Ni ujinga kujenga urafiki na mwanamke unayetaka kumtongoza

Tako halibinyii utabinya nini
 
Kwema,
Naona kama una demu umemuelewa achana na mambo ya kuanza kujenga urafiki nae maana atakusumbua baadae kwenye kumtongoza ataanza kukuzungusha na pia itakuw ngumu kumpotezea.
Mfanye demu awe huru kwako kisa mvutie geto,usimtongoze mchombeze kimahaba huku ukimspoil mbona utakula mzigo kiulaini

Acheni ushamba vijana wadogo.
 
Friend zone ni hasara kubwa kwa mwanaume na ni neema kubwa kwa Mwanamke, depending on "nani kampenda mwenzake".
Urafiki kati ya mwanamke na mwanaume mfaidikaji siku zote ni mwanamke tu. Anakukatalia mahusiano ya kimapenzi ila anataka muwe karibu meaning akiwa na shida na akakuomba anajua utashindwa kumchomolea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…