Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

Brother P kwaelewa Chadomo ni kazi sana , lile ni kundi la vilaza wenye uthubutu wa kupambana, haiweze kama mkuu wa chama kufeli shule kwa kuzungusha zero aje awe mbadala wa CCM kusaidia taifa ,


CHADEMA kifutwe tu

USSR
Sukumagang baada ya kupigwa pigwa kichwani na vitu vizito vyenye ncha kali, mnatafuta pa kupumulia hewa chafu?!
 
Wanabodi,
Kwanza sio kila kitu ni siasa, vitu vingine ni hoja za kikatiba, Sheria, taratibu na kanuni.

Ukileta hoja specific, hakuna ubaya kujifagilia ubobezi wako katika eneo husika.

Mimi Paskali Mayalla ni Mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, ila pia nilisomea sheria, LL.B, UDSM, ile kutua tuu UDSM, siku ya kwanza kipindi cha Kwanza ni LW 101, unajua mwalimu wangu wa kwanza kabisa UDSM ni nani?... ni Dr. Tulia Akson!.

Prof. Issa Gulamhussein Shivji na Palamagamba Kabudi, walitufundisha LW. 200 ndio yenye Katiba, nilifumua A, utadhani mtihani nilikuwa natunga mimi!. Hivyo kwenye hoja hii ya Katiba ya Chadema, mimi naizungumza as an authority.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu, ila kukaelewa ni shughuli. Kabla ya chama chochote cha siasa kusajiliwa ni lazima kiwasilishe katiba yake kwa Msajili wa vyama, ipitiwe na wataalamu wa katiba, wajiridhishe kuwa iko sawa na inaendana na katiba ya nchi.

Hivyo hata Chadema, iliposajiliwa kwa mara ya kwanza ile 1992, iliwasilisha katiba fulani amaizing iliyokuwa nzuri kabisa, yenye kipengele cha ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi viwili vya miaka 5 na mwanachama wa Chadema alikuwa huru kuitafuta haki yake mahakamani.

Mwaka 2006, Chadema wakafanya marekebisho ya Katiba na kuyasilisha ofisi ya msajili wa vyama, na ikakubaliwa.

Nilipoipitia katiba hiyo ya Chadema ya 2006, nikakuta kile kipengele cha ukomo wa uongozi, hakipo!, kimenyofolewa kinyemela!. Nilipokiulizia kipengele hicho humu jf, Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa alinishukikia vilivyo na kukanusha kuwa Chadema halikuwahi kuwa na kipengele hicho!.

Hii maana yake ni hata Katibu Mkuu Chadema, alikuwa haijui Katiba ya chama chake!. Kama Katibu Mkuu ambaye ndie custodian wa katiba ya Chadema, haijui katiba hiyo, what do expect kwa the rest of the people?.

Baada ya Dr. Slaa kunishukia, aliyeninusuru ni JJ. Mnyika kukiri kifungu hicho kilikuwepo na sasa hakipo sio kuwa kimenyofolewa!, no!, bali ni hakikujadiliwa kabisa hivyo kikayeyuka tuu into thin air!

Katiba hiyo ya 2006 pia ikapenyeza kifungu ambacho kinakwenda kinyume cha katiba ya JMT kumzuia mwanachama wa Chadema kwenda mahakamani, akienda tuu ndio amejifukuzisha Chadema!.

Tukija kwenye hoja za bandiko hili ambazo mimi nimeziita Chadema ni ubatili, ubatili ubatili mtupu mpaka basi!. CC ya CDM haina mamlaka kumjadili Mwenyekiti wa Bawacha, kwasababu sio mamlaka yake ya nidhamu, CC hiyo ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumjadili na kumfuta uanachama Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee?!.

Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.

Katiba ya Chadema ipo na imeweka taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Sasa vitu vidogo tuu na straight kama hivi vinawashinda hawa jamaa, jee ingetokea watu kama hawa ndio wameshinda uchaguzi na kuikalia Ikulu yetu si ni ingekuwa ni majanga?. Kwa lugha nyingine, inawezekana Chadema ni Chama Majanga ila tuu watu walikuwa hawajui, hivyo mitikisiko kama hii ndio itawaonyesha wengine maeneo yenye matundu na jinsi nyumba yao inavyovuja.

Kama Chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwa huku bara, jee tunaupinzani wowote wa kweli ambao ni serious, capable, credible, na reliable, wenye the ability and the capabilities wa kuiondoa CCM madarakani?!.

