Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Mkuu hakuna samaki wa aina hiyo, mm nimesoma shahada ya sayansi za bahari chuo kikuu cha Dar es salaam, hivyo ninamjua huyo nguva ambaye watu hudanganywa kwamba anasura ya binadamu, jarib kusoma google samaki huyo anaitwa dugong
Thanks so much kwa kutufunulia ukweli..nimefurahishwa sana na mchango wako ndugu yangu!
