kwa nguvu alizokuwa nazo mbowe ni wa kuonewa huruma kwamba alichafuliwa? Lile lilikuwa ni jabali kuling'oa ilikuwa ni shughuli pevuWala sio team Mbowe kufanikiwa kwake kuwa Mwenyekiti haina tofauti na dhuluma au kutoa kafara
Kapata uenyekiti kwa kuchafua watu ni sawa na kuwatoa kafara na wala mafanikio hayo hayana baraka yeyote kwake ni sawa na mwizi aliyefanikiwa kwa kuumiza wenzake
Tulieni muda uta2aponya, mwambieni Mbowe ajaribu tena 2029 anaweza kushinda.Uenyekiti wake wa kukukashifu na kurusha tuhuma kwa watangulizi wake hauna baraka yeyote
Watanzani walimchagua kuwa m/kiti? Tuliza makalioUnadhani angepata hata huo uenyekiti....watanzania si vipofu
Angekuwa mstaafu hayo wangeyafanya ndani ya Chama warushiane shutuma huko huko lakini wa nje wasijue, ukipeleka nje ni sawa na kutoa siri za mwenza wako jambo ambalo ni la kudhalilisha lakini mkiyaongelea chumbani mnatengeneza heshima na ustaarabukwa nguvu alizokuwa nazo mbowe ni wa kuonewa huruma kwamba alichafuliwa? Lile lilikuwa ni jabali kuling'oa ilikuwa ni shughuli pevu
Mtu aliefanikiwa huwa haombi mchango wa gari mkuuAfanikiwe mara ngapi, kaisha kuwa mbuge miaka kibao, ameisha kuwa makam mwenyekiti Chadema na sasa mwenyekiti wa chadema.. unataka apate mafanikio gani tena..
Kwa hiyo tukusaidieje?Ni vigumu sana Tundu Lissu kufanikiwa kisiasa kwasababu ni mtu wa tuhuma na wala hathamini michango ya wanasiasa wenzake ndani na nje ya Chama
Tundu Lissu ni mtu complicated sana na ni vigumu kufanya nae kazi na hawezi kufanikiwa kisiasa hata umfanyie jema gani hawezi kukuthamini. Pamoja na mapungufu ya kituhuma aliyomrushia Mh Mbowe bado anaonekana hathamini mema yote Mh Mbowe aliyofanyia CHADEMA
Tuhuma za Lissu kwa Mh Mbowe ni kana kwamba Mh Mbowe hakuna hata jema moja alilowahi kufanya
Haiishii hapo tu anaenda mbali hata kuituhumu Serikali na raisi pamoja na jitihada zake inazofanya bado haoni jema hata moja linalofanywa na CCM
Amekuwa mtu wa kutuhumu CCM, CHADEMA na hata Mwenyekiti aliyepita Mh Mbowe kana kwamba hakuna mwema hata mmoja yeye peke yake ndiye mwema inawezekana hata mke wake anapokea tuhuma kila mara
Kwa Mwanasiasa mwenye utu, heshima, adabu hawezi kwenda hewani kutuhumu na kumchafua Mwenyekiti wake na Chama chake hadharani kama alivyofanya bali hayo angeyafanya kwa siri ndani ya mikutano ya Chama chake yaishie humo ndani ya Chama na sio nje
Kurusha tuhuma za Chama chako kwenye hadhira ya Taifa ni sawa na kutangaza madhaifu ya mkeo au mmeo mbele za watu badala ya kuyajadili chumbani
Idadi kubwa ya Watanzania hawatumii Muheshimiwa badala yake wanatumia Tundu Lissu kwasababu ya kukosa heshima kwa watangulizi wake
Huwezi kuheshimiwa na watu kama huheshimu wenzako
Safari ya Lissu kufanikiwa kisiasa haipo, sana sana anapoteza muda na swala la uraisi aachane nalo kwasababu hakuna mtu atakayempa nchi mtu asiye na heshima wala adabu
Nasemaje swala la uraisi aachane nalo kabisa na sahau kabisa hakuna mafanikio yeyote afadhali akalime
Kufanikiwa kwake kuwa Mwenyekiti haina tofauti na dhuluma au kutoa kafara
