Ni upi umri sahihi kwa mwanamke kupata mtoto wa kwanza

Ni upi umri sahihi kwa mwanamke kupata mtoto wa kwanza

Umri utakapofanikiwa kupata mtoto/watoto ndiyo umri sahihi kwako

Kuna watu wamepata first born wao wakiwa na miaka 16/20/36/42 n.k kutegemeana na mipango yenu na mwenza wako.

Usiharakishe kupata mtoto/watoto kama haujajipanga/hujajiandaa KIMAISHA kwani watoto/mtoto anahitaji matunzo ambayo kama hujajipanga utafanya mtoto aishi maisha ya shida wakati hakuomba mumlete Duniani aje ateseke.

Ukisoma Biblia Sarah mke wa Ibrahim alipata first born wake akiwa Mzee, hivyo wewe pia hujachelewa kumpata mtoto muhimu uwe umejipanga kumlea na kumtunza sio uzae mtoto ukose hata net ya kumkinga na Mbu
We nawe unatuletea habari za biblia, eti sara 🤣🤣🤣🤣 wadanganye watoto wa wenzio.

Mambo ya biblia yaache na biblia yake ndio maana kwenye biblia wafu walifufuliwa, leo hii nani anafufua wafu ? GWAJIMAAAAA 🤪🤪🤪🤪🤪🤪
 
Mbona tayari unayo jamani
Kama hivi
1689182131414.jpg
 
Kanuni ni kwamba bint akisha vunja ungo tu, yupo tayar kwa azazi ! Hayo mambo ya sijui mtoto sijui miaka 18 sijui mwanafunzi hizo ni porojo za wanaharakati tu.

Na hasa wale wanao taka kulazimisha hadhi ya mwanammke ilingane na mwanaume
Hili nalo likatazamwe.
 
Umri utakapofanikiwa kupata mtoto/watoto ndiyo umri sahihi kwako

Kuna watu wamepata first born wao wakiwa na miaka 16/20/36/42 n.k kutegemeana na mipango yenu na mwenza wako.

Usiharakishe kupata mtoto/watoto kama haujajipanga/hujajiandaa KIMAISHA kwani watoto/mtoto anahitaji matunzo ambayo kama hujajipanga utafanya mtoto aishi maisha ya shida wakati hakuomba mumlete Duniani aje ateseke.

Ukisoma Biblia Sarah mke wa Ibrahim alipata first born wake akiwa Mzee, hivyo wewe pia hujachelewa kumpata mtoto muhimu uwe umejipanga kumlea na kumtunza sio uzae mtoto ukose hata net ya kumkinga na Mbu
Mnafanya maisha kuwa magumu sana,bibi zako na mama zetu walituzaa hawana hata 100 na maisha yanaendelea kama kawa.yani uache kuzaa eti hadi Sikh utakapo pata hela usipopata Je?
 
Back
Top Bottom