Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

Tumia Akili kidogo Chadema haijawajadili kina Halima kwa Nyadhifa zao bali kwa Uanachama wao
Halima hajaenda Bungeni kwa Wadhifa wake bali kwa Uanachama wake
hakuna Mwanachama asiyejadiliwa na cc ya CHADEMA wote wanajadiliwa Acha kupotosha

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Nashukuru mkuu angalau umejibu Kwa hoja
 
Pascal Mayalla Zitto aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu alifukuzwa kwa katiba hii hii.
It's true, Zitto alitimuliwa hivi hivi kama Mdee. CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya NKM, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na mamlaka yenye uwezo wa kumtimua ni Mkutano Mkuu. Zitto alitimuliwa kwa uonevu, karma ya uonevu huo kwa Zitto imeisha tembeza bakora zake, Chadema kama chama kimekula share yake na individual members wa Chadema nao wamekula bakora zao, tatizo ni hakuna a defined and a specific time frame ya malipo ya karma, unaweza kufanya ubaya leo ukalipwa kesho, na unaweza kufanya ubaya leo, ukalipwa miaka 10 baadae, sasa wakati wa malipo, utahesabu ni majanga tuu wala hutakumbuka ulifanyaga nini. Hata naniliu kaondoshwa kwa karma payback.

Ukiisha ijua karma, epuka dhulma na maonevu. Kati ya wabunge hao 19, not all wamehusika, wengine wameingizwa tuu hivyo kuwahukumu kwa mtindo wa tenga la samaki, mmoja akioza wote wameoza sio kuwatendea haki, karma lazima itawalipia!.
P
 
Unaanzaje kujibu huo utopolo? Umeona kuna vifungu vyovyote vya katiba ya Chadema ameambatanisha ili kusapoti hayo madai yake kuwa Mdee alipaswa kuchukuliwa nidhamu na Baraza Kuu?
Sasa kwa kufanya hivyo, ndiyo wewe na wenzako mumjibu kwa kutumia lugha za kuudhi? Jibu hoja zake kwa staha.

Vifungu vya katiba ya Chadema vinavyoonyesha udhaifu wa kimaamuzi vimewekwa kwenye uzi huu. Post namba 109. Jisomee mwenyewe.
 
Swali lako la mwisho ni kwamba upinzani upo na very serious kuiondoa CCM madarakani tomorrow, lakini tu CCM na serikali yake haitaki kuplay with the rules governing democracy inategemea sana vyombo vyake vya dola - polisi, mahakama, NEC, etc etc.
Inajua wazi kwamba ikiondoka tu, ndiyo moja kwa moja- a la KANU, UNIP et al.
Kwa ujumla demokrasy ambayo CCM inajitapa kuisimamia ni a very big joke indeed hata to my 10 year old grandson.
Ubabe ubabe kila mahali na kuflout the rules for its own benefit.
Elewa kwamba hizi persistent clashes inazofanya kuna siku zita end up in a crash, but God forbid.
Mkuu BURUTA , naunga mkono hoja, sio wana CCM wote wanapenda kucheza faulo, kwenye uchaguzi, hivyo hata CCM tunaishauri humu, tofauti ya CCM na Chadema, CCM ni sikivu sana. Hebu angalia bandiko hili, CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! nilitoa ushauri kwa both parties, CCM ikatekeleza ikalamba bingo, Chadema ikapuuza, ikaangukia pia!.

Kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, angalia nilishauri nini Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa!

Baada ya uchaguzi huo nilisema Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi

Karma, hainaga cha mswalie Mtume wala haijui cha nani ni nani!.
P
 
Ni kweli Mayalla maana yake ni NJAA?
Ni kweli ila sio njaa ya tumbo inayohitaji mlo, ni njaa ya ukame, baa la njaa, Hunger drought, famines.
NB. Sio kila anayeongea Kisukuma ni Msukuma au kila anayezaliwa Usukumani ni Msukuma!, hivyo mtu kushindwa kutofautisha njaa ya tumbo na baa la njaa ni kawaida sana kwa impostors.
P
 
Ni kweli ila sio njaa ya tumbo inayohitaji mlo, ni njaa ya ukame, baa la njaa, Hunger drought, famines.
NB. Sio kila anayeongea Kisukuma ni Msukuma au kila anayezaliwa Usukumani ni Msukuma!, hivyo mtu kushindwa kutofautisha njaa ya tumbo na baa la njaa ni kawaida sana kwa impostors.
P
Lakini kwa namna kubwa hilo jina linaakisi tabia zako mkuu ...
 