Kapata uenyekiti kwa kuchafua watu ni sawa na kuwatoa kafara na wala mafanikio hayo hayana baraka yeyote kwake ni sawa na mwizi aliyefanikiwa kwa kuumiza wenzake
Unakosea sana.Ukiachana na Mh Mbowe kikawaida alichofanya sii sawa
PerceptionMtu aliefanikiwa huwa haombi mchango wa gari mkuu
Ameshawahi sema anautakaAnataka uraisi
Hongera nawe umeweza kuanzisha uzi kumsema Tundu Lissu. Tujitahidi ziwe nyingi na tutumie IDs zetu zoteNi vigumu sana Tundu Lissu kufanikiwa kisiasa kwasababu ni mtu wa tuhuma na wala hathamini michango ya wanasiasa wenzake ndani na nje ya Chama
Tundu Lissu ni mtu complicated sana na ni vigumu kufanya nae kazi na hawezi kufanikiwa kisiasa hata umfanyie jema gani hawezi kukuthamini. Pamoja na mapungufu ya kituhuma aliyomrushia Mh Mbowe bado anaonekana hathamini mema yote Mh Mbowe aliyofanyia CHADEMA
Tuhuma za Lissu kwa Mh Mbowe ni kana kwamba Mh Mbowe hakuna hata jema moja alilowahi kufanya
Haiishii hapo tu anaenda mbali hata kuituhumu Serikali na raisi pamoja na jitihada zake inazofanya bado haoni jema hata moja linalofanywa na CCM
Amekuwa mtu wa kutuhumu CCM, CHADEMA na hata Mwenyekiti aliyepita Mh Mbowe kana kwamba hakuna mwema hata mmoja yeye peke yake ndiye mwema inawezekana hata mke wake anapokea tuhuma kila mara
Kwa Mwanasiasa mwenye utu, heshima, adabu hawezi kwenda hewani kutuhumu na kumchafua Mwenyekiti wake na Chama chake hadharani kama alivyofanya bali hayo angeyafanya kwa siri ndani ya mikutano ya Chama chake yaishie humo ndani ya Chama na sio nje
Kurusha tuhuma za Chama chako kwenye hadhira ya Taifa ni sawa na kutangaza madhaifu ya mkeo au mmeo mbele za watu badala ya kuyajadili chumbani
Idadi kubwa ya Watanzania hawatumii Muheshimiwa badala yake wanatumia Tundu Lissu kwasababu ya kukosa heshima kwa watangulizi wake
Huwezi kuheshimiwa na watu kama huheshimu wenzako
Safari ya Lissu kufanikiwa kisiasa haipo, sana sana anapoteza muda na swala la uraisi aachane nalo kwasababu hakuna mtu atakayempa nchi mtu asiye na heshima wala adabu
Nasemaje swala la uraisi aachane nalo kabisa na sahau kabisa hakuna mafanikio yeyote afadhali akalime
Kufanikiwa kwake kuwa Mwenyekiti haina tofauti na dhuluma au kutoa kafara
Kapata uenyekiti kwa kuchafua watu ni sawa na kuwatoa kafara na wala mafanikio hayo hayana baraka yeyote kwake ni sawa na mwizi aliyefanikiwa kwa kuumiza wenzake
Atakuwa anakutaka.Au mmesahau kuwa anautaka
Ooh,sorry.... nikajua ni watanzania...kumbe walikuwa ni waburundi....Watanzani walimchagua kuwa m/kiti? Tuliza makalio
Baada ya kumpaka Mh Mbowe mavi ndipo watu wakamuona hafai yeye ndiye anafaa angekuwa ana heshima angefunga mdomo wake bila kumtapikia Mh Mbowe kura ndizo ziongee zenyewe lakini alianza kuharisha ndipo watu wakamchukia MboweLissu mpaka hapo alipo amefanikiwa sana kisiasa.Aligombea uenyekiti , uchaguzi umefanyika kwa uwazi na mshindi ameonekana.
Suala la urais, Lissu anaweza asigombee urais kwa hiyo ma-ccm msiogope. Manabii wanasema rais Oktoba 2025 ni mwingine kabisa,hatakuwa samia wala Lissu.Jambo alilolipanga Mwenyezi-Mungu hakuna binadamu awezaye kulipangua.