Ni vigumu sana Tundu Lissu kufanikiwa kisiasa kwasababu ni mtu wa tuhuma na wala hathamini michango ya wanasiasa wenzake ndani na nje ya Chama

Ni vigumu sana Tundu Lissu kufanikiwa kisiasa kwasababu ni mtu wa tuhuma na wala hathamini michango ya wanasiasa wenzake ndani na nje ya Chama

Wala sio team Mbowe kufanikiwa kwake kuwa Mwenyekiti haina tofauti na dhuluma au kutoa kafara
Kapata uenyekiti kwa kuchafua watu ni sawa na kuwatoa kafara na wala mafanikio hayo hayana baraka yeyote kwake ni sawa na mwizi aliyefanikiwa kwa kuumiza wenzake
kwa nguvu alizokuwa nazo mbowe ni wa kuonewa huruma kwamba alichafuliwa? Lile lilikuwa ni jabali kuling'oa ilikuwa ni shughuli pevu
 
Uenyekiti wake wa kukukashifu na kurusha tuhuma kwa watangulizi wake hauna baraka yeyote
Tulieni muda uta2aponya, mwambieni Mbowe ajaribu tena 2029 anaweza kushinda.
Pole sana ndg najua unavyojisikia.
 
unashutumiwa lakini uhai unao
Shutuma ni kupakazia wenzako maneno ya uongo kitendo hicho kimekatazwa hata kwenye vitabu vya Mungu kwamba ni kitendo cha kuua
 
Tulieni muda uta2aponya, mwambieni Mbowe ajaribu tena 2029 anaweza kushinda.
Pole sana ndg najua unavyojisikia.
Ukiachana na Mh Mbowe kikawaida alichofanya sii sawa
 
kwa nguvu alizokuwa nazo mbowe ni wa kuonewa huruma kwamba alichafuliwa? Lile lilikuwa ni jabali kuling'oa ilikuwa ni shughuli pevu
Angekuwa mstaafu hayo wangeyafanya ndani ya Chama warushiane shutuma huko huko lakini wa nje wasijue, ukipeleka nje ni sawa na kutoa siri za mwenza wako jambo ambalo ni la kudhalilisha lakini mkiyaongelea chumbani mnatengeneza heshima na ustaarabu
Wenza wangapi wanagombana ndani na hakuna watu wa nje wanaofahamu, hii ni kwasababu kila binadamu ana madhaifu yake, kwa mtu mwenye uelewa na utu hawezi kuweka madhaifu ya watu hadharani bali atawatafuta wayazungumze kwa faragha
 
Afanikiwe mara ngapi, kaisha kuwa mbuge miaka kibao, ameisha kuwa makam mwenyekiti Chadema na sasa mwenyekiti wa chadema.. unataka apate mafanikio gani tena..
Mtu aliefanikiwa huwa haombi mchango wa gari mkuu
 
Ni vigumu sana Tundu Lissu kufanikiwa kisiasa kwasababu ni mtu wa tuhuma na wala hathamini michango ya wanasiasa wenzake ndani na nje ya Chama

Tundu Lissu ni mtu complicated sana na ni vigumu kufanya nae kazi na hawezi kufanikiwa kisiasa hata umfanyie jema gani hawezi kukuthamini. Pamoja na mapungufu ya kituhuma aliyomrushia Mh Mbowe bado anaonekana hathamini mema yote Mh Mbowe aliyofanyia CHADEMA

Tuhuma za Lissu kwa Mh Mbowe ni kana kwamba Mh Mbowe hakuna hata jema moja alilowahi kufanya

Haiishii hapo tu anaenda mbali hata kuituhumu Serikali na raisi pamoja na jitihada zake inazofanya bado haoni jema hata moja linalofanywa na CCM

