Ni upi umri sahihi kwa mwanamke kupata mtoto wa kwanza

Ni upi umri sahihi kwa mwanamke kupata mtoto wa kwanza

Kwa miaka hii uzazi ni changamoto sana,

Allah atusikie tu vilio vyetu.

Watu tunachelewa kuoa na kuolewa.. uzazi lazima uwe mgumu.

Mwanamke anaolewa akiwa na 28 years ama 30s. Uzazi unaleta shida sababu ya age
 
Watu tunachelewa kuoa na kuolewa.. uzazi lazima uwe mgumu.

Mwanamke anaolewa akiwa na 28 years ama 30s. Uzazi unaleta shida sababu ya age
Kweli kabisa,ukitizama hapo nyuma mama zetu wametupata wakiwa na15+
 
Kweli kabisa,ukitizama hapo nyuma mama zetu wametupata wakiwa na15+

Mwanamke mwenye umri mdogo akiguswa tu na mbegu za kiume mimba hiyo hapo.

Ndio maana ma house girl ama mabinti wanafunzi wana kesi za mimba sana.

Binti wa miaka above 30 ambaye hajawai kuzaa kumtia mimba ni kazi ngumu
 
Katika vitu sio vya kufanya judgement ni suala la uzazi
Maana unaweza kuta n default ya mwanaume pia
Ni kweli it can go either way ila i dnt see how god comes into play ndio shida yangu.
 
Mwanamke mwenye umri mdogo akiguswa tu na mbegu za kiume mimba hiyo hapo.

Ndio maana ma house girl ama mabinti wanafunzi wana kesi za mimba sana.

Binti wa miaka above 30 ambaye hajawai kuzaa kumtia mimba ni kazi ngumu
Una evidence?
 
Screenshot_20230712_231915_Chrome.jpg

Screenshot_20230712_231942_Chrome.jpg

Screenshot_20230712_232006_Chrome.jpg

Screenshot_20230712_232039_Chrome.jpg

Screenshot_20230712_232153_Chrome.jpg

Screenshot_20230712_232227_Chrome.jpg
 
0
Ukiwa na uelewa mdogo huwezi kunielewa au kama biology ulikuwa unaikwepa
Ni kweli ki_biolojia mwanamke anaweza kushika mimba baada ya kuvunja ungo hiyo sikatai, lakini huoni unaiweka rehani roho ya aliye tumboni au ya mama rehani??? Wengi wao wanajifungua kwa kisu.
 
Ni kweli ki_biolojia mwanamke anaweza kushika mimba baada ya kuvunja ungo hiyo sikatai, lakini huoni unaiweka rehani roho ya aliye tumboni au ya mama rehani??? Wengi wao wanajifungua kwa kisu.
Nani alikwambia? Achana na porojo za wanaharakati mzee binti akisha vunja ungo anazaa kawaida kabisa na kama atahitaji kisu badi hata angefika mika 30 bado atajifungua kwa kisu

Ukiielewa dhana ya kuvunja ungo basi huwezi kuwa na maswali kuhusu hilo
 
Nani alikwambia? Achana na porojo za wanaharakati mzee binti akisha vunja ungo anazaa kawaida kabisa na kama atahitaji kisu badi hata angefika mika 30 bado atajifungua kwa kisu

Ukiielewa dhana ya kuvunja ungo basi huwezi kuwa na maswali kuhusu hilo
Sawa mkuu ngoja wapekechwe sasa.
 
Ukisha vunja ungo tuu unatakiwa upate mtoto
Hapana maana kuna earliers na wakawaida kuvunja ungo .

Watoto 8 to 14 years wanavunja ungo ,hawawezi kubeba mimba.

Kuna 15 to 18 hawa ndio atleast wanaweza kubeba mtoto .
 
Kabla ya ndoa tafuta mtu sahihi mkae mpange mnataka mtoto wenu mumlee vipi?

Ukishapevuka na ukawa na uelewa wa mahusiano na ukijijua mwili wako upo vipi? na maelewano mazuri na mwenzako mtakaa mpange vizuri mda hakunaga umri sahihi wa kuzaa ila kuna mwenza sahihi wa kupanga naye hayo yote

Maana unaweza ukachanganywa na mda then ukazaa ukalea mwenyewe kisa mda wako wa kuzaa umefika
 
Back
Top Bottom