National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
miaka 14 tu kwa mwanamke inafaa upate mtotoJaman ningependa kuulz umri sahihi kwa mwanamke kupata mtt wake wa kwnz ni upi ? Em tuambiane wana Jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miaka 14 tu kwa mwanamke inafaa upate mtotoJaman ningependa kuulz umri sahihi kwa mwanamke kupata mtt wake wa kwnz ni upi ? Em tuambiane wana Jf
Achana na umri... mi naona mwanamke anatikiwa apate mtoto wa kwanza akishaolewa yani akiwa kwenye NDOAKanuni ni kwamba bint akisha vunja ungo tu, yupo tayar kwa azazi ! Hayo mambo ya sijui mtoto sijui miaka 18 sijui mwanafunzi hizo ni porojo za wanaharakati tu.
Na hasa wale wanao taka kulazimisha hadhi ya mwanammke ilingane na mwanaume
Achana na umri... mi naona mwanamke anatikiwa apate mtoto wa kwanza akishaolewa yani akiwa kwenye NDOA
KabsaaaUmemaliza kila kitu
Hakuna kanuni ya kuzaa ukiwa kwenye the so called NDOA kanuni hiyo haipo na hiyo siyo human nature bali ni taratibu za kidini na baadhi ya desturi tuu lakini swala la kuzaa ni binti akisha vunja ungo tuu yupo tayari kuzaa kuanzia hapo hapoAchana na umri... mi naona mwanamke anatikiwa apate mtoto wa kwanza akishaolewa yani akiwa kwenye NDOA
Naomba urudie kuisoma mara 2 labda utaelewa statement yangu au ni badili lugha[emoji23][emoji23] jokes
Naomba niwe rafiki yakoNdio kaka
Miaka 9 mkuu..Ukisha vunja ungo tuu unatakiwa upate mtoto
Umeninukuu vibaya mkuu sijasema ni kanuni it's just mtazamo wangu tu kwamba ni vizuri mwanamke akapata mtoto wa kwanza akiwa kwenye NDOAHakuna kanuni ya kuzaa ukiwa kwenye the so called NDOA kanuni hiyo haipo na hiyo siyo human nature bali ni taratibu za kidini na baadhi ya desturi tuu lakini swala la kuzaa ni binti akisha vunja ungo tuu yupo tayari kuza kuanzia hapo hapo
Ndoa anaweza isubiri hadi anaifikia menopause mzee na bado asiipate hiyo ndoa.
Akifanya tendo la ndoa tu as long as amebalehe.Achana na umri... mi naona mwanamke anatikiwa apate mtoto wa kwanza akishaolewa yani akiwa kwenye NDOA
HahahahaAkifanya tendo la ndoa tu as long as amebalehe.
Mwee huyu mungu anasingiziwa vitu vya ajabu kweli kweliKuzaa ni mipango ya Mungu hakuna formula unaweza kuwahi au kuchelewa ni mipango yake
Kwahyo unataka kusema kwamba mtu anataka tu kukaa hadi 50 hajapata mtoto makusudi?Mwee huyu mungu anasingiziwa vitu vya ajabu kweli kweli
Sii maamuzi yake mwenyewe sasa mungu hapo anahusikajeKwahyo unataka kusema kwamba mtu anataka tu kukaa hadi 50 hajapata mtoto makusudi?