Amekuwa mtu wa kutuhumu CCM, CHADEMA na hata Mwenyekiti aliyepita Mh Mbowe kana kwamba hakuna mwema hata mmoja yeye peke yake ndiye mwema inawezekana hata mke wake anapokea tuhuma kila mara

Kwa Mwanasiasa mwenye utu, heshima, adabu hawezi kwenda hewani kutuhumu na kumchafua Mwenyekiti wake na Chama chake hadharani kama alivyofanya bali hayo angeyafanya kwa siri ndani ya mikutano ya Chama chake yaishie humo ndani ya Chama na sio nje

Kurusha tuhuma za Chama chako kwenye hadhira ya Taifa ni sawa na kutangaza madhaifu ya mkeo au mmeo mbele za watu badala ya kuyajadili chumbani

Idadi kubwa ya Watanzania hawatumii Muheshimiwa badala yake wanatumia Tundu Lissu kwasababu ya kukosa heshima kwa watangulizi wake

Huwezi kuheshimiwa na watu kama huheshimu wenzako

Safari ya Lissu kufanikiwa kisiasa haipo, sana sana anapoteza muda na swala la uraisi aachane nalo kwasababu hakuna mtu atakayempa nchi mtu asiye na heshima wala adabu
Nasemaje swala la uraisi aachane nalo kabisa na sahau kabisa hakuna mafanikio yeyote afadhali akalime

Kufanikiwa kwake kuwa Mwenyekiti haina tofauti na dhuluma au kutoa kafara
Kapata uenyekiti kwa kuchafua watu ni sawa na kuwatoa kafara na wala mafanikio hayo hayana baraka yeyote kwake ni sawa na mwizi aliyefanikiwa kwa kuumiza wenzake
Kwa hiyo tukusaidieje?
 
Ukiachana na Mh Mbowe kikawaida alichofanya sii sawa
Unakosea sana.
Mbowe na watu wa Mbowe wamemshambulia sana Lissu.
1. Wakasema hafai hata kuwa mwenyekiti wa Mtaa...cc Ntobi, hilo Mbowe hakulikemea hivyo alikubaliana.

2. Wakasema hana busara na mengine mengi.

3. Yeye Mbowe naye alimshambulia Lissu hadi kumwita mbangaizaji.

Mnatia huruma baada ya kambi yenu kushindwa, ninyi kambi yenu ingeshinda mlikusudia kumtimua Lissu.

Mnatabia ya kutobalansi mambo
 
Tatizo lako mtoa mada huna tofauti na machawa wa ccm unapenda kumtukuza kiongozi badala ya taasisi..na ww unataka Lissu awe anamtaja taja mbowe kama mapoyoyo ya ccm wanavyofanya kwa samia..mbona Mazuri ya mbowe na chadema hao kina lissu na wenzake wanayaenzi vizuri tu labda kana ulitaka wawe wanayaimba mafanikio ya mbowe kama kasuku yaani unataka wawe wanamuimba mbowe kwa lipi hasa ambalo halifahamiki alipokuwa kiongozi chadema hadi utake kina lissu wawe wanalishikia bango kuna lipi jipya kwa yaliyokwishapita yatasaidia nini..watu wanaangalia yanayokuja mbele alafu ww eti unataka wahangaike na yaliyopita.!
 
Ni vigumu sana Tundu Lissu kufanikiwa kisiasa kwasababu ni mtu wa tuhuma na wala hathamini michango ya wanasiasa wenzake ndani na nje ya Chama

Tundu Lissu ni mtu complicated sana na ni vigumu kufanya nae kazi na hawezi kufanikiwa kisiasa hata umfanyie jema gani hawezi kukuthamini. Pamoja na mapungufu ya kituhuma aliyomrushia Mh Mbowe bado anaonekana hathamini mema yote Mh Mbowe aliyofanyia CHADEMA

Tuhuma za Lissu kwa Mh Mbowe ni kana kwamba Mh Mbowe hakuna hata jema moja alilowahi kufanya

