Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Okay bro.Miye kilaza flani, sina elimu yeyote, ila nahisi hujasoma na kuelewa nilichokiandika. Narudia tena, miradi sampuli ya mwendokasi ni kwa ajili ya huduma na si kutengeneza faida…!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay bro.Miye kilaza flani, sina elimu yeyote, ila nahisi hujasoma na kuelewa nilichokiandika. Narudia tena, miradi sampuli ya mwendokasi ni kwa ajili ya huduma na si kutengeneza faida…!
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings.""Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.
Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.
😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???
Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.
Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.
Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms
Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Duh. Okay bro.Usije ukawa una digrii yako ya Tumaini University ukadhani unajua, umetembea humu duniani ukajifunza wengine wanafayaje na kwasababu gani?
Tumewakosea sana nyani na tumbili,hata wao kwenye jamii yao hawana uongozi wa hovyo kama tulionao sisi binadamu."Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.
Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.
😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???
Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.
Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.
Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms
Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.
Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.
😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???
Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.
Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.
Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms
Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Sikubaliani na wewe kwenye matumizi ya maneno makali, lakini kuhusu mwenge, ninakuunga mkono kwa asilimia mia moja. Mwenge ni uchawi wa Serikali wenye lengo la kuwapumbaza wananchi ili watawalike kirahisi. Kuna nyuzi kadhaa humu jukwaani zinazoelezea ukweli wa mbio za mwenge. Ni ushikina kamili!wanayoyafanya kenya yalitakiwa kufanyika kwetu, sisi tumekuwa brain washed kabisa, inawezekana kweli ule mwenge ni zindiko la viongozi linalosaidia kuwapumbaza wananchi wasiielewe kinachoendelea na hata wakielewa wasifanye chochote (zombinization), hii nchi ina uongozi kutoka kuzimu kabisa, very dumb, very selfish, hamna anayefikiria future ya nchi, wote wanafikiria kubaki relevant kisiasa tu ili wazidi kupuga pesa na ku secure future za watoto wao basi, ila hakuna mwenye dedication kwa kizaz kijacho cha hili taifa.
nawaheshimu wale viongozi wa zamani the likes of kina chief mkwawa, ambao walikua watetezi wa kweli wa mali zetu, himaya zetu na future ya watu wao, walikufa wakitupigania... ila hz tumbili zilizopata madaraka kimdebwedo bure, bure, bure kabisa.
ingekua kubadilisha uongozi ni simple kama kubadilisha line, tungeshawatupa kwenye dustbin mapema sana hawa watu.
Kwahiyo wewe unaona ni Sawa Tu.?Hio lita moja kwa elf 3000 kwani basi linabeba abiria mmoja tu.
Hesabu ulijifunzia wapi? Hawana excuse hawa.
Itakua staff wa Dart wewe tena wale wanao tuibia chenchi zetu pale dirishani kimara mwishoManeno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,
Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Hakika usemacho, nyani ni bora kwa matendo yake kuliko watu wa hapa..tuwape heshima zao wanyama .Kwa nini eti umewatukana hao wanyama mwitu kiasi hicho?
Wafanyie heshima basi kwa sababu sioni kibaya anachofanya nyani na hao wanyama wengine, ikilinganishwa na matendo ya kushangaza na kuhuzunisha afanyayo kiumbe mwanadamu.
Kaka umesomea wapi?
Umenitisha kwa kusema mwendokasi haitakiwi kupata faida na ku reinvest hiyo profit ili wapanue huduma mpaka Gingo la mboto, na Bunju na Chalinze ikiwezekana wakafungue hii huduma Tabora, TANGA na Moshi.
Nchi hii ingekua ni msichana hakuna ambaye angetamani kumuoa maana inapigwa kila mahali na pande zote.Sijaelewa concept yake. Mimi ninachofahamu hiyo ilikuwa ni economic modal ya socialism, baada ya sisi kuingiza free market economy automatically tumetoka kwenye socialism modal na kuingia kwenye capitalism economic modal ambayo market inadetermine the price in a free uncontrolled environment. Hizo subsidies zilikuwa za enzi hizo za ujamaa.
Ukisoma vizuri andiko limejikita kwenye unparallel advantages haya mashirika ya umma, mwendokasi na bima za afya walizo nazo compared to private bussiness. Kwa hizo advantages kubwa zaidi kutengewa wateja mpaka wanashindwa kuwamudu, uwezo wa kudetermine price na aina ya services regardless what customers wants.
Ebu angalia hapa jana nilibook flight ya tarehe 23/06/2024 one way flight from Mza to Dsm, them Dodoma, air Tanzania ,kwani ndiyo almost iliyobaki ,imemonopolize na kuua airline zote ili ishike hatamu. Ghalama ilikuja 850,000/= almost a million, na nafasi zilikuwa zimejaa. Kesho unaambiwa wanajiendesha kwa hasara.Pathetic.
Hawa walikuwa wanatakiwa wapate faida ,waboreshe na kupanua bussiness, washushe price na kuifanya services zao ziwe accessible kwa wananchi wa Kawaida. Tatizo tunaingiza siasa kwenye biashara na kuingiza upigaji mkubwa sana na wa kutisha.na hakuna anayejali kwani kwani wakuu wetu kila mtu amejitengea sehemu ya kupiga na wanajuana, Ndio maana ni ngumu sana kunyoosheana vidole,
Hakika umenena vizuri, Manyani ni sisi na sio hao wanyamaMkuu sasa tangu lini Ufisadi,Rushwa,Ubadhilifu wa mali ya umma,utakatishaji wa fedha,wizi,nk viliisha lini katika nchi yetu?
Ripoti ya CAG ikishasomwa inawekwa kabatini! Hakuna kinachoendelea!
Ukisikia ya nchi hii unaweza wakati wote kujifungia chumbani unalia weeee mpaka basi!
Ukija mifuko ya jamii (PSSSF/NSSF) ni kilio,ukija NHIF ni kilio,ukija kwenye taasis ni kilio,kila mahali ni kilio!
Wengi wanatoa jasho lakini wanaokula kutokana na jasho lao ni Wachache!
Manyani ni sisi wananchi ambao tunatawaliwa!
Raia namba moja amekata tamaa anasema Wale kwa urefu wa kamba zao!
Mungu atusaidie!
Kweli kabisaItakua staff wa Dart wewe tena wale wanao tuibia chenchi zetu pale dirishani kimara mwisho
Kamanda husiangalie hoja kwa jicho moja au kwa upande mmoja.Usije ukawa una digrii yako ya Tumaini University ukadhani unajua, umetembea humu duniani ukajifunza wengine wanafanyaje na kwasababu gani? Si kila kitu ni kwa ajili ya faida, vingine ni huduma, designed for public good na kupunguziq watu ukali wa maisha. Ninyi na serikali yenu ya mchongo mnashindwa kulielewa hilo ndiyo maana kila kukicha ni mauza uza.