Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Kiumbe cha kiislamHivi kuna kiumbe cha kiume kilichoumbwa ambacho kikikojoa kinachuchumaa...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiumbe cha kiislamHivi kuna kiumbe cha kiume kilichoumbwa ambacho kikikojoa kinachuchumaa...?
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.
Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.
Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.
Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.
Naomba kuwasilisha
Ashukuriwe aliyeigundua suruali Na sutiTaratibu za waarabu mana wanavaa kanzu hivyo lazima uchuchumae ukitaka kukojoa usije ikojolea kanzu ukaonekana kikojozi.
Weka ushaheedSweden ukikutwa unakojoa umesimama na ukapatwa na hatia jela na faini ziko juu yako......Na kama mfanyakazi wa serikali kama Polisi utapunguzwa cheo au kupunguziwa madaraka yako,,