uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Jaman ningependa kuulz umri sahihi kwa mwanamke kupata mtt wake wa kwnz ni upi ? Em tuambiane wana Jf
Ki baiologia kabisa 20,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman ningependa kuulz umri sahihi kwa mwanamke kupata mtt wake wa kwnz ni upi ? Em tuambiane wana Jf
CCBRT wanasema miaka 21 nyonga zinakuwa zimeshakomaa anaweza kupata mtoto.Jaman ningependa kuulz umri sahihi kwa mwanamke kupata mtt wake wa kwnz ni upi ? Em tuambiane wana Jf
Katika vitu sio vya kufanya judgement ni suala la uzaziSii maamuzi yake mwenyewe sasa mungu hapo anahusikaje
Miaka 8,9,10,11,12 wazae [emoji15]Kanuni ni kwamba bint akisha vunja ungo tu, yupo tayar kwa azazi ! Hayo mambo ya sijui mtoto sijui miaka 18 sijui mwanafunzi hizo ni porojo za wanaharakati tu.
Na hasa wale wanao taka kulazimisha hadhi ya mwanammke ilingane na mwanaume
Mtag mwalimu wako mkuu arudishe ada yetu, tukaitumie kwenye kilimo.Kanuni ni kwamba bint akisha vunja ungo tu, yupo tayar kwa azazi ! Hayo mambo ya sijui mtoto sijui miaka 18 sijui mwanafunzi hizo ni porojo za wanaharakati tu.
Na hasa wale wanao taka kulazimisha hadhi ya mwanammke ilingane na mwanaume
Akiwa na uhitaji, sababu hata waoaji wenyewe hawapo. Na taifa linahitaji nguvu kazi
Kweli?25 below Kama hajawai kutoa hata mimba,Zaid ya hapo jiandae kwa complication lukuki za uzazi
Kweli kabisaKweli?
Aisee, inategemea,wengine uzazi ni wa manati,Kweli kabisa
Tutafte Mtoto mapema[emoji4]
Akishavunja ungoJaman ningependa kuulz umri sahihi kwa mwanamke kupata mtt wake wa kwnz ni upi ? Em tuambiane wana Jf
Akiolewa wakati yupo Menopause inakuwaje hapo ?Achana na umri... mi naona mwanamke anatikiwa apate mtoto wa kwanza akishaolewa yani akiwa kwenye NDOA
Atafukuzwa aolewe mwingine simpleAkiolewa wakati yupo Menopause inakuwaje hapo ?
Waoaji wapo. Shida waolewaji wanawaona wanaume waoaji ni washamba. Hivyo wakitongozwa wanakataaa