Fourier
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 218
- 75
Jamani kumbe tulikuwa tunadanganyana sana kuwa samaki aina ya nguva ana umbo kama msichana mrembo sehemu ya kukatia kiunoni kwenda juu na kwenda chini samaki.
Huu ni uongo mtupu wa hadithi, ukweli ni kwamba nguva ni samaki mkubwa mwenye umbo la samaki ila sehemu ya kichwani hasa mdomoni anafanana kila kitu na ng'ombe na kitaalam anaitwa NG'OMBE BAHARI.
Huu ndio ukweli wa nguva, ukitaka ushahidi kamili nenda pale posta makumbusho ya taifa utamuona huyu samaki nguva na utakubaliana nami.
Mkuu Siku Entrance Wanataka Tuchangie Tsh Ngapi Pale?