Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

Mnaacha kuangalia haki za kina Ben sanane mnaangalia haki za majizi yaliyofoji saini
 
Washauri hao wasaliti waende mahakamani na wewe ukajiunge jopo la utetezi.

Njaa kweli mbaya sana, epuka aibu ndogo ndogo mkuu zitakazokufedhehesha siku za usoni.

Hamjajifunza kesi ya Mbowe tu? CCM kweli kuna vichwa vigumu sana.
Muache apamp wenzie ujinga wakakutane na kibatala Ndio akadhibitishe Hiyo A yake aliyopewa na makanjanja wenzie.
 
Ahsante sana mtoa Hoja ,Ila ingependeza sana iwapo ungeweka vifungu vya Katiba ya chadema vinavyozuia mwenyekiti wa bawacha kujadiliwa na kikao chochote kile isipokua mkutano mkuu tu.ili tupate nafasi ya kuchangia vizuri Hoja yako.
 
Amazing scriptue kaka Mayala.

Ukweli umeuweka na hakika asiyeelewa atapoteza muda kuupinga
 
Anaona madhaifu ya chadema ila haoni wizi wa kura uliofanywa na CCM 2020 au mauwaji ya Wana chadema ! Na kama chadema ni dhaifu kwanini mnaipambanisha na dola? We huoni think tank ya system inachagua viongozi vijana toka chadema na sio wajinga kama wewe au uvccm?
 
Hatuna upinzani credible! Tuna watu ambao mbele ya kamera ni wapinzani lakini mlango wa nyuma wanapokea maelekezo Lumumba na from within kuna mtu mmoja ndio Katiba, ndio hakimu!

Itachukua muda sana kupata chama credible kisicho na makando ya kilumumba! Huku chini kwa machawa wanacharurana wenzao jioni wanagonga mvinyo na kuyajenga! Ndio maana alipokuja mtu asiye na chembe za unafiki kama JPM kuna watu walijikutana kapu moja na hawakushangaana what happened [emoji23]
 
Amepewa rushwa na akina Halima awasaidie kupiga debe, nenda na akina Halima umoja party kwani lazima wawe wanachama wa CHADEMA?
 
Ni mtazamo tu!

Vyama vya Siasa vinaongozwa kisiasa na si kidikteta wala vinginevyo.

Siasa ina take and give, gain and lose na inaongozwa kwa masahuriano na sio kuwa rigid ka Sheria!

Vyama vyote vya siasa duniani kote vinafanya siasa za kimashauriano na chama tawala katika mambo agharabu pale yanapoguswa maslahi ya nchi. Hukaa na kuteta pamoja kuona namna gani jambo liendwe ilhali katika win win situation.

Ni upuuzi kuwa na chama cha siasa kisichotaka mashauriano. Hicho kitakuwa si chama cha siasa bali wahuni tu kama M23 au kama kikundi kinachoongozwa na Joseph kony!

Kwamba wewe unaona siasa za kimariadhiano ni upuuzi kwamba ni kuchukua maelekezo ya chama tawala?

Na kwamba JPM hakuwa mnafiq kwenye kauli na matendo yake?...tukiwa tumelewa upenzi na uhusudu juu ya mtu flani, furaha zetu zibaki katika vyumba vya mioyo yetu na si kuropaka kuwaona wengine kama machawa na wasiojua jambo.

Kwa namna yeyote ile kama ulikuwa mfaidika wa utawala uliopita, endelea kufaidi lakini usitumie nafasi na muda kuwatusi wale wanaofaidi na kufurahia utawala wa leo.
 
Wamepewa rushwa na akina Halima kuja kuwatetea ndiyo maana ametoa shingo tangu last week na wala hana point, mtu na akili zako ufundishwe chuo na Tulia au Kabudi na wewe ujiite una akili we si sawa na mfu asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…