Paskali
Soma sheria na taratibu za chadema ndo utoe comments[emoji116][emoji116][emoji116]

Kanuni za kusimamia shughuli, mwenendo na maadili ya wabunge wa Chadema (2006), kifungu cha 8.0 (a) (x); zinasomeka ifuatavyo; “Chadema itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa katiba ya chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za chama hatavumiliwa na atafukuzwa uanachama”

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
It's true, Zitto alitimuliwa hivi hivi kama Mdee. CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya NKM, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na mamlaka yenye uwezo wa kumtimua ni Mkutano Mkuu. Zitto alitimuliwa kwa uonevu, karma ya uonevu huo kwa Zitto imeisha tembeza bakora zake, Chadema kama chama kimekula share yake na individual members wa Chadema nao wamekula bakora zao, tatizo ni hakuna a defined and a specific time frame ya malipo ya karma, unaweza kufanya ubaya leo ukalipwa kesho, na unaweza kufanya ubaya leo, ukalipwa miaka 10 baadae, sasa wakati wa malipo, utahesabu ni majanga tuu wala hutakumbuka ulifanyaga nini. Hata naniliu kaondoshwa kwa karma payback.

Ukiisha ijua karma, epuka dhulma na maonevu. Kati ya wabunge hao 19, not all wamehusika, wengine wameingizwa tuu hivyo kuwahukumu kwa mtindo wa tenga la samaki, mmoja akioza wote wameoza sio kuwatendea haki, karma lazima itawalipia!.
P
Ndugu labda kama hiyo 'Karma' inafuata maelekezo na matakwa yako.
Lakini Zitto(MM1) et all, hawakuonewa, KWANI walikuwa ni sehemu ya njama za mapinduzi haramu yaliokuwa yanaratibiwa na akina Profesa Kitila Mkumbo (MM2), Mathias Mwigamba(MM3). Mapandikizi wote waliisharudi kwenu CCM wengine wakipitia chama dada ACT.
Marehemu Mama yake Zitto alikuwa mjumbe imara wa Kamati Kuu CHADEMA.
 
Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.
Mkuu PASKALI, kuna Jambo nadhani tuliweke sawa hapa. CHADEMA kama Chama hakijakaa kujadili viongozi waliokiuka majukumu ya uongozi wa Chama. Chama kiliketi kwenye CC kujadili UANACHAMA wa WANACHAMA wake waliokiuka Maamuzi Baada ya Uchaguzi/Uchafuzi Mkuu. Na hili la kamati kuu kuwa na mamlaka ya kujadili UANACHAMA wa MWANACHAMA yoyote lipo very clear kwenye ile Ibara ya 5 kifungu 5.4.4 ambapo "Kamati Kuu inaweza Kumfukuza ama kumwachisha MWANACHAMA yoyote kwa Mujibu wa Kanuni za Chama". Inaishia hapo inakuja Ibara ya 5 kifungu 5.4 5 ambapo moja ya kanuni za kukoma UANACHAMA ni "kukosa sifa za uanachama" (Zingatia kukosa SIFA za Uanachama (Sijasema Kukoma Uongozi). Na mwisho ieleweke kwamba mchakato huu tukigeneralize purposes yake ni kwamba ulifanyika kwa lengo la kujadili UANACHAMA wa WANACHAMA 19 kama wana sifa za kuendelea kuwa wanaCDM ama Lah. Hilo lilifanyika.

20220514_181131202.jpg


20220514_181037216.jpg
 
Kifupi ndani ya chadema kuna udicteta mwingi ukitaka kujua rejea kufukuzwa kwa zitto kitila na wengineo hakuna demokrasia ila chama kinaendeshwa kwa mihemko ya viongozi
 
unakerwa na cdm ukiwa pande zipi Tanzania baada ya kuwafukuza covid 19?
Pia Mr paskali mara zote posts zako dhidi ya CDM zipo biased na kwa ufupi wewe sio mchambuzi Wa siasa bali wewe ni mtu unaelazimishisha kutafuta umaarufu kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha jpm.
wakati ndungai anawaapisha hao covid kumbuka ulisifia sana huku ukijua kuwa 2020 hakukuwa na uchaguzi.

wasomi wa siku hizi ni wasakatonge tu kwani kuwatofautisha na la 7 ngumu.

Usimshambulie mtoa mada bali ishambulie mada.
 
