"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Ccm itakuwa imehongwa na tajiri fulani ili mradi uahindikane wampe Tajiri auendeshe.
 
Unaweza ukajifanya mtaalamu kumbe hakuna kitu. Ebu tukuulize je wenye mabasi miaka ya 2016 si ndio haohao wanaendelea kuendesha mabasi mpaka leo mwaka 2024 ambapo mafuta ni 3000+ hiyo ni pamoja na daladala. Kumbuka hoja ya msingi kwa kutumia nauli hiyohiyo, kwa upendeleo aliopewa, kwa utitili wa wateja alio nao, kwa routes zinazolipa alizopewa alikuwa anatakiwa apate faida ya mabillioni na kuongeza mabasi mengine mara mbili ili kuongeza faida.Hilo ndilo swali la msingi, kapewa biashara inayolipa, hisiyo naushindani na yenye miundo mbinu mizuri kwa nini ameshindwa. Kuna nchi ukiwapa hii biashara , ni miezi sita tu utashangaa. Kwa hiyo tumeangalia vitu vyoote hivyo bro....
Wakandarasi wa mchongo hao wamelirudisha taifa nyuma.
 
Unaweza ukajifanya mtaalamu kumbe hakuna kitu. Ebu tukuulize je wenye mabasi miaka ya 2016 si ndio haohao wanaendelea kuendesha mabasi mpaka leo mwaka 2024 ambapo mafuta ni 3000+ hiyo ni pamoja na daladala. Kumbuka hoja ya msingi kwa kutumia nauli hiyohiyo, kwa upendeleo aliopewa, kwa utitili wa wateja alio nao, kwa routes zinazolipa alizopewa alikuwa anatakiwa apate faida ya mabillioni na kuongeza mabasi mengine mara mbili ili kuongeza faida.Hilo ndilo swali la msingi, kapewa biashara inayolipa, hisiyo naushindani na yenye miundo mbinu mizuri kwa nini ameshindwa. Kuna nchi ukiwapa hii biashara , ni miezi sita tu utashangaa. Kwa hiyo tumeangalia vitu vyoote hivyo bro....
Wakandarasi wa mchongo hao wamelirudisha taifa nyuma.
 
Ebu mwambie , halafu huo umati wanaouacha, si wangeongeza mabasi ili waweze kumaximize profits
Tanzania ukiona mradi fulani umevurugika kimagumashi, tambua kwamba hapo kuna pesa ndefu sana zinaingia, na wale jamaa wanazimendea kwa ulafi.
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Mbona daldala na mabasi ya mikoani hazijafilisika? Kwa nini iwe mwendo kasi pekee?
 
Nchi inakosa national economic strategic planners kila mtu anakimbilia siasa tu.
Wewe hujui kwamba kuna mtu akiishiwa anaenda kukopa ktk huo mfuko na kurudisha kwake kwa mbinde. Nchi nyingine hasa Marekani nilisoma mahala serikali pia huwa inakopa ktk mifuko hii ila inarudisha mkopo haraka ili MFUKO USIYUMBE KUTUMIKIA WANAMFUKO. HAWA NA NSSSF wanapata shida za kutoa pesa zao kwa mikopo. KWA NINI WASIWEKEZE UTT?
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Anayepanga hizo nauli ni nani
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Inabeba abiria wangapi kwa ruti 1 na inatumia lita ngp ktk hiyo ruti 1?? Sidhani kama hii ni sababu
 
Hizi ngoma wapewe jkt kuzisimamia. Hawa wengine malofa ya mkapa tu.
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Basi la mwendokasi kutoka kimara mpaka posta au makumbusho linatumia lita ngapi?,linabeba watu wangapi?.Kwanini kwa umbali huo huo kwa wamiliki wa mabasi binafsi wanapata faida?.Mkuu acha kuwasaidia wezi wa nchi hii.
 
Inabeba abiria wangapi kwa ruti 1 na inatumia lita ngp ktk hiyo ruti 1?? Sidhani kama hii ni sababu
Yaani you have nailed it.Hizo ndizo urgument za critical thinker.Kwa jinsi alivyoandika hesabu zake huwezi kutoa kitu angesema basi moja linabeba abilia wangapi? na linatumia mafuta kiasi gani?linapiga kwa siku root ngapi to na fro na yako mabasi mangapi katika njia zoote za mwendokasi. Na hapo aseme jumla ya mapato toa ya mafuta na ghalama za uendeshaji utabakia na faida kubwa sana. Sema tatizo hiyo fedha hahifiki hatua ya mwisho inapotelea njiani.
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Mimi kama nitapewa fursa naweza kusaidia namna ya kuendesha hiyo biashara Ikawa na mafanikio
 
Muulize kwanza unajua maana ya kumaximize profit? Msije mkawa mnampigia gitaa.
Kweli kabisa tusije tukawa tunaongea lugha ya kigeni kwake. Labda kwa faida yake na kwa ishu tajwa. Ukiwa na basi moja ukapata faida ya shillingi 50,000/= kwa siku. Unaweza kuongeza trip kama inawezekana kuanza mapema na kumaliza late, utapata zaidi kati ya 50,000-100,000 hapo umemaximize profit kwa kuongeza approaches. Sasa kama unawateja wa kumwaga, njia nyingine ya kumaximize profit ni kuongeza mabasi, tena hapa kwa kila basi utaongeza 50,000/= yakiwa kumi itakuwa 500,000/=kwa siku ,hapa unakuwa umemazimize profits kwa kuongeza intervention.Sasa hawa mabwana Mh ....
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Cha kufurahisha wanao ongoza mwendokasi wamesoma Hadi PhD.
Mangi mmoja mwenye elimu ya kuunga unga, anaushindani, analipa Kodi zote, anatoa pesa ya kiwi kwa trafik kila mwaka anaongeza mabasi mawili MAPYA.
PhD no new buses since 2016.
 
Au mahali ambapo nchi inagawa bure rasilimali zake kisha inaenda kuomba mkopo wa kununulia rasilimali hizo.

Mahali ambapo wananchi wanafurahia mikopo na misaada kuliko uwajibikaji na kujitegemea.

Mahali ambapo unazipitishia nchi zingine shehena zao kwenye bandari yako, kisha unaenda kununua bidhaa hizohizo nchini mwao. (Courtesy of Mb. Msukuma)

Mahali ambapo harakati za maendeleo zinaonekana tu sekunde chache kabla ya ngwe za uchaguzi.

Mahali ambapo serikali inakopa ili kujenga miradi ya maendeleo, kisha inaigawa kwenye mashirika binafsi yasimamie.

Mahali ambapo kura ya rais ni muhimu kuliko kula ya raia.
Mpina na tundu wametutonya ya kuwa uhaba wa sukari

imetengenezwa makusudi ili jamaa na marafiki wapewe vibali vya sukari
Sukari tena mbovu iliyo expire

tunainunua tsh 600 karibia 300% ya bei halisi alafu serekali ceremoniously inakenua

Kuna shida kubwa kwenye bongo za watawala
 
Back
Top Bottom