Wanabodi,
Kwanza sio kila kitu ni siasa, vitu vingine ni hoja za kikatiba, Sheria, taratibu na kanuni.

Ukileta hoja specific, hakuna ubaya kujifagilia ubobezi wako katika eneo husika.

Mimi Paskali Mayalla ni Mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, ila pia nilisomea sheria, LL.B, UDSM, ile kutua tuu UDSM, siku ya kwanza kipindi cha Kwanza ni LW 101, unajua mwalimu wangu wa kwanza kabisa UDSM ni nani?... ni Dr. Tulia Akson!.

Prof. Issa Gulamhussein Shivji na Palamagamba Kabudi, walitufundisha LW. 200 ndio yenye Katiba, nilifumua A, utadhani mtihani nilikuwa natunga mimi!. Hivyo kwenye hoja hii ya Katiba ya Chadema, mimi naizungumza as an authority.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu, ila kukaelewa ni shughuli. Kabla ya chama chochote cha siasa kusajiliwa ni lazima kiwasilishe katiba yake kwa Msajili wa vyama, ipitiwe na wataalamu wa katiba, wajiridhishe kuwa iko sawa na inaendana na katiba ya nchi.

Hivyo hata Chadema, iliposajiliwa kwa mara ya kwanza ile 1992, iliwasilisha katiba fulani amaizing iliyokuwa nzuri kabisa, yenye kipengele cha ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi viwili vya miaka 5 na mwanachama wa Chadema alikuwa huru kuitafuta haki yake mahakamani.

Mwaka 2006, Chadema wakafanya marekebisho ya Katiba na kuyasilisha ofisi ya msajili wa vyama, na ikakubaliwa.

Nilipoipitia katiba hiyo ya Chadema ya 2006, nikakuta kile kipengele cha ukomo wa uongozi, hakipo!, kimenyofolewa kinyemela!. Nilipokiulizia kipengele hicho humu jf, Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa alinishukikia vilivyo na kukanusha kuwa Chadema halikuwahi kuwa na kipengele hicho!.

Hii maana yake ni hata Katibu Mkuu Chadema, alikuwa haijui Katiba ya chama chake!. Kama Katibu Mkuu ambaye ndie custodian wa katiba ya Chadema, haijui katiba hiyo, what do expect kwa the rest of the people?.

Baada ya Dr. Slaa kunishukia, aliyeninusuru ni JJ. Mnyika kukiri kifungu hicho kilikuwepo na sasa hakipo sio kuwa kimenyofolewa!, no!, bali ni hakikujadiliwa kabisa hivyo kikayeyuka tuu into thin air!

Katiba hiyo ya 2006 pia ikapenyeza kifungu ambacho kinakwenda kinyume cha katiba ya JMT kumzuia mwanachama wa Chadema kwenda mahakamani, akienda tuu ndio amejifukuzisha Chadema!.

Tukija kwenye hoja za bandiko hili ambazo mimi nimeziita Chadema ni ubatili, ubatili ubatili mtupu mpaka basi!. CC ya CDM haina mamlaka kumjadili Mwenyekiti wa Bawacha, kwasababu sio mamlaka yake ya nidhamu, CC hiyo ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumjadili na kumfuta uanachama Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee?!.

Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.

Katiba ya Chadema ipo na imeweka taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Sasa vitu vidogo tuu na straight kama hivi vinawashinda hawa jamaa, jee ingetokea watu kama hawa ndio wameshinda uchaguzi na kuikalia Ikulu yetu si ni ingekuwa ni majanga?. Kwa lugha nyingine, inawezekana Chadema ni Chama Majanga ila tuu watu walikuwa hawajui, hivyo mitikisiko kama hii ndio itawaonyesha wengine maeneo yenye matundu na jinsi nyumba yao inavyovuja.

Kama Chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwa huku bara, jee tunaupinzani wowote wa kweli ambao ni serious, capable, credible, na reliable, wenye the ability and the capabilities wa kuiondoa CCM madarakani?!.

Paskali
Hivi Bro muda wa kuandikaandika mashuzi mareeeeefu humu JF unauyoaga wapi??
 
