"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

Inasikitisha sana.ni Tanzaa pekee unaweza kupata mambo yakusikitisha na kukera kwa wakati mmoja kama hivi.
 
Tanzania kuna kitu inaweza kuendesha basi
 
Kuzimu tena?
 
Mambo ya huduma au kupata faida ni swala la maamuzi na mipango.Tatizo kubwa la hapa kwetu wala sio huo utaratibu unaousemea bali shida iko kwenye usimamizi.Hakuna ambacho akiwezekani kama shirika linaingiza pesa.Tatizo ni usimamizi duni,urasimu na ubadhirifu.
 
Mnapo bugi ni hapo kwenye akili za kutaka kila huduma kwa wananchi iwe biashara. Narudia tena, huko ustaarabuni tunakoiga kila kitu, makampuni pigo za mwendokasi, yanaendeshwa kwa kodi na ruzuku. Si biashara ya kuingiza faida kubwa

Mnapo bugi ni hapo kwenye akili za kutaka kila huduma kwa wananchi iwe biashara. Narudia tena, huko ustaarabuni tunakoiga kila kitu, makampuni pigo za mwendokasi, yanaendeshwa kwa kodi na ruzuku. Si biashara ya kuingiza faida kubwa.
Mkuu mazingira ya huko unakosema na hapa bongo land ni tofauti,
Sawa, usafiri wa umma ni huduma lakini Ili iwe sustainable someone has to pay for it, there is no free lunch,
Unapotaka serikali itoe subsidies maana yake unahamisha burden kutoka kwa wananchi unapeleka serikalini, ila kumbuka pia serikali zetu hizi zina ufinyu wa budget matokeo yake watalazimika kwenda kukopa Ili kuendesha nchi , sasa jiulize kipi Bora?
Nchi zilizoendelea zinaweza ku sustain kutoa subsidies kwenye mashirika Yao kwa sababu ni tayari zinajitosheleza kifedha.
Utofauti huo wa mazingira unalazimisha mashirika yetu yajitahidi yajiendeshe yenyewe Ili yasife
 
Hapo ndipo mnapokosea, kununua ma SUV ya milioni 400/piece ni sawa, lakini kununua mabasi ni free lunch? Halafu una shangaa kwanini nchi haina maendeleo!
Chief mbona sasa unahamisha goli haha
 
Sina tena neno kwako mwenyekiti wa "critical thinking"
 
Tatizo letu sisi ni kwamba Wanasiasa ndiyo wenye Mamlaka ya kufanya maamuzi yaliyopaswa kufanywa na Wataalam wa Sekta husika..
 
Sina tena neno kwako mwenyekiti wa "critical thinking"
Ahaaaa nimependa discussion hii na jinsi watu wanavyopangua hoja, kuhamisha hoja na kumake a case kiutaalamu na kiustaharabu. Na hii ndio dhana nzima ya "critical thinking". Jamani tulikubaliana hii ni free discussion hakuna hoja mbovu, hakuna hoja iliyokosewa bali zote ni hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…