"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

Miye kilaza flani, sina elimu yeyote, ila nahisi hujasoma na kuelewa nilichokiandika. Narudia tena, miradi sampuli ya mwendokasi ni kwa ajili ya huduma na si kutengeneza faida…!
Okay bro.
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Usije ukawa una digrii yako ya Tumaini University ukadhani unajua, umetembea humu duniani ukajifunza wengine wanafayaje na kwasababu gani?
Duh. Okay bro.
Mimi nimesoma wakati Tanzania Kuna UDSM na Sokoine tu.
Asalaam aleykhum.
 
Naomba serikali isishiriki katika kutoa huduma moja kwa moja badala yake iwapatie sekta binafsi ndio iendeshe, serikali i deal na kumsimamia huyo sekta binafsi.
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Tumewakosea sana nyani na tumbili,hata wao kwenye jamii yao hawana uongozi wa hovyo kama tulionao sisi binadamu.
Aibu yetu hii tupambane nayo bila kushirikisha viumbe wengine ambao bora wao manyani ndio wangekuwa baadhi ya viongozi wetu ili tuwe na sababu ya kusema.
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?

Kuna mahala Serikali inakosea
Serikali inafikiri madegree ndiyo yanafanya kazi/ Biashara na ndio sababu wanajaza wezi kwenye mashirika.
Huwezi kuweka mtu mwenye degree au madegree umpe kazi ya kukata ticket, sijui kupanga mafaili, sijui apost petty cash, sijui aangalie watu wanao ingia kwenye mwendo kasi, au sijui awe mtendaji wa kijiji au sijui afundishe kiswahili darasa la tatu nk nk halafu umlipe shs laki tano halafu utegemee ufanisi au asiwe mwizi huku anaona kabisa watu wa Elimu yake wana pata mara tatu na zaidi ya mshahara wake; Kimsingi hizo ni nafasi za watu wa Cheti na diploma

Private sector wanalijua hilo na ndio sababu kila ngazi ina kiwango chake cha elimu na hata ungeomba ukiwa na pHD huwezi kupata kazi ya mtu wa Diploma kwani wanaona kabisa hutaweza kuwa na ufanisi ukilipwa mshahara wa mtu wa diploma; sana sana ataishia kujisifia kuwa unamadegree bila ufanisi na kuiba au dili mbaya kwani kipato hakiendani na elimu yake......
 
wanayoyafanya kenya yalitakiwa kufanyika kwetu, sisi tumekuwa brain washed kabisa, inawezekana kweli ule mwenge ni zindiko la viongozi linalosaidia kuwapumbaza wananchi wasiielewe kinachoendelea na hata wakielewa wasifanye chochote (zombinization), hii nchi ina uongozi kutoka kuzimu kabisa, very dumb, very selfish, hamna anayefikiria future ya nchi, wote wanafikiria kubaki relevant kisiasa tu ili wazidi kupuga pesa na ku secure future za watoto wao basi, ila hakuna mwenye dedication kwa kizaz kijacho cha hili taifa.
nawaheshimu wale viongozi wa zamani the likes of kina chief mkwawa, ambao walikua watetezi wa kweli wa mali zetu, himaya zetu na future ya watu wao, walikufa wakitupigania... ila hz tumbili zilizopata madaraka kimdebwedo bure, bure, bure kabisa.
ingekua kubadilisha uongozi ni simple kama kubadilisha line, tungeshawatupa kwenye dustbin mapema sana hawa watu.
 
wanayoyafanya kenya yalitakiwa kufanyika kwetu, sisi tumekuwa brain washed kabisa, inawezekana kweli ule mwenge ni zindiko la viongozi linalosaidia kuwapumbaza wananchi wasiielewe kinachoendelea na hata wakielewa wasifanye chochote (zombinization), hii nchi ina uongozi kutoka kuzimu kabisa, very dumb, very selfish, hamna anayefikiria future ya nchi, wote wanafikiria kubaki relevant kisiasa tu ili wazidi kupuga pesa na ku secure future za watoto wao basi, ila hakuna mwenye dedication kwa kizaz kijacho cha hili taifa.
nawaheshimu wale viongozi wa zamani the likes of kina chief mkwawa, ambao walikua watetezi wa kweli wa mali zetu, himaya zetu na future ya watu wao, walikufa wakitupigania... ila hz tumbili zilizopata madaraka kimdebwedo bure, bure, bure kabisa.
ingekua kubadilisha uongozi ni simple kama kubadilisha line, tungeshawatupa kwenye dustbin mapema sana hawa watu.
Sikubaliani na wewe kwenye matumizi ya maneno makali, lakini kuhusu mwenge, ninakuunga mkono kwa asilimia mia moja. Mwenge ni uchawi wa Serikali wenye lengo la kuwapumbaza wananchi ili watawalike kirahisi. Kuna nyuzi kadhaa humu jukwaani zinazoelezea ukweli wa mbio za mwenge. Ni ushikina kamili!
 