Paskali mayala aka Njaa huna uhalali wala dignity ya kuzungumzia mambo ya CHADEMA kwa sababu wewe una personal interest.Personal interest yako ni kuwa wewe ni Mwanachama hai wa CCM uliyetia nia ya Kugombea Ubunge -2020.Kwa maana hiyo hauko huru bali unafungamana na upande wa CCM nadhani umenielewa, binafisi natamani na kupenda taifa letu liheshimu Katiba, kanuni na sheria zetu za nchi lkn na zilizo Kwenye taasisi zingine kama vyama vya siasa au michezo kama TFF.
Kwenye issue ya hawa dada zetu hata mjinga anajua au kuelewa kuwa Kuna namna ilifanyika isiyo sahihi Kwa mfano mdogo sana yule dada aliyekuwa gerezani Nusrat nani alimtoa gerezani usiku ili akaape? nani alipeleka jina lake akiwa gerezani na nani? aliandaa nyaraka zake.Ila ukiamua kujitoa ufahamu unaweza ukaamua kubishi haina tatizo japo Ukweli unauona tena peupe kabisa.Ninazani hata wao CHADEMA inawauma kuwatimua wanachama 19.Ila kama wamekengeuka hakuna namna ni kama mguu ulioshambuliwa na Kansa huwa unakatwa lkn pindi unakatwa anayekatwa hapendi.Nazani hata CHADEMA hawapendi. Mfano mdogo sana Halima na Matiko wamepewa Ubunge wa viti maalumu na Chama chako mara kadhaa mbona bila shida huko nyuma.Mwisho hakuna mkubwa kuliko taasisi Lowasa alikatwa na CCM kwa masrahi mapana ya chama.Tusitetee upuuzi lazima Kila Mwanachama aheshimu katiba na taratibu za Chama chake kwani anaingia huko kwa hiari yake.
Mwisho kwa nini maneno mengi kwa CHADEMA lkn Lipumba wa CUF alivyofanya hivi haikuwa shida.

HONGERA KWA KUMPA ZA USO. AONGELEE MAMBO YAO YA CCM YA UKUIKWAJI HAKI ZA BINADAMU NA UPIGAJI HELA ZA WALIPA KODI VITU AMBAVYO KAMA ANGEKUWA ANAYO RELEVANCE YOYOTE ILIYOBAKIA ANGEVIONGELEA.
 
Mr Hunger- jana nilikujibu katika thread yako nyingine kwamba hili sakata unavunga watu kwa kuanzia katikati - technicalities, kangaroo courts etc.
Unaogopa au unakwepa kulianzia mwanzo kabisa - jinsi wabunge viti maalum wanavyochaguliwa na kupendekezwa na kila chama wakati wa uchaguzi kufuatana na sheria, utaratibu etc.
Nashangaa kabisa kwamba unaamini CDM ilipendekeza jina la mtu aliye mahabusu awe mbunge viti maalum - akatolewa jela usiku na kuapishwa kwenye hema.
Tena wakati wa utawala wa mwendazake?
Oh No Mr Hunger, tell that to the birds.
Akikujibu hapa, ni kweli jamaa ni hewa
 
Wanabodi,
Kwanza sio kila kitu ni siasa, vitu vingine ni hoja za kikatiba, Sheria, taratibu na kanuni.

Ukileta hoja specific, hakuna ubaya kujifagilia ubobezi wako katika eneo husika.

Mimi Paskali Mayalla ni Mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, ila pia nilisomea sheria, LL.B, UDSM, ile kutua tuu UDSM, siku ya kwanza kipindi cha Kwanza ni LW 101, unajua mwalimu wangu wa kwanza kabisa UDSM ni nani?... ni Dr. Tulia Akson!.

Prof. Issa Gulamhussein Shivji na Palamagamba Kabudi, walitufundisha LW. 200 ndio yenye Katiba, nilifumua A, utadhani mtihani nilikuwa natunga mimi!. Hivyo kwenye hoja hii ya Katiba ya Chadema, mimi naizungumza as an authority.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu, ila kukaelewa ni shughuli. Kabla ya chama chochote cha siasa kusajiliwa ni lazima kiwasilishe katiba yake kwa Msajili wa vyama, ipitiwe na wataalamu wa katiba, wajiridhishe kuwa iko sawa na inaendana na katiba ya nchi.

