Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
Tulia kijana. Tukimaliza tunasalimiana kwa mikono huku unyevu nyevu wa mkojo ukiwa upo mikononi.

Usiombe zakali kupata hamu na jamaa akalishika, akikusalimia manii yanakuhusu Sheikh wangu.

Corona ilitufunza suala la usafi.

Hii kusalimiana kwa mikono inataka moyo.
 
Mleta mada amebainisha hoja zake ila kuwa ukikojoa umesimama kuna uwezekano mkubwa chembechembe za mkojo kukurukia ambazo ni uchafu.

Ila waliompinga hawajatoa hoja kwamba hilo linashikana vipi, bali wameonyesha kuwa hatakama ni hivyo wao hawajali.

Na huu ndio uchafu anaouzungumzia mleta mada.
Hiyo ya kujipakaza mikojo siyo big Issue kwao cha msingi ni kupingana na mafundisho yanayoonekana kama yanajinasibisha na uislam, yawe na faida aulaah wao ni kupinga tu mwanzo mwisho
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
Na mm ambaye nikitaka kukojoa naweka mikono chini miguu juu nakomenti wap ??😁😆😇🤣
 
Hivi sasa kuna vyoo maalumu kwa ajili ya wanaume tu. "Urinal bowls" vimewekwa maalumu kwa pozi la asili la kusimama wakati wa "short call" kwa jinsi ya kiume. Sasa hili pozi la kutaka kuchuchumaa mbona lipo tofauti ya asili ya kiume!?

Mleta mada sijui kama umewahi kusoma shule za "boarding" za kiume ama uliwahi kupitia JKT. Yaani wakati wa kipindi cha shida ya maji, pale mnapolundikwa sehemu moja mpate kuoga halafu wewe umaleta hizo pozi zako za kukojoa ukiwa umechuchumaa! Duu sijui hata ungeonekanaje!
Screenshot_20220528-162547.jpg


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
Nina imagine umevaa suti yako nadhifu halafu unachojoa suruali kutawadha!

Pengine uvae kanzu.
 
Ndo maana ushoga unasambaa sana ....mambo kama haya....ukishaanza kojoa huku umechuchumaa unaanza jisikia kama mwanamke mwishowe unajaribu ku.... Yaani mwnaume unakojoa huku umechuchumaa eti kuwa msafi wakati hapo chini ndo unasogelea huo uchafu.
 
Haw wanaoeneza Sera za ushoga wameshtukia saiz wameanza kueneza Sera kisha kurudia mambo yao yaleyale, Mwanaume unachuchumaa vipi kukojoa?

Yaani take image unakatiza Mara unakuta mwanaume kachuchumaa anakojoa duuh? Qumamae!
 
Nafikiri wanaume wakiislamu waliletewa hii issue sababu ya uvaaji kanzu na misuli.

Hawatofautiani na waliovaa gauni/sket au dera kwa hiyo kuchuchumaa ndiyo mpango mzima.

Hakuna hoja yoyote yenye mashiko kwenye issue ya usafi.
[emoji1787]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ila watu basi tu.!!Yani mwanaume unavua nguo unachuchuma ili ukojoe,then unaosha na maji,Au jiwe,Poleni sana!! mwanaume ni kusimama na kusimamisha
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
Asilimia 99 ya watu walio makini kwenye tabia za namna hii maishani, maisha yao na vipato vyao huwa duni sana. Sijui inasababishwa na nini.
 
Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.

Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.

Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.

Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.

Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.

Shukrani.
Nimekuelewa mwamba
 
Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.
Kuna ukweli, naafikiana nawe
Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.
Tukikosa maji tufanyeje
 
Back
Top Bottom