Ni ubinafsi au unafki, Waarabu wanaosifiwa kuogelea kwenye pesa ni kwanini wanajibana kutoa misaada kwa ndugu zao wapalestina huko Gaza ?

Unajenga bandari halafu unawapa silaha na pesa israel abomoe just mchezo wao wa kukuza biashara ya silaha hakuna jipya kama una akili, marekani biashara inayompa pesa ni silaha na dunia ikiwa na amani hizo silaha atamuuzia nani?
 
koment ya muislam ikiunga mkono Saudi Arabia kutojitoa kuwasaidia Gaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…