Hivyo hata Chadema, iliposajiliwa kwa mara ya kwanza ile 1992, iliwasilisha katiba fulani amaizing iliyokuwa nzuri kabisa, yenye kipengele cha ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi viwili vya miaka 5 na mwanachama wa Chadema alikuwa huru kuitafuta haki yake mahakamani.

Mwaka 2006, Chadema wakafanya marekebisho ya Katiba na kuyasilisha ofisi ya msajili wa vyama, na ikakubaliwa.

Nilipoipitia katiba hiyo ya Chadema ya 2006, nikakuta kile kipengele cha ukomo wa uongozi, hakipo!, kimenyofolewa kinyemela!. Nilipokiulizia kipengele hicho humu jf, Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa alinishukikia vilivyo na kukanusha kuwa Chadema halikuwahi kuwa na kipengele hicho!.

Hii maana yake ni hata Katibu Mkuu Chadema, alikuwa haijui Katiba ya chama chake!. Kama Katibu Mkuu ambaye ndie custodian wa katiba ya Chadema, haijui katiba hiyo, what do expect kwa the rest of the people?.

Baada ya Dr. Slaa kunishukia, aliyeninusuru ni JJ. Mnyika kukiri kifungu hicho kilikuwepo na sasa hakipo sio kuwa kimenyofolewa!, no!, bali ni hakikujadiliwa kabisa hivyo kikayeyuka tuu into thin air!

Katiba hiyo ya 2006 pia ikapenyeza kifungu ambacho kinakwenda kinyume cha katiba ya JMT kumzuia mwanachama wa Chadema kwenda mahakamani, akienda tuu ndio amejifukuzisha Chadema!.

Tukija kwenye hoja za bandiko hili ambazo mimi nimeziita Chadema ni ubatili, ubatili ubatili mtupu mpaka basi!. CC ya CDM haina mamlaka kumjadili Mwenyekiti wa Bawacha, kwasababu sio mamlaka yake ya nidhamu, CC hiyo ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumjadili na kumfuta uanachama Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee?!.

Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.

Katiba ya Chadema ipo na imeweka taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Sasa vitu vidogo tuu na straight kama hivi vinawashinda hawa jamaa, jee ingetokea watu kama hawa ndio wameshinda uchaguzi na kuikalia Ikulu yetu si ni ingekuwa ni majanga?. Kwa lugha nyingine, inawezekana Chadema ni Chama Majanga ila tuu watu walikuwa hawajui, hivyo mitikisiko kama hii ndio itawaonyesha wengine maeneo yenye matundu na jinsi nyumba yao inavyovuja.

Kama Chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwa huku bara, jee tunaupinzani wowote wa kweli ambao ni serious, capable, credible, na reliable, wenye the ability and the capabilities wa kuiondoa CCM madarakani?!.

Paskali

Kumbe wee nawe ni kilaza hivyo…?!?
Law udsm ni miaka minne, tuambie ni kwa nini ulitumia zaidi ya miaka minne…!?
 
Kumbe wee nawe ni kilaza hivyo…?!?
Law udsm ni miaka minne, tuambie ni kwa nini ulitumia zaidi ya miaka minne…!?
Hhmmmmhh!
P. Hebu Rudi hapa usafishe hii hali ya hewa. Tafadhali njoo na rula ya meta na kamba upanyooshe hapa pamepinda mno! Welcome Mr. P to clear the air.
 
Wanabodi,
Kwanza sio kila kitu ni siasa, vitu vingine ni hoja za kikatiba, Sheria, taratibu na kanuni.

Ukileta hoja specific, hakuna ubaya kujifagilia ubobezi wako katika eneo husika.

Mimi Paskali Mayalla ni Mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, ila pia nilisomea sheria, LL.B, UDSM, ile kutua tuu UDSM, siku ya kwanza kipindi cha Kwanza ni LW 101, unajua mwalimu wangu wa kwanza kabisa UDSM ni nani?... ni Dr. Tulia Akson!.

Prof. Issa Gulamhussein Shivji na Palamagamba Kabudi, walitufundisha LW. 200 ndio yenye Katiba, nilifumua A, utadhani mtihani nilikuwa natunga mimi!. Hivyo kwenye hoja hii ya Katiba ya Chadema, mimi naizungumza as an authority.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu, ila kukaelewa ni shughuli. Kabla ya chama chochote cha siasa kusajiliwa ni lazima kiwasilishe katiba yake kwa Msajili wa vyama, ipitiwe na wataalamu wa katiba, wajiridhishe kuwa iko sawa na inaendana na katiba ya nchi.

