Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Waisrailiwaje bongo kutusaidia kuua CCM wote kuanzia wa juu kabisa mpaka wa chini kabisa
 
Uvamiz wa HAMAS?

Hamas imeundwa 1987,IDF ipo hapo miaka na miaka inamwaga damu na kufanya illegal occupation of Land ya wapelestine, Sasa nani hapo kavamia?

Yani mtu anaejilinda kutokana na vitendo vya kuuliwa unamuita mvamizi na Gaidi?
Hammas inajilinda kwa kuwachinja watoto wadogo

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Huo sio mgogoro wa kidini bali ni;
1. Mgogoro wa raslimali kama ardhi, gesi, mafuta nk.
2. Uzalendo utaifa na kupenda sana nchi yako
3. Wakubwa wana maslahi hapo ndo maana huwa hauishagi

Kipi kifanyike? Acha israel na palestina ziungane iwe nchi moja
Sio kweli, hakuna rasilimali zozote za maana eneo hilo. Huo ni mgogoro wa kidini, kiutamaduni na Kihistoria.
 
Huo sio mgogoro wa kidini bali ni;
1. Mgogoro wa raslimali kama ardhi, gesi, mafuta nk.
2. Uzalendo utaifa na kupenda sana nchi yako
3. Wakubwa wana maslahi hapo ndo maana huwa hauishagi

Kipi kifanyike? Acha israel na palestina ziungane iwe nchi moja
Sio kweli, hakuna rasilimali zozote za maana eneo hilo. Huo ni mgogoro wa kidini, kiutamaduni na Kihistoria.
 
Back
Top Bottom