Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
Tofauti yetu na sis na wazung ni hii sio kwamba wao ni smart Sana hapana yaan ratio ya u smart wao ni 10:3
Wakati sis ratio ya u u mart wetu ni 10:7
Kwa nn sis tunawaona wao Wana akili kuliko sis?
Wale smart ndio wanapewa nafasi za kuwaongoza wale wajinga ndio mana wote wanaonekana ni smart wakati Africa
Wale wajinga ndio tunawapa nafasi ya kutongoza na ndio mana wote tunaonekana manyani
Wakati sis ratio ya u u mart wetu ni 10:7
Kwa nn sis tunawaona wao Wana akili kuliko sis?
Wale smart ndio wanapewa nafasi za kuwaongoza wale wajinga ndio mana wote wanaonekana ni smart wakati Africa
Wale wajinga ndio tunawapa nafasi ya kutongoza na ndio mana wote tunaonekana manyani