Jana nilimweleza Mnyika kuwa katiba yao sio halali sababu inanyima haki ya kikatiba ya nchi yaani kwenda mahakamani kudai haki. Wakati wao wanapiga domo kudai vitu havipo kwenye katiba mfano Rais ashitakiwe. Yaani wanafiki wakubwa MaCHADEMA.!
Wee Mzee Mdee, naona umevurugwa!
 
mzee Pasco

salaam


kusema ukweli chadema ni cha cha hovyo hovyo kuliko hata takataka,wanalilia demokrasia na utawala bora unaozingatia katiba na sheria ila wao ndani mwao wanajiongoza kitemi na kidikteta.

kwanza kitebdo cha hao wamama kama kweli kimefanyika cha kufoji sain za maboss wao katika kujiteua basi inabidi raia wema wa Tanzania tujue na kuamini chadema imejaa majambazi na magaid.
Yaani, hueleweki!
 
Sio vizuri kutoa siri za Mgonjwa.Siri ya ugonjwa ni daktari na mgonjwa tu.so usianike chochote tuendelee kuchangia uzi wake kwa hekima.
 
It's true, Zitto alitimuliwa hivi hivi kama Mdee. CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya NKM, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na mamlaka yenye uwezo wa kumtimua ni Mkutano Mkuu. Zitto alitimuliwa kwa uonevu, karma ya uonevu huo kwa Zitto imeisha tembeza bakora zake, Chadema kama chama kimekula share yake na individual members wa Chadema nao wamekula bakora zao, tatizo ni hakuna a defined and a specific time frame ya malipo ya karma, unaweza kufanya ubaya leo ukalipwa kesho, na unaweza kufanya ubaya leo, ukalipwa miaka 10 baadae, sasa wakati wa malipo, utahesabu ni majanga tuu wala hutakumbuka ulifanyaga nini. Hata naniliu kaondoshwa kwa karma payback.

Ukiisha ijua karma, epuka dhulma na maonevu. Kati ya wabunge hao 19, not all wamehusika, wengine wameingizwa tuu hivyo kuwahukumu kwa mtindo wa tenga la samaki, mmoja akioza wote wameoza sio kuwatendea haki, karma lazima itawalipia!.
P
Achana na mambo ya karma kila mtu ana karma yake.

Zitto hakufika kwenye Baraza Kuu kwa sababu aliipeleka CC mahakamani naliposhindwa akawa amejifuta uanachama automatically kwahiyo hakuonewa alikiuka katiba ya chama.

Mdee na wenzake waliitwa na CC wakagoma wakakata rufaa ambayo Baraza Kuu ambalo ni hatua ya mwisho kwenye chama wakienda mahakamani watakuwa wamevunja katiba. Ni haki yao lkn hata kuomba tena uanachama itakuwa vigumu.

Soma katiba ya Chadema.

9FE8B6CC-0C72-4BA5-9F96-5B37526A843F.jpeg
 
Brother P kwaelewa Chadomo ni kazi sana , lile ni kundi la vilaza wenye uthubutu wa kupambana, haiweze kama mkuu wa chama kufeli shule kwa kuzungusha zero aje awe mbadala wa CCM kusaidia taifa ,


CHADEMA kifutwe tu

USSR
Mkuu hebu tuwe wakweli wa nafsi zetu, kama JPM alishindwa kuifuta CDM! Utaweza wewe kwa maneno ukijificha nyuma ya keyboard?
 
Wanabodi,
Kwanza sio kila kitu ni siasa, vitu vingine ni hoja za kikatiba, Sheria, taratibu na kanuni.

Ukileta hoja specific, hakuna ubaya kujifagilia ubobezi wako katika eneo husika.

Mimi Paskali Mayalla ni Mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, ila pia nilisomea sheria, LL.B, UDSM, ile kutua tuu UDSM, siku ya kwanza kipindi cha Kwanza ni LW 101, unajua mwalimu wangu wa kwanza kabisa UDSM ni nani?... ni Dr. Tulia Akson!.

Prof. Issa Gulamhussein Shivji na Palamagamba Kabudi, walitufundisha LW. 200 ndio yenye Katiba, nilifumua A, utadhani mtihani nilikuwa natunga mimi!. Hivyo kwenye hoja hii ya Katiba ya Chadema, mimi naizungumza as an authority.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu, ila kukaelewa ni shughuli. Kabla ya chama chochote cha siasa kusajiliwa ni lazima kiwasilishe katiba yake kwa Msajili wa vyama, ipitiwe na wataalamu wa katiba, wajiridhishe kuwa iko sawa na inaendana na katiba ya nchi.

