- Thread starter
- #21
Acha zarauHakuna mwenye akili timamu akaangalia huo ujinga.
Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha zarauHakuna mwenye akili timamu akaangalia huo ujinga.
Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Sio kweliUkitaka kujua level yakko ya ujinga imefikia kiwango gani anza kuangalia huo upuuzi
Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Mimi zilizofanyiwa dubbing naweza tazama lakini sio za akina DJ mack yani siwezi kabisa.Habari ,Binafsi sio mpenzi za sana wa hizi movie zilizo tafsiriwa ila kuna kitu kimoja nlikiona siku moja nlipoangalia movie moja ya lugha ya kiingereza ni kwamba Tafsiri haiendani na kinachongelwa nilikereka sana .
We je vitu gani huvipendi ? Ingawa kuna Madj wako poa
Utasikia wacha maneno ..wacha manenoWengi wanaopenda zile movie zilizotafsiriwa na lufufu shule ilipita mmbali sana.
😂😂😂😂Kelele za kipumbavu zimejaa, ziwezi kuangalia huo ujinga.
Jaribu upate radha mpyaYaani binafsi sipendi ile kutafsiri yenyewe! Napenda subtitles !
Hata mm namuelewa sanaSijawahi kujutia kuangalia movie zilizotafasiriwa na Dj mack the mashine kutoka acheche production. Mzuka mwingi kama kawa kama dawa. 😁 Anatafasiri uhalisia uliopo pia anaelewesha vizuri sana. Movie hata kama ni mbovu utaipenda.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna mwenye akili timamu akaangalia huo ujinga.
Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Wanatengeneza ili hata simu kitochi waoneKinachonikera hasa ni:
1. Tafsiri za Uongo
2. Picha hupungua ubora (Quality)
Kama itatokea nimelazimika kutazama filamu hizo zilizotafsiriwa basi nitatazama aliyotafsiri Dj Mack. Ana makosa yake ila ana afadhali kulinganisha na Ma-Dj wengine.
Jamaa yupo fiti japokua nae sanyngne anatuingiza chaka!Sijawahi kujutia kuangalia movie zilizotafasiriwa na Dj mack the mashine kutoka acheche production. Mzuka mwingi kama kawa kama dawa. 😁 Anatafasiri uhalisia uliopo pia anaelewesha vizuri sana. Movie hata kama ni mbovu utaipenda.
Anajitahidi kidogo lakiniJamaa yupo fiti japokua nae sanyngne anatuingiza chaka!
Sijawahi kujutia kuangalia movie zilizotafasiriwa na Dj mack the mashine kutoka acheche production. Mzuka mwingi kama kawa kama dawa. [emoji16] Anatafasiri uhalisia uliopo pia anaelewesha vizuri sana. Movie hata kama ni mbovu utaipenda.
jamaa wanaongea uongo hatari. Sema kuna mmoja anaitwa dj ommy ndo anajitahidiHabari ,Binafsi sio mpenzi za sana wa hizi movie zilizo tafsiriwa ila kuna kitu kimoja nlikiona siku moja nlipoangalia movie moja ya lugha ya kiingereza ni kwamba Tafsiri haiendani na kinachongelwa nilikereka sana .
We je vitu gani huvipendi ? Ingawa kuna Madj wako poa