Haiishii hapo tu anaenda mbali hata kuituhumu Serikali na raisi pamoja na jitihada zake inazofanya bado haoni jema hata moja linalofanywa na CCM

Amekuwa mtu wa kutuhumu CCM, CHADEMA na hata Mwenyekiti aliyepita Mh Mbowe kana kwamba hakuna mwema hata mmoja yeye peke yake ndiye mwema inawezekana hata mke wake anapokea tuhuma kila mara

Kwa Mwanasiasa mwenye utu, heshima, adabu hawezi kwenda hewani kutuhumu na kumchafua Mwenyekiti wake na Chama chake hadharani kama alivyofanya bali hayo angeyafanya kwa siri ndani ya mikutano ya Chama chake yaishie humo ndani ya Chama na sio nje

Kurusha tuhuma za Chama chako kwenye hadhira ya Taifa ni sawa na kutangaza madhaifu ya mkeo au mmeo mbele za watu badala ya kuyajadili chumbani

Idadi kubwa ya Watanzania hawatumii Muheshimiwa badala yake wanatumia Tundu Lissu kwasababu ya kukosa heshima kwa watangulizi wake

Huwezi kuheshimiwa na watu kama huheshimu wenzako

Safari ya Lissu kufanikiwa kisiasa haipo, sana sana anapoteza muda na swala la uraisi aachane nalo kwasababu hakuna mtu atakayempa nchi mtu asiye na heshima wala adabu
Nasemaje swala la uraisi aachane nalo kabisa na sahau kabisa hakuna mafanikio yeyote afadhali akalime

Kufanikiwa kwake kuwa Mwenyekiti haina tofauti na dhuluma au kutoa kafara
Kapata uenyekiti kwa kuchafua watu ni sawa na kuwatoa kafara na wala mafanikio hayo hayana baraka yeyote kwake ni sawa na mwizi aliyefanikiwa kwa kuumiza wenzake
Hongera nawe umeweza kuanzisha uzi kumsema Tundu Lissu. Tujitahidi ziwe nyingi na tutumie IDs zetu zote
 
Lissu mpaka hapo alipo amefanikiwa sana kisiasa.Aligombea uenyekiti , uchaguzi umefanyika kwa uwazi na mshindi ameonekana.

Suala la urais, Lissu anaweza asigombee urais kwa hiyo ma-ccm msiogope. Manabii wanasema rais Oktoba 2025 ni mwingine kabisa,hatakuwa samia wala Lissu.Jambo alilolipanga Mwenyezi-Mungu hakuna binadamu awezaye kulipangua.
 
Wewe unaweza kuongoza hata kitongoji,
Usiyoyajua kaa kimya,
Mtoto akifanya vizuri hasifiwi,anaambiwa aongeze bidii
 
Wewe unaweza kuongoza hata kitongoji,
Usiyoyajua kaa kimya,
Mtoto akifanya vizuri hasifiwi,anaambiwa aongeze bidii
Uenyekiti wake kaupata kama jambazi anaeyeua ili afanikiwe yeye hana baraka yeyote
 
Lissu mpaka hapo alipo amefanikiwa sana kisiasa.Aligombea uenyekiti , uchaguzi umefanyika kwa uwazi na mshindi ameonekana.

Suala la urais, Lissu anaweza asigombee urais kwa hiyo ma-ccm msiogope. Manabii wanasema rais Oktoba 2025 ni mwingine kabisa,hatakuwa samia wala Lissu.Jambo alilolipanga Mwenyezi-Mungu hakuna binadamu awezaye kulipangua.
Baada ya kumpaka Mh Mbowe mavi ndipo watu wakamuona hafai yeye ndiye anafaa angekuwa ana heshima angefunga mdomo wake bila kumtapikia Mh Mbowe kura ndizo ziongee zenyewe lakini alianza kuharisha ndipo watu wakamchukia Mbowe
 
Back
Top Bottom