Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

unaongea kama Kaburu wa Afrika Kusini, unajua kwamba hiyo argument yako Wazungu AK wanasema hivyo hivyo kwamba walipokuja walikuta mapori na hawakukuta mtu wakafyeka mapori na kujenga mji ndiyo waafrika wakaibuka ktk porini na kusema ni nchi yao hiyo argument ilijustify apartheid system ambapo mtu mweusi kama wewe ulikuwa daraja la tatu hata waarabu unaowatukana humu walikuwa daraja la pili AK waliwekwa juu yako btw unajua nani alisapoti apartheid AK ? Ni Wayahudi, akina Cecil Rhodes walioanzisha Rhodesia ni Wayahudi na walitumia argument kama yako kukandamiz waafrika mpaka Mandela anatoka jela alikuwa kwenye terrorist list ya all western nations USA $ Co.

Isitoshe unajua kwamba mkoa wote wa Kilimajaro, Arusha mpaka Nairobi ni masai land? Sasa je unafikiri ni sawa leo hii wamasai kuwafukuza wachaga Kilimanjaro na kudai ardhi yao? Ni sawa wamasai kuitaka nairobi yote kwamba ni yao?
alipozaliwa nabii issa leo hakuna myaud hata mmoja na bado unasema wayaudi ni wavamiz? ebu punguzen unafiki
 
You are talking about it like all of these things just started tarehe 7?

IDF kwani kuua wapelestine imeanza Leo?au kwani Hadi HAMAS inaanza kujiform na kuanza operation zake hujui kuwa chanzo chake ni Retaliation kwa forceful occupation ambayo IDF imekuwa inaendelea kuifanya??

So, Israel ndiyo pekee yenye Haki ya kuua wapelestine, wapelestine wakijibu mashambulizi wao ni magaidi siyo?

Au unataka wawe na siasa kama za Yasser Arafat au Mahmoud Abbas,watu wanauawa wao wanataka negotion table ambayo haijawahi zaa matunda na illegal occupation ikiendelea na vifo vikiongezeka siyo?

Dunia haiwezi kuwa hivyo.
Acha sasa waende jino kwa jino. Anayenyukwa atulie,mbona mnaanza kulialia
 
Wewe hutokuja uelewe, tambua wanaoumia na wewe ukishangilia wapo wakristo wenzako pia,nani umeiona anatia HURUMA??

Unashangaza sana, bomu unaambiwa limepigwa kwenye hospital ya kanisa,Sasa iweje unasema Mimi natia huruma?natia huruma kisa waislam wenzangu wameuliwa au wapelestine wameuliwa??

Nachokueleza unaposhangilia,basi utambue waliokufa siyo waislam pekee,na ndug zako wakristo wapo pia...
Vita zina siasa nyingi. Umeamini vipi kuwa alopiga Bomu kanisani ni Israel na siyo Hamas. Unafahamu faida anayopata Hamas kwa tukio Kama hilo
 
Kuongea HIVYO ni makosa makubwa sana,Hilo vugu vugu kutulia haikuwa na maana kwamba Hamas waliweka Silaha chini la hasha,kumbuka IDF imekuwa inaendelea na shughuli za illegal occupation kila mara Kwa kustukiza na taarifa zilikuwa zinaripotiwa mara Kwa mara sema mmeamua kuchagua upande wa kushabikia.

Unashangaza kulaani Hamas na kuwaita magaidi huku IDF mkiwaacha na kusema walinda amani wa Israel ni makosa makubwa sana.

Hamas siyo magaidi Kwa kuwa ni taasisi kamili ambayo Ina uwakilishi ndani ya serikali na Ina wabunge wake na utawala wake,unaowaita wewe magaidi ni freedom fighters Kwa wenzako tambua hilo
njoo uue raia ?
 
Chanzo cha mzozo huu sio uvamizi wa Hamas tu, ila ule uvamizi ni mwendelezo tuu wa huu mzozo wa miaka mingi.
na hayo yote unayamaanisha yalitokea kisa vanizi zenu israel au kushambulia ndan ya israel , usijie uchizi kuwa hujui
 
Kiuhalisia kuna uonevu unaoonekana kwa Wapalestina.
Ukiangalia ramani ya zamani Palestina ilikuwa kubwa Israel ndogo
Saivi ukiangalia ramani Israel in 89% Palestina 11% kitu ambacho sio haki
na ndo ujiulize kwann imekuwa ni israel alianza tu kupora bila sababu , huez kuwa na eneo la kifaidia kivita halaf unalitumia kufanikisha tamaa zako za kupora kaene kadogo ka israel yaan wapalestina walikuwa na eneo kubwa lakin tamaa zao ndo ziliwafikisha hapo , wakome na wajifunze
 
Several historical documents published lately have revealed that the former Israeli Prime Minister, Shimon Peres, had filed a request in the past to obtain Palestinian citizenship. According to Radio "24", the documents tell that Peres was a farmer when he arrived in Palestine coming from Belarus in 1937. Peres' signature appears clearly in the citizenship application which includes a statement saying, "I swear to be faithful and loyal to the government of Palestine."

Read more at https://english.palinfo.com/31009
copyright The Palestinian Information Center
1937 Palestina is under colonial government , stoo propaganda
 
Hatujachagua upande wa kushabikia dhidi ya upande mwingine. Ni dhana yako labda kwa kuona watu wanahoji walichotangulia kukifanya Hamas dhidi ya Israel.

