OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
Ni mjinga sana huyu jamaa na hajui madhara ya kuleta ubaguzi wa kikabila....swali zuri sana mkuuKabila dogo ndio lina sifa gani, au tutumie vigezo gani kupima udogo na ukubwa wa kabila?
CCM?ili iweje?Hivi Tanzania bila ccm haiwezekani siyo au tatizo ni vichwa vyetu mgando.Watanzania tunataka tufikie wapi/tuwe na hali gani ndiyo tuamini kuwa mchawi wa maendeleo yetu ni ccm.RAIS AJAYE 2015 HUYU!
Habari za ndani zilizopatikana zinasema kuwa mtu atakayemrithi ama kumpokea kijiti Rais Jakaya Kikwete atakua mwenye sifa kadhaa.Baadhi ya sifa hizo zilizovuja ni hizi zifuatazo:-
(1). Mtanzania, mwana CCM, mzalendo na mwenye maono.
(2). Anatoka kwenye kabila dogo.
(3). Atakua na hofu ya Mungu.
(4). Muadilifu,hajawahi kutuhumiwa kwa rushwa.
(5). Hatakua mfanyabiashara wala tajiri.
(6). Mkakamavu,anajua vema usalama wa nchi,jeshi.
(7). Rais Kikwete anamfahamu.
Inasemekana kuwa sifa hizi zinazingatia misingi ya baba wa taifa mwalimu Julius Nyerere aliyoiacha kwa taifa kama miongozo ya taifa wakati wa kupata uongozi wa nchi.Haya yanakuja kufuatia hali ya sasa ya siasa nchini na ndani ya chama kinachotawala ambapo fedha imekua nyenzo ya kununua uongozi. Aidha,changamoto za ugaidi, migogoro ya kikanda kama Sudan,Congo,Rwanda,Malawi na ushiriki wa Tanzania katika utatuzi zimefanya kigezo cha "ujuzi wa usalama na jeshi" kuingizwa katika sifa hizo za Rais ajaye.
Tutaendelea kupeana habari wana jamvi.
Sasa hapo umesema nn?Funguka mkuu
RAIS AJAYE 2015 HUYU!
Habari za ndani zilizopatikana zinasema kuwa mtu atakayemrithi ama kumpokea kijiti Rais Jakaya Kikwete atakua mwenye sifa kadhaa.Baadhi ya sifa hizo zilizovuja ni hizi zifuatazo:-
(1). Mtanzania, mwana CCM, mzalendo na mwenye maono.
(2). Anatoka kwenye kabila dogo.
(3). Atakua na hofu ya Mungu.
(4). Muadilifu,hajawahi kutuhumiwa kwa rushwa.
(5). Hatakua mfanyabiashara wala tajiri.
(6). Mkakamavu,anajua vema usalama wa nchi,jeshi.
(7). Rais Kikwete anamfahamu.
Inasemekana kuwa sifa hizi zinazingatia misingi ya baba wa taifa mwalimu Julius Nyerere aliyoiacha kwa taifa kama miongozo ya taifa wakati wa kupata uongozi wa nchi.Haya yanakuja kufuatia hali ya sasa ya siasa nchini na ndani ya chama kinachotawala ambapo fedha imekua nyenzo ya kununua uongozi. Aidha,changamoto za ugaidi, migogoro ya kikanda kama Sudan,Congo,Rwanda,Malawi na ushiriki wa Tanzania katika utatuzi zimefanya kigezo cha "ujuzi wa usalama na jeshi" kuingizwa katika sifa hizo za Rais ajaye.
Tutaendelea kupeana habari wana jamvi.
Hawwa vijana wa Membe wasichokijua ni kwamba wanamwaribia tu...kama kwenye hilo andiko limejaa ubaguzi mkubwa wa kikabila(civil wars nyingi Africa zimetokana na swala la ukabila,kwa kabila kubwa kuzarau kabila dogo, au kabila dogo lenye mamlaka kuzarau na kukandamiza kabila kubwa) sasa hawa watu wa Membe wanataka tuelekee huko, jamani before hamjapost muangalie madhara katika nchi..... Issue ya pili ni hiyo ya kujuana (namba 8) eti JK awe anamjua jamani inamana sisi wananchi tumefikia hatua ya kutoa ikulu kuwa sehemu ya kifamilia? Hapana we are not desparate kupata 2015 president kiasi hicho....Mkuu Ana Maanisha JOKA LA MDIMU HUYU LA KULE MTAMA. SIJUI KAMA KABILA LAKE DOGO MIMI HATA SIJAMUELEWA
Toa uchafu wako apa. Tunataka mtukuka na muadirifu ata kama atatoka kwenye kabila kubwa kama nyakyusa, sukuma,chaga au chaga. Hatutaki sikia ujinga wa nyinyiem wanaojipangia
Nchi yetu haina tatizo na nafasi ya Rais ina tatizo na mtenfaji mkuuu yaani Waziri Mkuuu... hivyo tupige kampeni waBunge wakati ukifika wasikubali waziri mkuu legelege.