Mkuu sasa tangu lini Ufisadi,Rushwa,Ubadhilifu wa mali ya umma,utakatishaji wa fedha,wizi,nk viliisha lini katika nchi yetu?
Ripoti ya CAG ikishasomwa inawekwa kabatini! Hakuna kinachoendelea!
Ukisikia ya nchi hii unaweza wakati wote kujifungia chumbani unalia weeee mpaka basi!
Ukija mifuko ya jamii (PSSSF/NSSF) ni kilio,ukija NHIF ni kilio,ukija kwenye taasis ni kilio,kila mahali ni kilio!
Wengi wanatoa jasho lakini wanaokula kutokana na jasho lao ni Wachache!
Manyani ni sisi wananchi ambao tunatawaliwa!
Raia namba moja amekata tamaa anasema Wale kwa urefu wa kamba zao!
Mungu atusaidie!
 
Jibu ni jepesi tu kwamba Watanzania ni wezi na mafisadi sana hasa wale wanaojiita wasomi na wenye madaraka kuanzia serikalini hadi kwenye sekta binafsi.
 
Mali ya umma,wanaosimamia kuziongoza hawana huruma nazo

Ova
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Itakua staff wa Dart wewe tena wale wanao tuibia chenchi zetu pale dirishani kimara mwisho
 
Kwa nini eti umewatukana hao wanyama mwitu kiasi hicho?

Wafanyie heshima basi kwa sababu sioni kibaya anachofanya nyani na hao wanyama wengine, ikilinganishwa na matendo ya kushangaza na kuhuzunisha afanyayo kiumbe mwanadamu.
Hakika usemacho, nyani ni bora kwa matendo yake kuliko watu wa hapa..tuwape heshima zao wanyama .
Nchi yenye rasilimali nyingi ,watu wake hupata udumavu wa maono .
 
Kaka umesomea wapi?
Umenitisha kwa kusema mwendokasi haitakiwi kupata faida na ku reinvest hiyo profit ili wapanue huduma mpaka Gingo la mboto, na Bunju na Chalinze ikiwezekana wakafungue hii huduma Tabora, TANGA na Moshi.

Sijaelewa concept yake. Mimi ninachofahamu hiyo ilikuwa ni economic modal ndani ya ideology ya kisocialism (soma kitabu cha social stratification and differentiation cha cecil Rhodes (1923) utapata ufahamu mkubwa, ameanza kwa kutoa original copies za classic theories e.g Reninism, Maxist na modern theories kabla ya kupambanua consequences ya hizo idelogies to the economy na social wellfare).Sema tu humu wanajamii forum tumeacha kupambanua haya mambo muhimu kwa kina na kiundanani zaidi kwa kutumia concept za elimu za juu kufafanua kwa lugha rahisi, sio kama miaka 10 iliyopita, tumebaki kushabikia machawa)

Ebu turudi kwanye mada sasa. Baada ya sisi kuingiza free market economy automatically tumetoka kwenye socialism modal na kuingia kwenye capitalist economic modals ambaz0 market ina-determine the price in a free uncontrolled environment. Hizo subsidies zilikuwa za enzi hizo za ujamaa na ndio maana mashirika mengi ya umma yaliishia kwenye kifo cha mende. Ebu angalia shirika zuri la umma mfano NHC-mbona wao hawajawahi kupata hasara , wanajiendesha kwa faida kwa bei fair kwa customers wao na wanapanua bussiness zao kila kukicha. hicho ndicho tunachoongelea hapa.

Ukisoma vizuri andiko limejikita kwenye unparallel advantages haya mashirika ya umma, mwendokasi na bima za afya , air Tanzania, mabenki yenye hisa kubwa za serikali; kwani wafanyakazi wote wa serikali wanatakiwa kufungua account huko NMB; kwa hiyo suala la wateja si issue kwao ni kuchukua mahela tu, kuchukua mafaida tu, compared to private business. Kwa hizo advantages hasa kubwa zaidi kutengewa wateja mpaka wanashindwa kuwamudu, uwezo wa kudetermine price na aina ya services regardless what customers wants, ndio maama tunasema haiwezekani kamwe chini ya jua wapate hasara.

