Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenitenga sana mtu wangu!🤣🤣 Good evening totoo
Uwe makini dogo mama yako mdogo huyoKumbe ndo sababu unaitwa totoo...🏃🏃🏃
Mtongozo is coming to you🤣🤣 Good evening totoo
Uko wapi rafiki......Kwema,
Naona kama una demu umemuelewa achana na mambo ya kuanza kujenga urafiki nae maana atakusumbua baadae kwenye kumtongoza ataanza kukuzungusha na pia itakuw ngumu kumpotezea.
Tako halibinyii utabinya niniKwenye urafiki wa jinsia tofauti hasa kwa vijana kadri mnavyozidi kuwa na ukaribu na kuzoeana kuna mmoja huanza kujenga hisia za kimapenzi na akifunguka ndio mwanzo wa urafiki kuyumba.
Hii ilinikuta, nilitokea kuanza kumpenda yule dada nikawaza itakuaje na anajua maujinga yangu mengi sana, nikawaza nikimwaga sera ntaharibu kila kitu nikabinu mbinu kumteka na zikafanikiwa.
Wanawake huwa mnajiskiaje mkikumbatiwa kwa style hii ya pichani?
View attachment 3069472
achana na bajeti broo utatoboka sana na utakuwa maskini...jipende kula vzuri vaa vzuri hafu utawakopa brother... kwa sababu utaaminika zaidiKuwa na bajeti yako nzuri mfukoni utakula ny*chi uitakayo!!
Mfanye demu awe huru kwako kisa mvutie geto,usimtongoze mchombeze kimahaba huku ukimspoil mbona utakula mzigo kiulainiKwema,
Naona kama una demu umemuelewa achana na mambo ya kuanza kujenga urafiki nae maana atakusumbua baadae kwenye kumtongoza ataanza kukuzungusha na pia itakuw ngumu kumpotezea.
Wewe ke/ me mbona usound like styleInapendwa pesa tu hata uwe na mitongozo mizuri vipi kama huna pesa pita kule.
Urafiki kati ya mwanamke na mwanaume mfaidikaji siku zote ni mwanamke tu. Anakukatalia mahusiano ya kimapenzi ila anataka muwe karibu meaning akiwa na shida na akakuomba anajua utashindwa kumchomolea tuFriend zone ni hasara kubwa kwa mwanaume na ni neema kubwa kwa Mwanamke, depending on "nani kampenda mwenzake".
Lako au la nani?Tako halibinyii utabinya nini
LanguLako au la nani?
Na mimi kuna mmoja namtengenezea mazingira atajaa tu 😃Hiyo ni combo moja hatari sana, rafiki ni kama mashemeji huwa hawatongozwi ni mazingira tu kama ajali vile.
Kila la heri ajae iwe kama ajali tu.Na mimi kuna mmoja namtengenezea mazingira atajaa tu 😃
Sasa lako nani ashike?Langu