Hivyo hata Chadema, iliposajiliwa kwa mara ya kwanza ile 1992, iliwasilisha katiba fulani amaizing iliyokuwa nzuri kabisa, yenye kipengele cha ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi viwili vya miaka 5 na mwanachama wa Chadema alikuwa huru kuitafuta haki yake mahakamani.

Mwaka 2006, Chadema wakafanya marekebisho ya Katiba na kuyasilisha ofisi ya msajili wa vyama, na ikakubaliwa.

Nilipoipitia katiba hiyo ya Chadema ya 2006, nikakuta kile kipengele cha ukomo wa uongozi, hakipo!, kimenyofolewa kinyemela!. Nilipokiulizia kipengele hicho humu jf, Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa alinishukikia vilivyo na kukanusha kuwa Chadema halikuwahi kuwa na kipengele hicho!.

Hii maana yake ni hata Katibu Mkuu Chadema, alikuwa haijui Katiba ya chama chake!. Kama Katibu Mkuu ambaye ndie custodian wa katiba ya Chadema, haijui katiba hiyo, what do expect kwa the rest of the people?.

Baada ya Dr. Slaa kunishukia, aliyeninusuru ni JJ. Mnyika kukiri kifungu hicho kilikuwepo na sasa hakipo sio kuwa kimenyofolewa!, no!, bali ni hakikujadiliwa kabisa hivyo kikayeyuka tuu into thin air!

Katiba hiyo ya 2006 pia ikapenyeza kifungu ambacho kinakwenda kinyume cha katiba ya JMT kumzuia mwanachama wa Chadema kwenda mahakamani, akienda tuu ndio amejifukuzisha Chadema!.

Tukija kwenye hoja za bandiko hili ambazo mimi nimeziita Chadema ni ubatili, ubatili ubatili mtupu mpaka basi!. CC ya CDM haina mamlaka kumjadili Mwenyekiti wa Bawacha, kwasababu sio mamlaka yake ya nidhamu, CC hiyo ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumjadili na kumfuta uanachama Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee?!.

Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.

Katiba ya Chadema ipo na imeweka taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Sasa vitu vidogo tuu na straight kama hivi vinawashinda hawa jamaa, jee ingetokea watu kama hawa ndio wameshinda uchaguzi na kuikalia Ikulu yetu si ni ingekuwa ni majanga?. Kwa lugha nyingine, inawezekana Chadema ni Chama Majanga ila tuu watu walikuwa hawajui, hivyo mitikisiko kama hii ndio itawaonyesha wengine maeneo yenye matundu na jinsi nyumba yao inavyovuja.

Kama Chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwa huku bara, jee tunaupinzani wowote wa kweli ambao ni serious, capable, credible, na reliable, wenye the ability and the capabilities wa kuiondoa CCM madarakani?!.

Paskali
Paskali nimesema mahala naona CHADEMA wanaelekezwa mahakamani
 
Wanabodi,
Kwanza sio kila kitu ni siasa, vitu vingine ni hoja za kikatiba, Sheria, taratibu na kanuni.

Ukileta hoja specific, hakuna ubaya kujifagilia ubobezi wako katika eneo husika.

Mimi Paskali Mayalla ni Mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, ila pia nilisomea sheria, LL.B, UDSM, ile kutua tuu UDSM, siku ya kwanza kipindi cha Kwanza ni LW 101, unajua mwalimu wangu wa kwanza kabisa UDSM ni nani?... ni Dr. Tulia Akson!.

Prof. Issa Gulamhussein Shivji na Palamagamba Kabudi, walitufundisha LW. 200 ndio yenye Katiba, nilifumua A, utadhani mtihani nilikuwa natunga mimi!. Hivyo kwenye hoja hii ya Katiba ya Chadema, mimi naizungumza as an authority.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu, ila kukaelewa ni shughuli. Kabla ya chama chochote cha siasa kusajiliwa ni lazima kiwasilishe katiba yake kwa Msajili wa vyama, ipitiwe na wataalamu wa katiba, wajiridhishe kuwa iko sawa na inaendana na katiba ya nchi.