Ebu angalia scernario hii iliyonitokea mimi recently (kisa mkasa). Jana nilibook flight ya tarehe 23/06/2024 one way flight air Tanzania from to DSM to Mza, then Dodoma, ,kwani ndiyo almost airline pekee iliyobaki ,serikali imemonopolize na kuua airline zote ili ishike hatamu. Ghalama ilikuja 850,000/= almost a million, na nafasi zilikuwa zimejaa. Kesho unaambiwa wanajiendesha kwa hasara.Pathetic. Maana yake to na fro itakuwa almost 1.4 to 1.5 Millions, sasa hapa tutapata maendeleo kweli. Kumbuka kwa wenzetu effective management ya airline na flight ni moja ya nguzo muhimu ya maendeleo (economic trigger)

Hawa walikuwa wanatakiwa wapate faida ,waboreshe na kupanua bussiness, washushe price na kuifanya services zao ziwe accessible kwa wananchi wa Kawaida. Tatizo tunaingiza siasa kwenye biashara na kuingiza upigaji mkubwa sana na wa kutisha.na hakuna anayejali kwani wakuu wetu kila mtu amejitengea sehemu ya kupiga na wanajuana, Ndio maana ni ngumu sana kunyoosheana vidole,
 
Sijaelewa concept yake. Mimi ninachofahamu hiyo ilikuwa ni economic modal ya socialism, baada ya sisi kuingiza free market economy automatically tumetoka kwenye socialism modal na kuingia kwenye capitalism economic modal ambayo market inadetermine the price in a free uncontrolled environment. Hizo subsidies zilikuwa za enzi hizo za ujamaa.

Ukisoma vizuri andiko limejikita kwenye unparallel advantages haya mashirika ya umma, mwendokasi na bima za afya walizo nazo compared to private bussiness. Kwa hizo advantages kubwa zaidi kutengewa wateja mpaka wanashindwa kuwamudu, uwezo wa kudetermine price na aina ya services regardless what customers wants.

Ebu angalia hapa jana nilibook flight ya tarehe 23/06/2024 one way flight from Mza to Dsm, them Dodoma, air Tanzania ,kwani ndiyo almost iliyobaki ,imemonopolize na kuua airline zote ili ishike hatamu. Ghalama ilikuja 850,000/= almost a million, na nafasi zilikuwa zimejaa. Kesho unaambiwa wanajiendesha kwa hasara.Pathetic.

Hawa walikuwa wanatakiwa wapate faida ,waboreshe na kupanua bussiness, washushe price na kuifanya services zao ziwe accessible kwa wananchi wa Kawaida. Tatizo tunaingiza siasa kwenye biashara na kuingiza upigaji mkubwa sana na wa kutisha.na hakuna anayejali kwani kwani wakuu wetu kila mtu amejitengea sehemu ya kupiga na wanajuana, Ndio maana ni ngumu sana kunyoosheana vidole,
Nchi hii ingekua ni msichana hakuna ambaye angetamani kumuoa maana inapigwa kila mahali na pande zote.
 
Mkuu sasa tangu lini Ufisadi,Rushwa,Ubadhilifu wa mali ya umma,utakatishaji wa fedha,wizi,nk viliisha lini katika nchi yetu?
Ripoti ya CAG ikishasomwa inawekwa kabatini! Hakuna kinachoendelea!
Ukisikia ya nchi hii unaweza wakati wote kujifungia chumbani unalia weeee mpaka basi!
Ukija mifuko ya jamii (PSSSF/NSSF) ni kilio,ukija NHIF ni kilio,ukija kwenye taasis ni kilio,kila mahali ni kilio!
Wengi wanatoa jasho lakini wanaokula kutokana na jasho lao ni Wachache!
Manyani ni sisi wananchi ambao tunatawaliwa!
Raia namba moja amekata tamaa anasema Wale kwa urefu wa kamba zao!
Mungu atusaidie!
Hakika umenena vizuri, Manyani ni sisi na sio hao wanyama
 
Usije ukawa una digrii yako ya Tumaini University ukadhani unajua, umetembea humu duniani ukajifunza wengine wanafanyaje na kwasababu gani? Si kila kitu ni kwa ajili ya faida, vingine ni huduma, designed for public good na kupunguziq watu ukali wa maisha. Ninyi na serikali yenu ya mchongo mnashindwa kulielewa hilo ndiyo maana kila kukicha ni mauza uza.
Kamanda husiangalie hoja kwa jicho moja au kwa upande mmoja.

Mashirika ya umma in a modern economy lazima yatengeneze faida na kuexpand bussiness..Kinachotakiwa kwa sababu ya unparallel favour na advantages wanazopewa during the course of running their bussiness, wanatakiwa price yao iwe affordable na fair kwa majority of citizen na ndiyo maana ya kupewa favour kubwa hizo.

Ila suala la kutengeneza faida halikwepeki. Nafikiri ni mwezi ulipita ulimuona mkuu wa nchi akikabidhiwa gawio la serikali toka mashirika ya umma na kipindi cha mwendazake the same, halafu concept yako inasema serikali ndiyo itoe divident huoni hapo kuna kitu kinamiss.Tunaongelea modern economy ambayo model yake kwetu haijulikani kama ni ni socialism au capitalism ila inaendeshwa kicapitalism ingawa hawajatamka. Ila kwa azimio la Zanzibari automatically waliua ideologies zote za kisocialism toka kwenye azimio la Arusha, the late Mwl Nyerere alifafanua vizuri kabisa hii controversy au naweza kuhiita inconsistency ideologies.
 
Back
Top Bottom