Ni upi wakati sahihi wa kuwasaidia wazazi wako?

Ni upi wakati sahihi wa kuwasaidia wazazi wako?

Mpondoshilla

Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
36
Reaction score
132
Wakati sahihi ni sasa maana ukisema unatafuta maisha mazuri kwanza ndo ukawasaidie vizuri ukumbuke time yao inakatika.

Hivo utazipata lakini wao hawatafaidi maana watakuwa wameshakwenda kwa muumba hivo ni vema ukaanza sasa hivi hata kama ni kidogo.

Wape hakuna wakati mwingine zaidi ya huu wa sasa.
 
Wakati sahihi ni sasa maana ukisema unatafuta maisha mazuri kwanza ndo ukawasaidie vizuri ukumbuke time yao inakatika.

Hivo utazipata lakini wao hawatafaidi maana watakuwa wameshakwenda kwa muumba hivo ni vema ukaanza sasahivi hata kama ni kidogo

Wape hakuna wakati mwingine zaidi ya huu wa sasa
 
Wasaalaam wana JF natumai hamjambo

Najua kumpenda mtoto wako au mzazi wako hiyo ni ndani ya mfumo na wala hakuna mtu ataingia peponi kwa sababu aliwapenda sana watoto wake

Ili uonekane kuwa wewe upo nje ya mfumo mnunulie mtu yoyote tu yule asiyekuwa damu yako na umpe hiyo gari iwe mali yake hapo pepo utakuwa unaikaribia

Uzi tayari
 
Wasaalaam wana jf natumai hamjambo
Najua kumpenda mtoto wako au mzazi wako hiyo ni ndani ya mfumo na wala hakuna mtu ataingia peponi kwa sababu aliwapenda sana watoto wake
Ili uonekane kuwa wewe upo nje ya mfumo mnunulie mtu yoyote tu yule asiyekuwa damu yako na umpe hiyo gari iwe mali yake hapo pepo utakuwa unaikaribia
Uzi tayari
Kid mind
 
Nami nimewahi uliza

Kuna mstari kwenye mwandiko unasema muumba anakufahamu angali u tumboni mwa mama y'ako maana yake Alisha wajua wa kuchomwa ni kina nani na wa kula Bata ni kina nani? Daah ko Alisha tubagua mapema sanaaaaa
 
Back
Top Bottom