Hivyo hata Chadema, iliposajiliwa kwa mara ya kwanza ile 1992, iliwasilisha katiba fulani amaizing iliyokuwa nzuri kabisa, yenye kipengele cha ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi viwili vya miaka 5 na mwanachama wa Chadema alikuwa huru kuitafuta haki yake mahakamani.

Mwaka 2006, Chadema wakafanya marekebisho ya Katiba na kuyasilisha ofisi ya msajili wa vyama, na ikakubaliwa.

Nilipoipitia katiba hiyo ya Chadema ya 2006, nikakuta kile kipengele cha ukomo wa uongozi, hakipo!, kimenyofolewa kinyemela!. Nilipokiulizia kipengele hicho humu jf, Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa alinishukikia vilivyo na kukanusha kuwa Chadema halikuwahi kuwa na kipengele hicho!.

Hii maana yake ni hata Katibu Mkuu Chadema, alikuwa haijui Katiba ya chama chake!. Kama Katibu Mkuu ambaye ndie custodian wa katiba ya Chadema, haijui katiba hiyo, what do expect kwa the rest of the people?.

Baada ya Dr. Slaa kunishukia, aliyeninusuru ni JJ. Mnyika kukiri kifungu hicho kilikuwepo na sasa hakipo sio kuwa kimenyofolewa!, no!, bali ni hakikujadiliwa kabisa hivyo kikayeyuka tuu into thin air!

Katiba hiyo ya 2006 pia ikapenyeza kifungu ambacho kinakwenda kinyume cha katiba ya JMT kumzuia mwanachama wa Chadema kwenda mahakamani, akienda tuu ndio amejifukuzisha Chadema!.

Tukija kwenye hoja za bandiko hili ambazo mimi nimeziita Chadema ni ubatili, ubatili ubatili mtupu mpaka basi!. CC ya CDM haina mamlaka kumjadili Mwenyekiti wa Bawacha, kwasababu sio mamlaka yake ya nidhamu, CC hiyo ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumjadili na kumfuta uanachama Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee?!.

Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.

Katiba ya Chadema ipo na imeweka taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Sasa vitu vidogo tuu na straight kama hivi vinawashinda hawa jamaa, jee ingetokea watu kama hawa ndio wameshinda uchaguzi na kuikalia Ikulu yetu si ni ingekuwa ni majanga?. Kwa lugha nyingine, inawezekana Chadema ni Chama Majanga ila tuu watu walikuwa hawajui, hivyo mitikisiko kama hii ndio itawaonyesha wengine maeneo yenye matundu na jinsi nyumba yao inavyovuja.

Kama Chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwa huku bara, jee tunaupinzani wowote wa kweli ambao ni serious, capable, credible, na reliable, wenye the ability and the capabilities wa kuiondoa CCM madarakani?!.

Paskali
Pascal Mayalla
Juhudi zako zimeanza kujibu nimekuona umepewa kandarasi ya kuitangaza TARURA na kwa kasi hii utapewa ile ya Musiba ya ATCL
 
Wanabodi,
Kwanza sio kila kitu ni siasa, vitu vingine ni hoja za kikatiba, Sheria, taratibu na kanuni.

Ukileta hoja specific, hakuna ubaya kujifagilia ubobezi wako katika eneo husika.

Mimi Paskali Mayalla ni Mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, ila pia nilisomea sheria, LL.B, UDSM, ile kutua tuu UDSM, siku ya kwanza kipindi cha Kwanza ni LW 101, unajua mwalimu wangu wa kwanza kabisa UDSM ni nani?... ni Dr. Tulia Akson!.

Prof. Issa Gulamhussein Shivji na Palamagamba Kabudi, walitufundisha LW. 200 ndio yenye Katiba, nilifumua A, utadhani mtihani nilikuwa natunga mimi!. Hivyo kwenye hoja hii ya Katiba ya Chadema, mimi naizungumza as an authority.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu, ila kukaelewa ni shughuli. Kabla ya chama chochote cha siasa kusajiliwa ni lazima kiwasilishe katiba yake kwa Msajili wa vyama, ipitiwe na wataalamu wa katiba, wajiridhishe kuwa iko sawa na inaendana na katiba ya nchi.

Hivyo hata Chadema, iliposajiliwa kwa mara ya kwanza ile 1992, iliwasilisha katiba fulani amaizing iliyokuwa nzuri kabisa, yenye kipengele cha ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi viwili vya miaka 5 na mwanachama wa Chadema alikuwa huru kuitafuta haki yake mahakamani.

