Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania kuna Magaidi. Ndio uongo mkubwa na mbaya sana. Raisi anaenda kuufuta.Nilimsikia Rais akisema filamu tunayoitengeneza inakwenda kufuta uongo unaoenezwa duniani kuhusu Tanzania.
Niwaombe wadau mnisaidie kujua ni uongo gani hip? Ni nani wanaeneza? Je, filamu pekee inatosha kufuta huo uongo?
🤣🤣🤣Tanzania Kuna magaidi,huu uongo unaenezwa na Polisi na
serikali, kwahiyo serikali inafanya juhudi kusema ukweli.
these are correct. To add few; they are corrupt, Greedy and ineptThat they are Uneducated, Lazy, Drunkers, Useless, Short Sighted and best Gossipers Worldwide.
Hadi anaona aibu. Juzi Tegeta ameshangaa sana. Ukweli ameujua hapendwiMama yenu amishapotezwa mwelekeo na mahafidhina ya ccm, Kwisha kabisa, siku hizi anaongea vitu horojo sana
Ndio ifutwe na documentary??🤣🤣Hii kauli ili mlenga mr belgiji moja kwa moja
Labda zile khabarri za kizushi za kigogo eti jumong ni lesibianNilimsikia Rais akisema filamu tunayoitengeneza inakwenda kufuta uongo unaoenezwa duniani kuhusu Tanzania.
Niwaombe wadau mnisaidie kujua ni uongo gani hip? Ni nani wanaeneza? Je, filamu pekee inatosha kufuta huo uongo?
Shemeji yetu Amsterdam, anayo majibu yote.Nilimsikia Rais akisema filamu tunayoitengeneza inakwenda kufuta uongo unaoenezwa duniani kuhusu Tanzania.
Niwaombe wadau mnisaidie kujua ni uongo gani hip? Ni nani wanaeneza? Je, filamu pekee inatosha kufuta huo uongo?
Ni kweli, mpaka wengine wengine wameamua kufunga ubalozi.huu unduza hata wanaoambiwa wameukataa.
kwahiyo wamefunga sababu ya mwenendo wa demokrasia au wana mambi yao mengine!!!!kwamba tanzania hakuna uhuru wa habari na demokrasia.
Ni kweli, mpaka wengine wengine wameamua kufunga ubalozi.
wahiyo wamefunga sababu ya mwenendo wa demokrasia au wana mambi yao mengine!!!!
😂😂😂😂 TBC hii hii ya kwetu hapa!!? Kwanza kabla hawajafanya hayo uliyosema naomba shirika linunuliwe camera mpya na za kisasa na matangazo yao ya video yawe kwenye high quality videos resolution (full HD) ili yaweze kuendana na ubora wa vituo vingne vya kimataifaKuufuta uongo ni kutumia mbinu ya Russia, na Uingereza kwa kuwezesha mashirika yao ya habari kujitanua ulimwenguni. Wengi mnazijua RT na BBC ni vyombo vilivyochini ya serikali ya nchi hizo tajwa. Vyombo hivi vimesaidiwa kupata vibali vya kurusha matangazo kwenye maeneo ambayo nchi hizo zinadhani zinachafuliwa ama masalahi yake yaweza kuhatarishwa. Vyombo hivi vimefanya kazi kubwa sana kutimiza azma ya serikali hizo.
Ni kwa mtaji huu, binafsi nafikiri Serikali ya Tanzania iliwezeshe shirika la utangazaji la taifa TBC kupata leseni za matangazo huko huko kwenye mataifa tunapodhani tunahujumiwa kwa uongo. Shirika liwezeshwe kuboresha viwango vya watangazaji wake na hata kwa kupata watangazaji bora kutoka kwenye mashirika mengine makubwa ili kukidhi vigezo vya kuimarisha mbinu za kufuta uongo.
Hii itasaidia sana kumuwezesha rais wetu mpendwa Mama Samia KUENDELEA kufanya Kazi nyingine za kuboresha uchumi wa Taifa hili kwa ujumla.