Yaani nieleweke hivi kama bint kavunja ungon huyo kisha komaa kwa kuzaa hiyo wala haina story hapo na hasa kama utaelewa maanaya kunja ungo unless kuwe na abnormalities za kimwili, lakini kama kavunja ungo akiwa katika hali ya mabadiliko kamili ya ukuaji wa kimwili huyo anazaa hata kama kavunja ungo akiwa na kiaka 8Hapana maana kuna earliers na wakawaida kuvunja ungo .
Watoto 8 to 14 years wanavunja ungo ,hawawezi kubeba mimba.
Kuna 15 to 18 hawa ndio atleast wanaweza kubeba mtoto .
Nyie ndio wale wanaotesa watoto zao na kuwaozesha ni early ageYaani nieleweke hivi kama bint kavunja ungon huyo kisha komaa kwa kuzaa hiyo wala haina story hapo na hasa kama utaelewa maanaya kunja ungo unless kuwe na abnormalities za kimwili, lakini kama kavunja ungo akiwa katika hali ya mabadiliko kamili ya ukuaji wa kimwili huyo anazaa hata kama kavunja ungo akiwa na kiaka 8
Katika maisha halisi ya mwanadamu hakuna early marriages kwa binti aliye vunja ungo, na hakuna mtoto ikiwa amesha vunja ungo, huwezi kuita kifaranga wakati ni kuku anaye taga msibishane nanuhalisia wa uumbaji ndio maana mnatlazimisha mwanamke awe kama mwamaumeNyie ndio wale wanaotesa watoto zao na kuwaozesha ni early age
Ukiwa na Imani hakuna jambo litashindikana.We nawe unatuletea habari za biblia, eti sara 🤣🤣🤣🤣 wadanganye watoto wa wenzio.
Mambo ya biblia yaache na biblia yake ndio maana kwenye biblia wafu walifufuliwa, leo hii nani anafufua wafu ? GWAJIMAAAAA 🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Mkuu neno langu sio sheria, ila kama hauna kipato cha kueleweka sishauri Mzae maana watoto wataishi maisha magumu ya kutesekaMnafanya maisha kuwa magumu sana,bibi zako na mama zetu walituzaa hawana hata 100 na maisha yanaendelea kama kawa.yani uache kuzaa eti hadi Sikh utakapo pata hela usipopata Je?