mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
UsitutishePunguzeni vigezo wadada la sivyo mkichelewa mtapigwa sana visu wakati wa kujifungua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsitutishePunguzeni vigezo wadada la sivyo mkichelewa mtapigwa sana visu wakati wa kujifungua
Msije kusema sikuwaambia niko pale nimekaa 😅Usitutishe
Sawa,tunasubiri tuote manyonyo.Msije kusema sikuwaambia niko pale nimekaa [emoji28]
Mbona tayari unayo jamaniSawa,tunasubiri tuote manyonyo.
Mtachina kitaa 😅Financially stable years old
Wewe elewa kwamba ukisha vunja ungo wewe si mtoto tena bali ni mzazi hata kama umevunja ungo ukiwa na miaka mi 3 na hasa ukiijua maana ya kuvunja ungo wala huna haja ya kuuliza mengi.Miaka 8,9,10,11,12 wazae [emoji15]
NakaziaNakazia, Ukiolewa zaa mapema iwezekanavyo regardless of your age.
Mambo ya kujiona umekua au hujakua na kutaka kuzaa bila ndoa ni Tatizo sana.
We nawe unatuletea habari za biblia, eti sara 🤣🤣🤣🤣 wadanganye watoto wa wenzio.Umri utakapofanikiwa kupata mtoto/watoto ndiyo umri sahihi kwako
Kuna watu wamepata first born wao wakiwa na miaka 16/20/36/42 n.k kutegemeana na mipango yenu na mwenza wako.
Usiharakishe kupata mtoto/watoto kama haujajipanga/hujajiandaa KIMAISHA kwani watoto/mtoto anahitaji matunzo ambayo kama hujajipanga utafanya mtoto aishi maisha ya shida wakati hakuomba mumlete Duniani aje ateseke.
Ukisoma Biblia Sarah mke wa Ibrahim alipata first born wake akiwa Mzee, hivyo wewe pia hujachelewa kumpata mtoto muhimu uwe umejipanga kumlea na kumtunza sio uzae mtoto ukose hata net ya kumkinga na Mbu
Kama hiviMbona tayari unayo jamani
Hili nalo likatazamwe.Kanuni ni kwamba bint akisha vunja ungo tu, yupo tayar kwa azazi ! Hayo mambo ya sijui mtoto sijui miaka 18 sijui mwanafunzi hizo ni porojo za wanaharakati tu.
Na hasa wale wanao taka kulazimisha hadhi ya mwanammke ilingane na mwanaume
Kwa hiyo tuanze kumiminika kujinadi huko pm? 😀
Ukiwa na uelewa mdogo huwezi kunielewa au kama biology ulikuwa unaikwepaMtag mwalimu wako mkuu arudishe ada yetu, tukaitumie kwenye kilimo.
Mnafanya maisha kuwa magumu sana,bibi zako na mama zetu walituzaa hawana hata 100 na maisha yanaendelea kama kawa.yani uache kuzaa eti hadi Sikh utakapo pata hela usipopata Je?Umri utakapofanikiwa kupata mtoto/watoto ndiyo umri sahihi kwako
Kuna watu wamepata first born wao wakiwa na miaka 16/20/36/42 n.k kutegemeana na mipango yenu na mwenza wako.
Usiharakishe kupata mtoto/watoto kama haujajipanga/hujajiandaa KIMAISHA kwani watoto/mtoto anahitaji matunzo ambayo kama hujajipanga utafanya mtoto aishi maisha ya shida wakati hakuomba mumlete Duniani aje ateseke.
Ukisoma Biblia Sarah mke wa Ibrahim alipata first born wake akiwa Mzee, hivyo wewe pia hujachelewa kumpata mtoto muhimu uwe umejipanga kumlea na kumtunza sio uzae mtoto ukose hata net ya kumkinga na Mbu
Bado kwanza Hadi tarehe 27 mwezi wa 7 mwaka 2027.Kwa hiyo tuanze kumiminika kujinadi huko pm? [emoji3]
Wachache sn lakinAisee, inategemea,wengine uzazi ni wa manati,