi kuona watu wa nchi hizo wakisikiliza au kufurahia nyimbo zilizoimbwa kwa lugha za nchi zingine wasizozijua.
Lakini hapa kwetu miaka nenda rudi tangu nakua miaka ya 70 nimekuwa nikishuhudia watu wengi wakisikiliza nyimbo za Kizungu na ukiwafuatilia hata neno moja hawajui maana yake, tena nakumbuka hii ni hadi vijijini ambapo hata salamu ya kiingereza haijui, nakumbuka wengine waliweza kukariri nyimbo yote ya Bob marley au Celine Diana.
Naona kwa nyimbo za Kongo ndio usiseme yaani ndizo zinazobamba kwenye baa na kwenye maharusi. Hata hapa ninapoandika hii mada nipo baa moja kali sana lakini mwanzo mwisho ni nyimbo za Kongo.
Kwa usomi wangu mdogo ninafikiri huenda kuna hujuma tulifanyiwa na wakoloni wetu wakatupatia dawa za kulevya ndio maana wengi tupo kama wajingawajinga sana , na wengine wapo kama mateja hivi NA NDIO MAANA NCHI HII NI RAHISI SANA KWA WATAWALA
Hahahaaaa..... Kwamba wenzako wameimba wanaomboleza!Kuna songi la ki Ethiopia linaitwa Serk Addis linanibamba balaa nalisikiliza sana....ila sijui hata wanaimba nini usikute songi la mazishi
View attachment 2744147
Huyo jamaa anaimba kwa lugha gani,hatambuliki hata google?Kwa mfano Bob Marlay ule wimbo unaitwa natural mistake inasemekana kamtukana Mungu
Aisee!Celine Diana.
Una hoja...kina tatizo! Hivi mnakumbuka kikundincha Ngombcha Makhirikri kilivyokuja kupiga Hela Tanzania!Nimefanikiwa kufika nchi kadhaa na sikuwahi kuona watu wa nchi hizo wakisikiliza au kufurahia nyimbo zilizoimbwa kwa lugha za nchi zingine wasizozijua.
Lakini hapa kwetu miaka nenda rudi tangu nakua miaka ya 70 nimekuwa nikishuhudia watu wengi wakisikiliza nyimbo za Kizungu na ukiwafuatilia hata neno moja hawajui maana yake, tena nakumbuka hii ni hadi vijijini ambapo hata salamu ya kiingereza haijui, nakumbuka wengine waliweza kukariri nyimbo yote ya Bob marley au Celine Diana.
Naona kwa nyimbo za Kongo ndio usiseme yaani ndizo zinazobamba kwenye baa na kwenye maharusi. Hata hapa ninapoandika hii mada nipo baa moja kali sana lakini mwanzo mwisho ni nyimbo za Kongo.
Kwa usomi wangu mdogo ninafikiri huenda kuna hujuma tulifanyiwa na wakoloni wetu wakatupatia dawa za kulevya ndio maana wengi tupo kama wajingawajinga sana , na wengine wapo kama mateja hivi NA NDIO MAANA NCHI HII NI RAHISI SANA KWA WATAWALA
Unatushauri nn mkuu!! Naona umeandka tu .Nimefanikiwa kufika nchi kadhaa na sikuwahi kuona watu wa nchi hizo wakisikiliza au kufurahia nyimbo zilizoimbwa kwa lugha za nchi zingine wasizozijua.
Lakini hapa kwetu miaka nenda rudi tangu nakua miaka ya 70 nimekuwa nikishuhudia watu wengi wakisikiliza nyimbo za Kizungu na ukiwafuatilia hata neno moja hawajui maana yake, tena nakumbuka hii ni hadi vijijini ambapo hata salamu ya kiingereza haijui, nakumbuka wengine waliweza kukariri nyimbo yote ya Bob marley au Celine Diana.
Naona kwa nyimbo za Kongo ndio usiseme yaani ndizo zinazobamba kwenye baa na kwenye maharusi. Hata hapa ninapoandika hii mada nipo baa moja kali sana lakini mwanzo mwisho ni nyimbo za Kongo.
Kwa usomi wangu mdogo ninafikiri huenda kuna hujuma tulifanyiwa na wakoloni wetu wakatupatia dawa za kulevya ndio maana wengi tupo kama wajingawajinga sana , na wengine wapo kama mateja hivi NA NDIO MAANA NCHI HII NI RAHISI SANA KWA WATAWALA
Mkuu hapo kwnye nymbo za Kikorea ht mm hufany namna hyo yan natafuta nymbo nnasklza kwa raha zangu ila ukwel unakuta hta sjui nn wanaimbaπMe nasikiliza sana ngoma za kikorea, yaani nikicheki series zao zile soundtrack zikinibamba tu nazipakua nakuzisikiliza hata kama sielewi kinachoimbwa. Me napenda melody, sauti ya mwimbaji na