Ni hivi. Mambo ya uhamiaji yamekuepo kwa mataifa yote. Jamii dhidi ya jamii. Mfano kuna makaburu karibuni Million 5 huko S. Africa ambao walihamia pale karne nyingi zilizopita. Je leo uwafukuze warudi wapi ?!. Ikiwa walikotoka babu zao hata kumbukumbu zao hazipo. Na hiki cha sasa ni kizazi kilichozaliwa Africa kusini. Utawapereka wapi ?!. The same na waarabu walioko Zanzibar na hata bara je kuna nafasi zao huko Oman tena leo hii ?!. Wahindi waliozagaa Tanganyika na visiwani je wanazo nafasi za kuwarudisha India leo hii ?!. Je makabila yetu ya mipakani, iliyoingiliana na watu wa mataifa jirani. Je leo tuwakatae kwa sababu zozote zile ?!. Tutakuwa taifa la namna gani ?

Mwl kwa hekima alisema wote waliokutwa na uhuru hapa, ni waTanganyika (Tanzania). Hiyo iliondoa pressure za uhasama, dhidi ya jamii za wachache.

Kuhusu mambo ya itikadi ukabila, imani za dini tofauti tofauti. Ni kukubali kuishi pamoja kwa kuvumiliana. The same leo Tanzania tunazo itikadi tofauti, imani tofauti, mila tofauti na hata asili tofauti. Lakini tunavumiliana na kila moja anafuata hamsini zake. Hicho kitu ndicho kinachotakiwa ktk eneo lile la wayahudi na Wafilisti. Kukubali kukaa pamoja kwa kuvumilana. Lakini ukimtafuta wa kumhamisha leo unaleta vita visivyoisha. Ndiyo hiyo utaona na watoto wanauliwa. Kwani vita havina macho.
malizia kuwa wapalestina ndio hawataki kuunda taifa moja na waisrael
 
Jambo la kuungana Israel haiwez kukubali cos Wapalestina ni wengi hivo wanahofia watapoteza identint yao.
wanaokataa ni wapalestina sio waisrael , mbona Netanyau aliwai ongea kwenye documentary moja , na hata ss ndan ya israel wapo wapalestina $ waarabu wengi tu na lugha ya kiarab inatumika sana bila kikwazo chochote , kamsikilize aliye i kuwa mtoto wa moja wa viongoz wa hamas huko siku za nyuma
 
i dont have a dog in this fight, mimi najali maisha ya watu innocent hasa wanawake na watoto, wewe kama mwafrika na mtu mweusi you should know better about prejudice and discrimination …
israeñ hakuna wamama na watoto [emoji23][emoji23][emoji23] ulijinadi ww ni mkristu na ss hv unaanza onekana wazi , hatuna wakristu wapumbav hv , unang'ang'ania justice kwa wapalestina ila hutak kubali makosa ya hamas
 
You are talking about it like all of these things just started tarehe 7?

IDF kwani kuua wapelestine imeanza Leo?au kwani Hadi HAMAS inaanza kujiform na kuanza operation zake hujui kuwa chanzo chake ni Retaliation kwa forceful occupation ambayo IDF imekuwa inaendelea kuifanya??

So, Israel ndiyo pekee yenye Haki ya kuua wapelestine, wapelestine wakijibu mashambulizi wao ni magaidi siyo?

Au unataka wawe na siasa kama za Yasser Arafat au Mahmoud Abbas,watu wanauawa wao wanataka negotion table ambayo haijawahi zaa matunda na illegal occupation ikiendelea na vifo vikiongezeka siyo?

Dunia haiwezi kuwa hivyo.
Sasa sheikh kama hamtaki mapatano na Israel katika meza ya mazungumzo na mmechagua njia ya mapigano mbona Tena mnalalamika na kuomba Dunia iingilie kati mauaji anayoyafanya myahudi dhidi yenu .
NB. Huu unafiki wa kuwalilia waarabu unatoka wapi wakati Kuna waafrika wenzetu wa Sudan wanauawa na haohao waarabu mauaji ya kimbali ?
 
Hata mtume alipigana vita pale ilipombidi . So usishangae taifa teule kuamua kuingia kwenye mapambano ya vita pale inapochokozwa . Akuanzaye mmalize 😂😂😂
Taifa la Mungu Israel liache liziidi kubarikiwa na lizidishe MAUAJI ...

Sababu Israel ni Taifa Teule
 
Kwani hawa wayahudi si ndio waliomliga mijeledi Yesu, inakuwaje tena wabarikiwe hawa wamelaaniwa na Yesu. Yohana 4:22 hapa mmeingizwa chaka, na hayo ni mazara ya Imani bila kishirikisha akili.
Tangu kuzaliwa kwake Yesu hakuwa mtu wa visasi na chuki Kwa wasiomuamini na kumpenda . Hata baada ya kupigwa na kuteswa Sana pale msalabani alitamka maneno haya " Baba wasamehe Kwa maana hawajui walitendalo ". Kwa hiyo wewe kusema Yesu aliwalaani waliomtesa hebu lete andiko tulione .
 
Back
Top Bottom