Ni ujinga kudhani kuwa ili watu watege masikio kwa Rais Samia ni kuviponda vitu alivyofanya Hayati Magufuli

Sisi mimi na mke wangu. Kupanick hakutakisaidia chochote ww sukuma gang. Kama umeshanyweshwa vijibia mshenzi na wanaume, basi hapa pombe itakata. Ngiri jike ww.
Hunitishi demu wewe! Hahaaa,!

Mbona utatulia tuu we fisi!
 
Wote Ukoo wa Panya buku!?!!
 
Watu kama ninyi ndio mnaomfanya marehemu kila siku aendelee kusemwa. Threads kama hizi haziwezi kumfanya marehemu asisemwe. Unapotaka kuzuia mtu asisemwe, ukweli ni kuwa ndiyo atasemwa zaidi.
 

Ukweli huu ndio unao wanyima usingizi, kunawatu hawalali, wanakesha kuwaza namna ya kuuwa legacy ya JPM lakini wakiamka wanaona mamiradi makubwa ya kimkakati na mamiradi hayo yote yana wagusa wananchi moja kwa moja.
Huku mitaani tunashuhudia jinsi wananchi wanavyo muelezea JPM kama mtualie wapenda wananchi wote bila kuwabagua na staili yake ya utatuzi wa kero mbali mbali pamoja na kuwapa haki wanyonge walio onewa katika namna mbalimbali, kifupi JPM hachafuki.
 
Hata wafanye nini, lakini ukweli ni kwamba, JPM amewashinda kwa mbali kabisa. Wanashindana na Marehemu, na bado anawashinda.
Ni aibu kubwa sana tena sana.
RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
 
Ni wewe tu na utaishia wewe tuu mbibi wewe kuuuza mwili wako na ubibi wote huo! kenge mkubwa

Bado hujapanic vizuri, utapanic sana, lakini dhalimu alikuwa sio. Hutaki jinyonge fullstop.
 
Gawaneni fito ili Tanzania ipate Uhuru kutoka kwenu Wakoloni Weusi (CCM)
Unaamini hao wataopewa nchi watakuwa bora zaidi ya ccm (angalia huko kwenye vyama vyao)? Ni bora ccm watawale kuliko hawa wahuni akina Heche
 
Hata wafanye nini, lakini ukweli ni kwamba, JPM amewashinda kwa mbali kabisa. Wanashindana na Marehemu, na bado anawashinda.
Ni aibu kubwa sana tena sana.
RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
Huyo JPM wako vitoto vidogo vikamshinda, vikamtoa roho.......
 
CCM kumejaa laana tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…