Hivyo hata Chadema, iliposajiliwa kwa mara ya kwanza ile 1992, iliwasilisha katiba fulani amaizing iliyokuwa nzuri kabisa, yenye kipengele cha ukomo wa uongozi mwisho ni vipindi viwili vya miaka 5 na mwanachama wa Chadema alikuwa huru kuitafuta haki yake mahakamani.

Mwaka 2006, Chadema wakafanya marekebisho ya Katiba na kuyasilisha ofisi ya msajili wa vyama, na ikakubaliwa.

Nilipoipitia katiba hiyo ya Chadema ya 2006, nikakuta kile kipengele cha ukomo wa uongozi, hakipo!, kimenyofolewa kinyemela!. Nilipokiulizia kipengele hicho humu jf, Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa alinishukikia vilivyo na kukanusha kuwa Chadema halikuwahi kuwa na kipengele hicho!.

Hii maana yake ni hata Katibu Mkuu Chadema, alikuwa haijui Katiba ya chama chake!. Kama Katibu Mkuu ambaye ndie custodian wa katiba ya Chadema, haijui katiba hiyo, what do expect kwa the rest of the people?.

Baada ya Dr. Slaa kunishukia, aliyeninusuru ni JJ. Mnyika kukiri kifungu hicho kilikuwepo na sasa hakipo sio kuwa kimenyofolewa!, no!, bali ni hakikujadiliwa kabisa hivyo kikayeyuka tuu into thin air!

Katiba hiyo ya 2006 pia ikapenyeza kifungu ambacho kinakwenda kinyume cha katiba ya JMT kumzuia mwanachama wa Chadema kwenda mahakamani, akienda tuu ndio amejifukuzisha Chadema!.

Tukija kwenye hoja za bandiko hili ambazo mimi nimeziita Chadema ni ubatili, ubatili ubatili mtupu mpaka basi!. CC ya CDM haina mamlaka kumjadili Mwenyekiti wa Bawacha, kwasababu sio mamlaka yake ya nidhamu, CC hiyo ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumjadili na kumfuta uanachama Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee?!.

Mamlaka sahihi ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, na mamlaka yake yenye uwezo wa kumfuta uanachama Halima Mdee, ni Mkutano Mkuu pekee!. Sasa kwenye kikao cha juzi cha Baraza Kuu la Chadema, kuna mtu yoyote alisikia likijadil mashitaka yoyote ya Halima Mdee?. Ilichofanya Baraza Kuu ni kubariki maamuzi yale batili ya CC ya Chadema. Kitendo cha Baraza Kuu, kurudhia kuvuliwa uanachama wa Halima Mdee, Baraza Kuu lilipata wapi mamlaka hiyo?!.

Katiba ya Chadema ipo na imeweka taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu, kwanini hazifuatwi?. Sasa vitu vidogo tuu na straight kama hivi vinawashinda hawa jamaa, jee ingetokea watu kama hawa ndio wameshinda uchaguzi na kuikalia Ikulu yetu si ni ingekuwa ni majanga?. Kwa lugha nyingine, inawezekana Chadema ni Chama Majanga ila tuu watu walikuwa hawajui, hivyo mitikisiko kama hii ndio itawaonyesha wengine maeneo yenye matundu na jinsi nyumba yao inavyovuja.

Kama Chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwa huku bara, jee tunaupinzani wowote wa kweli ambao ni serious, capable, credible, na reliable, wenye the ability and the capabilities wa kuiondoa CCM madarakani?!.

Paskali
Wewe ndiyo ulisema yule Raisi mpendwa asivae mask, tukakuonya ukawa ngangal, cha ajabu waliofukuxwa CCM wote hujafanya hiyo kuhojI.

we mzee ni dickhead
 
HONGERA KWA KUMPA ZA USO. AONGELEE MAMBO YAO YA CCM YA UKUIKWAJI HAKI ZA BINADAMU NA UPIGAJI HELA ZA WALIPA KODI VITU AMBAVYO KAMA ANGEKUWA ANAYO RELEVANCE YOYOTE ILIYOBAKIA ANGEVIONGELEA.
Kuna watu wasomi lakini wanajifanya hawaelewi .Kwa nini mwandishi huyu mkongwe hataki kujadili au kueleza watuhumiwa walifika je hapo.Wakati huo huo atueleze anajadili hili akiwa mtu huru au CCM.
 
Back
Top Bottom