Mwaka 2006, Chadema wakafanya marekebisho ya Katiba na kuyasilisha ofisi ya msajili wa vyama, na ikakubaliwa.

Nilipoipitia katiba hiyo ya Chadema ya 2006, nikakuta kile kipengele cha ukomo wa uongozi, hakipo!, kimenyofolewa kinyemela!. Nilipokiulizia kipengele hicho humu jf, Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa alinishukikia vilivyo na kukanusha kuwa Chadema halikuwahi kuwa na kipengele hicho!.

Hii maana yake ni hata Katibu Mkuu Chadema, alikuwa haijui Katiba ya chama chake!. Kama Katibu Mkuu ambaye ndie custodian wa katiba ya Chadema, haijui katiba hiyo, what do expect kwa the rest of the people?.

Baada ya Dr. Slaa kunishukia, aliyeninusuru ni JJ. Mnyika kukiri kifungu hicho kilikuwepo na sasa hakipo sio kuwa kimenyofolewa!, no!, bali ni hakikujadiliwa kabisa hivyo kikayeyuka tuu into thin air!

Katiba hiyo ya 2006 pia ikapenyeza kifungu ambacho kinakwenda kinyume cha katiba ya JMT kumzuia mwanachama wa Chadema kwenda mahakamani, akienda tuu ndio amejifukuzisha Chadema!.

Tukija kwenye hoja za bandiko hili ambazo mimi nimeziita Chadema ni ubatili, ubatili ubatili mtupu mpaka basi!. CC ya CDM haina mamlaka kumjadili Mwenyekiti wa Bawacha, kwasababu sio mamlaka yake ya nidhamu, CC hiyo ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumjadili na kumfuta uanachama Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee?!.

Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.

Katiba ya Chadema ipo na imeweka taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Sasa vitu vidogo tuu na straight kama hivi vinawashinda hawa jamaa, jee ingetokea watu kama hawa ndio wameshinda uchaguzi na kuikalia Ikulu yetu si ni ingekuwa ni majanga?. Kwa lugha nyingine, inawezekana Chadema ni Chama Majanga ila tuu watu walikuwa hawajui, hivyo mitikisiko kama hii ndio itawaonyesha wengine maeneo yenye matundu na jinsi nyumba yao inavyovuja.

Kama Chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwa huku bara, jee tunaupinzani wowote wa kweli ambao ni serious, capable, credible, na reliable, wenye the ability and the capabilities wa kuiondoa CCM madarakani?!.

Paskali
Paskali mayala aka Njaa huna uhalali wala dignity ya kuzungumzia mambo ya CHADEMA kwa sababu wewe una personal interest.Personal interest yako ni kuwa wewe ni Mwanachama hai wa CCM uliyetia nia ya Kugombea Ubunge -2020.Kwa maana hiyo hauko huru bali unafungamana na upande wa CCM nadhani umenielewa, binafisi natamani na kupenda taifa letu liheshimu Katiba, kanuni na sheria zetu za nchi lkn na zilizo Kwenye taasisi zingine kama vyama vya siasa au michezo kama TFF.
Kwenye issue ya hawa dada zetu hata mjinga anajua au kuelewa kuwa Kuna namna ilifanyika isiyo sahihi Kwa mfano mdogo sana yule dada aliyekuwa gerezani Nusrat nani alimtoa gerezani usiku ili akaape? nani alipeleka jina lake akiwa gerezani na nani? aliandaa nyaraka zake.Ila ukiamua kujitoa ufahamu unaweza ukaamua kubishi haina tatizo japo Ukweli unauona tena peupe kabisa.Ninazani hata wao CHADEMA inawauma kuwatimua wanachama 19.Ila kama wamekengeuka hakuna namna ni kama mguu ulioshambuliwa na Kansa huwa unakatwa lkn pindi unakatwa anayekatwa hapendi.Nazani hata CHADEMA hawapendi. Mfano mdogo sana Halima na Matiko wamepewa Ubunge wa viti maalumu na Chama chako mara kadhaa mbona bila shida huko nyuma.Mwisho hakuna mkubwa kuliko taasisi Lowasa alikatwa na CCM kwa masrahi mapana ya chama.Tusitetee upuuzi lazima Kila Mwanachama aheshimu katiba na taratibu za Chama chake kwani anaingia huko kwa hiari yake.
Mwisho kwa nini maneno mengi kwa CHADEMA lkn Lipumba wa CUF alivyofanya hivi haikuwa shida.
 
