KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Perfectly saidKila kitu ni utukufu wa Mungu...wameumbwa jinsi walivyo ili kazi zake zi dhihirishwe miongoni mwetu.....si unaona umepata wasaa
wa kumtafakari uweza wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Perfectly saidKila kitu ni utukufu wa Mungu...wameumbwa jinsi walivyo ili kazi zake zi dhihirishwe miongoni mwetu.....si unaona umepata wasaa
wa kumtafakari uweza wake
Kijana mambo ya Mungu mwachie Mungu mwenyewe, maana hakuna mtu atakaekupa jibu lenye uhalisia wa kile unachojiuliza.Mtu akizaliwa na afya iwe ana ujinga ama maskini huyu anaweza kujielimisha kuondoa ujinga na kutumia nguvu ama bidii yake kujondokana na umaskini ila kwa walemavu hali huwa ni tofauti sana ?
Nashangaa sana hii ishu na ninaomba nifafanuliwe, Mungu anahusikaje na je ni baraka kuzaliwa hivi kwa mtu / mnyama ambae anaingia duniani bila hata dhambi ?
Walemavu ni wengi sana ila ni vile kwasababu inakuwa ngumu kwao kutoka ndio maana hata tunaowaona ni wachache,
Nayaongea haya kwa uhalisia na wala si kiburi cha uzima, watu hawa wanateseka sana hapa duniani, Wenye hali hizi waliofanikiwa kiuchumi wapo ila ni wa kuhesabika na jihudi walizotumia laiti wangekuwa wazima basi wangefanikiwa mara 10 zaidi.
Mtu anazaliwa haoni, yani hata kusoma Biblia / Koran hawezi
Mtu anazaliwa hasikii, hata kwenda kanisani / Msikitini haambulii kitu
Mtua nazaliwa na ulemavu wa akili, ni changamoto
Mtu anazaliwa haoni wala hasikii, hapa hawezi kujifunza chochote maana njia zote za kupokea ujumbe zimezibwa
Mtu kazaliwa na magonjwa yenye maumivu makali / maisha yake ni maumivu tu
Ingependeza uwe unasoma post nzima neno kwa neno kabla hujakurupuka kukimbilia kukomentiMungu Anatuonesha utukufu wake kk viumbe wake ya KwaMBA yeye ndiye mkamilifu,na wewe unae jiona mkamilifu angeweza kukuumba ukawa mlemavu na mlemavu akawa mzima.
Hivyo ukamilifu ni wake Mungu pekee.
Huyo Mungu muweza wa vyote na mwenye upendo wa kweli ana achaje huyo shetani aguse kiumbe chake anacho kiumba???MUNGU haumbi kiumbe mwenye ulemavu ,shetani uanza kuwagusa viumbe Toka katoka tumbo za mama zao ili kuharibu nyota zao
Kwani kusoma uelewe kilichoandikwa yapasa iwe mara ngapi mkuu maana naona kama unanifokea wakati huo ni mtazamo wangu.Ingependeza uwe unasoma post nzima neno kwa neno kabla hujakurupuka kukimbilia kukomenti
kuna sehem nimeandika "Nayaongea haya kwa uhalisia na wala si kiburi cha uzima"Kwani kusoma uelewe kilichoandikwa yapasa iwe mara ngapi mkuu maana naona kama unanifokea wakati huo ni mtazamo wangu.
Huyo Mungu anapata faida gani akipewa utukufu?Mungu Anatuonesha utukufu wake kk viumbe wake ya KwaMBA yeye ndiye mkamilifu,na wewe unae jiona mkamilifu angeweza kukuumba ukawa mlemavu na mlemavu akawa mzima.
Hivyo ukamilifu ni wake Mungu pekee.
Kwamba ilikuwa ni lazima kazi zake zidhihirike kupitia hao walemavu? Yaani walemavu na wale wote wenye madhila kama hayo ndiyo watolewe kafara/wabebe gharama za kudhihirisha hizo kazi kwa watu wengine?Kila kitu ni utukufu wa Mungu...wameumbwa jinsi walivyo ili kazi zake zi dhihirishwe miongoni mwetu.....si unaona umepata wasaa
wa kumtafakari uweza wake
Huyo aliyesema mambo ya Mungu yapo nje ya uwezo wa mwanadamu, Alifahamu vipi kwamba huyo Mungu yupo?Kijana mambo ya Mungu mwachie Mungu mwenyewe, maana hakuna mtu atakaekupa jibu lenye uhalisia wa kile unachojiuliza.
Mambo ya Mungu ni mambo ambayo yapo nje ya uwezo wa binadamu kuyafahamu.
So wewe kama umezaliwa bila ulemavu wa kuonekana basi mshukuru Mungu na ujibidiishe kutafuta ugali wako kupitia pumzi yake aliokupa bure.
Kuandika thread ya aina hii humu ni njia moja wapo ya kutaka kuwafanya walemavu waliopo humu hasa wale wasiokuwa na imani thabiti waanze kumchukia Mungu wao kwa kuona kuwa walionewa katika uumbaji.
Hebu rejea post zangu utakuwa umenielewa vibaya.kuna sehem nimeandika "Nayaongea haya kwa uhalisia na wala si kiburi cha uzima"
Wewe umekurupuka kuandika nimejiona mkamilifu ni ushahidi tosha hukusoma post nzima ama ulisoma haraka haraka bila kuelewa
Mungu huyo huyo ambaye unaonahafanyi haki ana uwezo wa kuondoa species zote zilizopo duniani na akaleta species nyingine kabisa ambavyo wala hata hazifikiriki.Huyo Mungu anapata faida gani akipewa utukufu?
Anapata faida gani kuumba binadamu mwenye ulemavu??
Kwani yeye Mungu Hajijui kwamba ni mkamilifu hadi sisi wanadamu tumwite mkamilifu???
Duuh umewaza mbali Sana mkuu,sikufikiri.Ulemavu ni faida.
Ndio maana KILEMA LISSU analamba asali.
Ulemavu ni faida.
Ndio maana KILEMA LISSU analamba asali.
●Mungu hakuwaumba wanadamu wakiwa na ulemavu. Ulemavu ni matokeo ya dhambi ya Adamu na Hawa walipomkataa MunguWanasema kila kitu ni utukufu wa Mungu, watu wote wanaozaliwa wameumbwa kwa baraka yake,
Alishindwaje kuumba hizo species zenye kumtii yeye tu na zenye kufanya mema tu,Mungu huyo huyo ambaye unaonahafanyi haki ana uwezo wa kuondoa species zote zilizopo duniani na akaleta species nyingine kabisa ambavyo wala hata hazifikiriki.
Huo ndio ukuu wa mungu.