Wanabodi,
Kwanza sio kila kitu ni siasa, vitu vingine ni hoja za kikatiba, Sheria, taratibu na kanuni.

Ukileta hoja specific, hakuna ubaya kujifagilia ubobezi wako katika eneo husika.

Mimi Paskali Mayalla ni Mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, ila pia nilisomea sheria, LL.B, UDSM, ile kutua tuu UDSM, siku ya kwanza kipindi cha Kwanza ni LW 101, unajua mwalimu wangu wa kwanza kabisa UDSM ni nani?... ni Dr. Tulia Akson!.

Prof. Issa Gulamhussein Shivji na Palamagamba Kabudi, walitufundisha LW. 200 ndio yenye Katiba, nilifumua A, utadhani mtihani nilikuwa natunga mimi!. Hivyo kwenye hoja hii ya Katiba ya Chadema, mimi naizungumza as an authority.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu, ila kukaelewa ni shughuli. Kabla ya chama chochote cha siasa kusajiliwa ni lazima kiwasilishe katiba yake kwa Msajili wa vyama, ipitiwe na wataalamu wa katiba, wajiridhishe kuwa iko sawa na inaendana na katiba ya nchi.

Hivyo hata Chadema, iliposajiliwa kwa mara ya kwanza ile 1992, iliwasilisha katiba fulani amaizing iliyokuwa nzuri kabisa, yenye kipengele cha ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi viwili vya miaka 5 na mwanachama wa Chadema alikuwa huru kuitafuta haki yake mahakamani.

Mwaka 2006, Chadema wakafanya marekebisho ya Katiba na kuyasilisha ofisi ya msajili wa vyama, na ikakubaliwa.

Nilipoipitia katiba hiyo ya Chadema ya 2006, nikakuta kile kipengele cha ukomo wa uongozi, hakipo!, kimenyofolewa kinyemela!. Nilipokiulizia kipengele hicho humu jf, Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa alinishukikia vilivyo na kukanusha kuwa Chadema halikuwahi kuwa na kipengele hicho!.

Hii maana yake ni hata Katibu Mkuu Chadema, alikuwa haijui Katiba ya chama chake!. Kama Katibu Mkuu ambaye ndie custodian wa katiba ya Chadema, haijui katiba hiyo, what do expect kwa the rest of the people?.

Baada ya Dr. Slaa kunishukia, aliyeninusuru ni JJ. Mnyika kukiri kifungu hicho kilikuwepo na sasa hakipo sio kuwa kimenyofolewa!, no!, bali ni hakikujadiliwa kabisa hivyo kikayeyuka tuu into thin air!

Katiba hiyo ya 2006 pia ikapenyeza kifungu ambacho kinakwenda kinyume cha katiba ya JMT kumzuia mwanachama wa Chadema kwenda mahakamani, akienda tuu ndio amejifukuzisha Chadema!.

Tukija kwenye hoja za bandiko hili ambazo mimi nimeziita Chadema ni ubatili, ubatili ubatili mtupu mpaka basi!. CC ya CDM haina mamlaka kumjadili Mwenyekiti wa Bawacha, kwasababu sio mamlaka yake ya nidhamu, CC hiyo ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumjadili na kumfuta uanachama Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee?!.

Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.

Katiba ya Chadema ipo na imeweka taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Sasa vitu vidogo tuu na straight kama hivi vinawashinda hawa jamaa, jee ingetokea watu kama hawa ndio wameshinda uchaguzi na kuikalia Ikulu yetu si ni ingekuwa ni majanga?. Kwa lugha nyingine, inawezekana Chadema ni Chama Majanga ila tuu watu walikuwa hawajui, hivyo mitikisiko kama hii ndio itawaonyesha wengine maeneo yenye matundu na jinsi nyumba yao inavyovuja.

Kama Chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwa huku bara, jee tunaupinzani wowote wa kweli ambao ni serious, capable, credible, na reliable, wenye the ability and the capabilities wa kuiondoa CCM madarakani?!.

Paskali
Mbona unaongea tu bila kuweka citation ya hivyo vifungu vya katiba ya chadema vilivyokiukuwa? This is an empty minded thread
 
Back
Top Bottom